johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ndani ya miezi sita wabunge watatu wameshafariki lazima tuhoji kulikoni hata kama wengine tuliambiwa walipata ajali.
Kwani wabunge wakichukua tahadhari ya Corona watapungukiwa na nini?
Spika pale mbele anakaa peke yake (social distance) huku third class kwa akina Halima Mdee full kubanana na kupumuliana.
Uhai ni jambo binafsi mjue, shauri yenu.
Kazi Iendelee!
Kwani wabunge wakichukua tahadhari ya Corona watapungukiwa na nini?
Spika pale mbele anakaa peke yake (social distance) huku third class kwa akina Halima Mdee full kubanana na kupumuliana.
Uhai ni jambo binafsi mjue, shauri yenu.
Kazi Iendelee!