johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #41
Kwani wakala wa chanjo hapo Ufipa ameshaagiza?Ok kapangeni foleni ya chanjo sasa maana hamna namna upande wenu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wakala wa chanjo hapo Ufipa ameshaagiza?Ok kapangeni foleni ya chanjo sasa maana hamna namna upande wenu.
Huyo kifafa wa bild end fainensi?Hata babu Tale hana faida?
Hahahaaaa........!Huyo kifafa wa bild end fainensi?
Corona imemng'oa namba moja tutaacha kuiogopa?Hivi kwanini sie kila siku tunazungumzia na kuhofia corona kutoka kwa nchi za wenzetu tu? Kwanini sisi hivi tulivyojiachia ndio tusingekuwa zaidi ya huko India?
Tahadhari ni muhimu ili usiambukize wengine!
Umejua vipi kuwa hali yetu siyo mbaya zaidi ya India?Vyombo vyetu vya habari vilikatazwa kuripoti mambo ya corona,sasa unatumia mbinu gani kujua kuwa hali yetu siyo mbaya?Hivi kwanini sie kila siku tunazungumzia na kuhofia corona kutoka kwa nchi za wenzetu tu? Kwanini sisi hivi tulivyojiachia ndio tusingekuwa zaidi ya huko India?
Elimu ndio muhimu!Appropriate use of face masks is important. The face mask should completely cover the face from the bridge of the nose down to the chin. Clean hands with soap and water or alcohol-based hand sanitiser before putting on and taking off the face mask. When taking off the face mask, remove it from behind, avoiding to touch the front side. Dispose the face mask safely if it is disposable. Wash your hands or apply alcohol-based hand sanitiser immediately after removing the face mask. Washable, reusable face should be washed as soon as possible after each use, using common detergent at 60 °C. Campaigns for the appropriate use of face masks may improve the effectiveness of the measure.
Unadhani hayo yanazingatiwa katika matumizi yetu ya kuvaa barakoa?
Wapi wametangaza hivyo au ni dalili zipi zenye kukufanya useme hivyo? Mi najua Maalim seif alijitangaza kuwa ana corona na hakupona akafariki huyo ndio najua kwa kujitangaza mwenyewe sasa huyo namba moja amekufa vp na corona hebu niambie wewe umejuaje?Corona imemng'oa namba moja tutaacha kuiogopa?
Sasa kama watu hawana elimu ya matumizi sahihi ya kuvaa barakoa unadhani kuvaa kwao barakoa itakuwa ni kinga au ni hatari kwao?Elimu ndio muhimu!
Tanzania!Ni wapi unapajua wanavaa barakoa na hawafi!?
Sasa shida nin sasa kulalamikia bunge la tanzania wakati tanzania hawafiTanzania!
Bungeni ndio wanakufa sababu hawavai!Sasa shida nin sasa kulalamikia bunge la tanzania wakati tanzania hawafi
Ni bunge la nchi ganiBungeni ndio wanakufa sababu hawavai!
Nani aliyekuhakikishia kwamba ukivaa barakoa hutapata corona? Jee India au Brazil hawavai barakoa au hata Kenya barakoa zinavaliwa hadi kitandani wakati wa kulala lakini mwisho wanapuputika. Mwamini Mungu ndiye mweza wa yote sio barakoa wala kamatiNdani ya miezi sita wabunge watatu wameshafariki lazima tuhoji kulikoni hata kama wengine tuliambiwa walipata ajali.
Kwani wabunge wakichukua tahadhari ya Corona watapungukiwa na nini?
Spika pale mbele anakaa peke yake (social distance) huku third class kwa akina Halima Mdee full kubanana na kupumuliana.
Uhai ni jambo binafsi mjue, shauri yenu.
Kazi Iendelee!
Wagagagigikoko!Ni bunge la nchi gani
Hahahahahah kweli mnafiji hafaiNdani ya miezi sita wabunge watatu wameshafariki lazima tuhoji kulikoni hata kama wengine tuliambiwa walipata ajali.
Kwani wabunge wakichukua tahadhari ya Corona watapungukiwa na nini?
Spika pale mbele anakaa peke yake (social distance) huku third class kwa akina Halima Mdee full kubanana na kupumuliana.
Uhai ni jambo binafsi mjue, shauri yenu.
Kazi Iendelee!
Hahahaaaa....... Corona haichagui bwashee!Hahahahahah kweli mnafiji hafai
Leo wewe wa kusema hayo !!!!???
Sent from my Moto E (4) using JamiiForums mobile app
Tulia wewe Bashite mkubwaHuko wapi ? Instagram twitter au jf?? msiba auna kificho acha kudanganya na kudanganywa.
Sawa tu kwani nitajuaInaweza ikakulamba ww kwanza.....
mambo ya kuombeana mabaya hugeuka