Bunge limepitisha tozo kwa wote badala ya bima kwa wote

Bunge limepitisha tozo kwa wote badala ya bima kwa wote

Tanzania sio ya kwanza kuwa na bima Kwa wote hapa Afrika na kote huko hakuna misururu ya watu.

Mimi Nina bima ila Kwa mwaka huu nimeenda hospital haizidi mara 3 au 2 tuu Sasa sijui unadhani kwenda hospital ni sifa au ikoje.
Think globally and act locally, Hapa kwetu mfikirie yule mwanafamilia wa mabokweni, nanjilinji, wangeng"ombe, lukozi, kwamsangazi wenye familia ya wake 2 na watoto 13 wanaotegemea kupata mvua ndio wapande na kuvuna ambao wamezunguukwa na mazalia ya mbu, kipindupindu, funza, upele, minyoo, nyoka, kichocho, TB, magonjwa ya ngono. Wahenga waliposema makaburi mengi ni ya watu maskini unadhani walimaanisha nini? Kwani viwango vya umaskini wetu vikoje?

Huwezi kumuwekea bima mtu mwenye uwezekano mkubwa wa kuugua kila wakati, kwenye risks nyingi, ni maokoto TU.
 
Think globally and act locally, Hapa kwetu mfikirie yule mwanafamilia wa mabokweni, nanjilinji, wangeng"ombe, lukozi, kwamsangazi wenye familia ya wake 2 na watoto 13 wanaotegemea kupata mvua ndio wapande na kuvuna ambao wamezunguukwa na mazalia ya mbu, kipindupindu, funza, upele, minyoo, nyoka, kichocho, TB, magonjwa ya ngono. Wahenga waliposema makaburi mengi ni ya watu maskini unadhani walimaanisha nini? Kwani viwango vya umaskini wetu vikoje?

Huwezi kumuwekea bima mtu mwenye uwezekano mkubwa wa kuugua kila wakati, kwenye risks nyingi, ni maokoto TU.
Muwe mnafuatilia kabla ya kuropoka,Kuna kaya maskini Zenye watu 15.8 mln zitabushmiwa Bure Kwa pesa ya Serikali na michango ya wengine.
 
Kwani bima itajielekeza kwenye tiba kuliko Kinga?

Serikali inafanya hivyo daily na mfano makazini Kuna sera ya mazoezi lakini pia unaona wanatoa vyandarua Bure,wanatafuta chanjo ya malaria,wanapeleka maji kwenye maeneo yote ya jamii Ili usafi uzingatiwe nk

Na ndio maana vifo vya Watoto wadogo na uzazi vimepungua , Changamoto ya Sasa ni Magonjwa yasiyoambukiza yanaletwa na mtindo wa Maisha Nako huko kampeni zimeanza.
Vifo vya mama na watoto vimepungua au akina mama wanaozaa wamepungua na idadi ya mimba imepungua kwa mzazi?

Trend inaonuesha kuwa siku hizi vijana hawana nguvu za kiume, harusi zimepungua, wanaoachana wanaongezeka, wanaotoa mimba wanaongezeka, na ushoga unaongezeka. Watoto hawapo sio kwamba wamepungua kufa.
.tusimdanganye Mama, tumwambie ukweli ili ajue nguvu nyingi aipeleke wapi. Hadi Leo watu hawajui hata kunawa mikono Yao hiyo bima kwa wote inawezekana vipi?
 
Kwani bima itajielekeza kwenye tiba kuliko Kinga?

Serikali inafanya hivyo daily na mfano makazini Kuna sera ya mazoezi lakini pia unaona wanatoa vyandarua Bure,wanatafuta chanjo ya malaria,wanapeleka maji kwenye maeneo yote ya jamii Ili usafi uzingatiwe nk

Na ndio maana vifo vya Watoto wadogo na uzazi vimepungua , Changamoto ya Sasa ni Magonjwa yasiyoambukiza yanaletwa na mtindo wa Maisha Nako huko kampeni zimeanza.
Vifo vya mama na watoto vimepungua au akina mama wanaozaa wamepungua na idadi ya mimba imepungua kwa mzazi imepungu
 
Vifo vya mama na watoto vimepungua au akina mama wanaozaa wamepungua na idadi ya mimba imepungua kwa mzazi imepungu
Ona ulivyo mjinga,wakinamama wanaoza wamepungua au ndio kwanza wanawake wameongezeka kujifungulia kwenye Vituo vya Afya?

Tofautisha fertility rate na population growth rate.

Growth rate ya Nchi imeongezeka kutoka 2.8 Hadi 3.2 ingawa wastani wa wanawake kuzaa Watoto wengi(Fertility rate ndio imepungua kutoka 6% Hadi 4.8%).
 
Tanzania sio ya kwanza kuwa na bima Kwa wote hapa Afrika na kote huko hakuna misururu ya watu.

Mimi Nina bima ila Kwa mwaka huu nimeenda hospital haizidi mara 3 au 2 tuu Sasa sijui unadhani kwenda hospital ni sifa au ikoje.
Mimi mwaka wa 5 huu, bima yangu nimewahi itumis mara moja!
 
Kila mtu akiwa na bima utashuhudia misululu mirefu sana ya wagonjwa kwenye vituo vya afya hadi washangae. Hiduma zitakuwa duni sana kutokana na uhaba wa wafanyakazi, dawa, vifaa tiba na majengo.
Mkuu upo sahihi, ila wengi hawawezi kuliona hilo.
 
hii bima itakufa mapema huo ndo ukweli. kama wameshindwa kuendesha bima ya NIHF ambayo ni ya wafanyakazi tu, ndo waweze kuendesha bima ya watz wote? tunadanganyana hapa. serikali inataman tu makusanyo hapo. nipo sumbawanga hapa kipindi cha masika wafipa wanakuwa wachache sana kwenye vituo vya afya tofauti na kipindi cha kiangazi ambacho wanajaa sana. hii ni kutokana na kwamba kipindi cha masika watu wengi hawana Hela ko wanavumilia tu. sasa fikiria ndo wawe na bima hiyo picha yake.
 
