kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Bima kwa watu wote sio mchezo mchezo kama huu. Watu wetu wanaugua sana kutokana na mbu wengi, funza wengi, ajali nyingi, takataka nyingi mitaani na majumbani, ukosefu wa chakula, ukosefu wa maji safi, matuzi ya Kuni, nyumba duni na bidhaa zisizo na ubora.
Huwezi kuwekea mtu bima ambae unajua ataugua TU. Hata bima za magari zisingekuwapo kama wangekuwa na uhakika kuwa magari mengi yatapata ajali.
Kila mtu akiwa na bima utashuhudia misululu mirefu sana ya wagonjwa kwenye vituo vya afya hadi washangae. Hiduma zitakuwa duni sana kutokana na uhaba wa wafanyakazi, dawa, vifaa tiba na majengo.
Wanataka pesa zao sio bima zao.
Boresha mazingira yao kwanza kabla ya bima zao.
Huwezi kuwekea mtu bima ambae unajua ataugua TU. Hata bima za magari zisingekuwapo kama wangekuwa na uhakika kuwa magari mengi yatapata ajali.
Kila mtu akiwa na bima utashuhudia misululu mirefu sana ya wagonjwa kwenye vituo vya afya hadi washangae. Hiduma zitakuwa duni sana kutokana na uhaba wa wafanyakazi, dawa, vifaa tiba na majengo.
Wanataka pesa zao sio bima zao.
Boresha mazingira yao kwanza kabla ya bima zao.