Bunge limejadili muswada wa sheria ambao utampa/ruhusa ya askari polisi kufanya tendo lolote bila ya kushtakiwa endapo itapita

Bunge limejadili muswada wa sheria ambao utampa/ruhusa ya askari polisi kufanya tendo lolote bila ya kushtakiwa endapo itapita

Wanafanya uchunguzi kuhusu Polisi kufanya mauhaji kwa raia na bado wanawatungia Sheria ya kutekeleza mahuaji....
 
Bunge lenu leo limejadili muswada wa sheria ambao unampa ruhusa askari polisi kufanya tendo lolote la jinai wakati wa kutafuta ushahidi anaotafuta katika operations (wameziita undercover operations) na hakuna kushtakiwa popote. Anaweza kubaka, kujeruhi na hata kuua.

Machafuko tu ndio yataleta mabadiliko ya kweli. Hizo sheria CCM wanazitunga ili kuweza kulitumia jeshi la polisi kukaa madarakani kwa shuruti.
 
Haya yote yanawezekana TZ tu kwasababu serikali katili ya CCM inaongoza ng'ombe.
 
Hivi kweli polisi hawa hawa wa Tanzania wasioweza kutumia busara kwenye maamuzi hata kipindi hiki ambacho sheria kwa kiasi fulani inawabana ndo uwaambie hata ukifanya kosa hutaadhibiwa?

Hivi watanzania nani alichukulia akili zao? Unajua tunatia huruma sana?

Nina imani mama Samia hawezi kukubali huo ujinga kabisa!!
 
Kwasababu hawana akili watapitisha wakitegemea watakaoathirika Ni wspinzani tu. Ila wajue huoni mtego wa panya.
 
Wanatengeneza nyezo kwajili ya uchaguzi ujao Mana hawana namna ......ukiuawa ukibakwa alikua kwenye operation aliyekuua ,jamani huyu mnyalu Simba chawene na nimwanasheria sijui daaaaaa
Simbachawene mgogo Kama yule wa mikopo
 
Wapitishe waone.. Hawa askari watawawa mbaya mtaani. Tusije kushangaa askari wanchomewa hata ndani na familia zao. Nyie wapeni kinga
 
Mimi nachukia sana polisi. Na huwa sijui kwanini.
 
Wamekosa mambo ya maana ya kuyajadili huko bungeni?
 
Raisi anakinga ya kutoshitakiwa, wakaongeza na makamu, waziri mkuu, mwanasheria mkuu wasekali na sasa polisi nao wanapewa Kinga ya kutenda uhalifu wasishitakiwe. Da tumebaki sisi tu tusio na mamlaka. Hatari.
Ngoja tuchekeche na sisi tuje na viuwa Kinga.Ni zama na Mwendo wa Kinga ya kutoshitakiwa

Sent from my TECNO BC1 using JamiiForums mobile app
 
Bunge lenu leo limejadili muswada wa sheria ambao unampa ruhusa askari polisi kufanya tendo lolote la jinai wakati wa kutafuta ushahidi anaotafuta katika operations (wameziita undercover operations) na hakuna kushtakiwa popote. Anaweza kubaka, kujeruhi na hata kuua.
Ni ushindi kwa IGP hahaha
 
Wekeni document yote
Mi nimeisoma hiyo docu kipande inaelezea kuwa patakuwa na undercovers ambao hata wakidakwa kwenye madawa au magenge ya wauza madawa wao hawatashitakiwa sababu walipewa ruhusa na mamlaka
 
Back
Top Bottom