Ona ulivyo mjinga,wakinamama wanaoza wamepungua au ndio kwanza wanawake wameongezeka kujifungulia kwenye Vituo vya Afya?

Tofautisha fertility rate na population growth rate.

Growth rate ya Nchi imeongezeka kutoka 2.8 Hadi 3.2 ingawa wastani wa wanawake kuzaa Watoto wengi(Fertility rate ndio imepungua kutoka 6% Hadi 4.8%).
Wewe ni mjinga sana, hivi shoga anazaa? Mtu ambae hajaolewa anazaa? Huna habari na p2? Mtu anaetumia njia za uzazi wa mpango anapata mimba? mwanaume mwenye nguvu hafifu za kiume anazaa watoto wangapi? Kwenye zahanati pana huduma gani ya maana inayopunguza vifo? Kuna wahudumu wangapi wa ngazi ipi? Kwani mama mjamzito anahudhuria clinic mara ngapi kabla ya kujifungua? Wangapi wanazalia kwa wajinga wa jadi?

Mnatoa takwimu potofu ili moate misaada na sifa.
 
Wewe ni mjinga sana, hivi shoga anazaa? Mtu ambae hajaolewa anazaa? Huna habari na p2? Mtu anaetumia njia za uzazi wa mpango anapata mimba? mwanaume mwenye nguvu hafifu za kiume anazaa watoto wangapi? Kwenye zahanati pana huduma gani ya maana inayopunguza vifo? Kuna wahudumu wangapi wa ngazi ipi? Kwani mama mjamzito anahudhuria clinic mara ngapi kabla ya kujifungua? Wangapi wanazalia kwa wajinga wa jadi?

Mnatoa takwimu potofu ili moate misaada na sifa.
Takataka 🗑️🗑️🗑️🗑️
 
Bima kwa watu wote sio mchezo mchezo kama huu. Watu wetu wanaugua sana kutokana na mbu wengi, funza wengi, ajali nyingi, takataka nyingi mitaani na majumbani, ukosefu wa chakula, ukosefu wa maji safi, matuzi ya Kuni, nyumba duni na bidhaa zisizo na ubora.

Huwezi kuwekea mtu bima ambae unajua ataugua TU. Hata bima za magari zisingekuwapo kama wangekuwa na uhakika kuwa magari mengi yatapata ajali.

Kila mtu akiwa na bima utashuhudia misululu mirefu sana ya wagonjwa kwenye vituo vya afya hadi washangae. Hiduma zitakuwa duni sana kutokana na uhaba wa wafanyakazi, dawa, vifaa tiba na majengo.

Wanataka pesa zao sio bima zao.

Boresha mazingira yao kwanza kabla ya bima zao.
Umeongea kitaalam sana ...
 
Tanzania sio ya kwanza kuwa na bima Kwa wote hapa Afrika na kote huko hakuna misururu ya watu.

Mimi Nina bima ila Kwa mwaka huu nimeenda hospital haizidi mara 3 au 2 tuu Sasa sijui unadhani kwenda hospital ni sifa au ikoje.
Watanzania walio wengi ni wagonjwa, hawaendi hospital sababu hawana pesa ...
 
Bima watalipia kasoro maskini tuu
Tafsiri ya maskini kwenye bima ya afya kwa wote ni ipi. Je, ni Anaelima kwa jembe la mkono? Je, ni yule anaetegemea mvua kulima? Je, ni yule mwenye kuku/mbuzi/ng'ombe wangapi? Je, ni machinga? Ni mwenye kipato Cha shilingi ngapikwa siku/mwezi/mwaka?. Je, ni yule anaejitaji kupewa chakula Cha njaa?
 
Bima kwa watu wote sio mchezo mchezo kama huu. Watu wetu wanaugua sana kutokana na mbu wengi, funza wengi, ajali nyingi, takataka nyingi mitaani na majumbani, ukosefu wa chakula, ukosefu wa maji safi, matuzi ya Kuni, nyumba duni na bidhaa zisizo na ubora.

Huwezi kuwekea mtu bima ambae unajua ataugua TU. Hata bima za magari zisingekuwapo kama wangekuwa na uhakika kuwa magari mengi yatapata ajali.

Kila mtu akiwa na bima utashuhudia misululu mirefu sana ya wagonjwa kwenye vituo vya afya hadi washangae. Hiduma zitakuwa duni sana kutokana na uhaba wa wafanyakazi, dawa, vifaa tiba na majengo.

Wanataka pesa zao sio bima zao.

Boresha mazingira yao kwanza kabla ya bima zao.
ccm ni wasanii
 
Na kwa Waingereza je ambako matibabu yote ni bure kwa kila mtu tena bila bima?
Hawaugui sana. Wote wanapikia nishati ya gas na umeme, maji safi na salama kwa kila mtu, nyumba Zina madirisha ya kutosha kuingiza hewa na mwanga, takataka zinakusanywa, hakuna mbu, kipindupindu, Ebola, funza, minyoo, TB, Wala kichocho. Watu wote wanafunga mikanda kwenye gari, hakuna driving license za mchongo. Kifupi wameimarisha afya kinga (preventive health services) zaidi kiasi kwamba magongwa ya kuambukiza hakuna. Jawazai sana hivyo hata watoto ni wachache sana.
 
Back
Top Bottom