Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa vile yeye ni flat screen. Njiti ana roho mbaya sana kama ya yule dhalim aliyeko motoni sasaWivu tuu unawasumbua kwahiyo spika unaona tunafaidi sana kuangalia mizigo ya waheshimiwa au
Mfalme Mswati ulishaona anavyovaa kama.kimasai mbona anaheshimika kila kona.Wanachofundishwa wabunge ni uvaaji wa kizungu na table manners za kizungu !!!! Ili wakae kizungu zungu.Mzungu alishaondoka Tanzania toka 1961 tulipopata uhuru lakini aliondoka tu kimwili kichwani akabaki ikiwemo kwenye vichwa vya wabunge hao wanaofunzwa kuvaa kizungu,kula kizungu nkNi jambo la kawaida, huwezi vaa oversized suit au shati limefika hadi vidoleni...
Ndiyo wasisi wa huu ujingaHao wabunge ni zao lake baada ya kubaka uchaguzi 2020
Huu ujinga ndio ulimfanya yule Msukuma akaitwa kila aina ya majina.