Bunge limepoteza Wabunge wengi lakini bado hawajali kwa kuvaa barakoa

Bunge limepoteza Wabunge wengi lakini bado hawajali kwa kuvaa barakoa

Kwani kuna mtu kawazuia kujikinga kama kuna tishio la kuhitaji kujikinga ndg! Mbona mnaongea saaaana[emoji12]! Hebu njoo huku kwenye usafiri wa mabasi na 55 uone tunavyosafiri kwa social proximity mpaka raha na maisha yanaendelea kwa aman kabisa.

Nyie waoga ndio mtakufa kwa uoga wenu! Sisi watz bado tunayaenzi maono ya JPM ya kumtanguliza aliye Mkuu kuliko covid-19 yenyewe.. Mungu Muumbaji anaeendelea kutulinda[emoji120] na kuilinda nchi yetu Tanzania.
Endeleeni kuyaenzi mtafuata aliko Ili mkamuenzi vizuri
 
Ujue mnafurahisha yani mnalazimisha Magufuli kuwa kafa kwa corona na ushahidi wenu et kwa sababu alidharau corona, kafa makamu wa kwanza wa rais Maalim seifu na hakuidharau ila hamumtaji.
Hahaa, unaamini sana propaganda za jiwe
 
Barakao zinakinga hadi ajali za magari ? Wakumbuke na kufunga mikanda na kuwasihi madereva wao waendeshe mwendo wa wastani. Kuna mbunge naye alifariki kwa ajali ya gari
 
Hovyo kabisa kabla ya corona watu walikuwa hawafi? wakifa sasa hivyi ni corona?
Ukitengeneza hofu unapata faida gani?

ID yako unaonyesha kama mcha Mungu kumbe matope tu, ungekuwa na chembe ya imani usingeaminisha watu,kuwa barakoa ndo tumaini la kuzuia corona.

Africa watu waliokufa hawafiki laki mbili, Ulaya, Marekani na kwingine zaidi ya milioni tatu,unafikiri walikokufa wengi hawakuvaa barakoa na Afrika ndo wanajua sana kuvaa barakoa zimewaokoa?
Acha Mungu abebe utukufu wake usitujaze hofu kama unafaidika na corona,potelea mbali huko na Mungu akukemee.
 
Mbona Makondakta wa daladala za Mbagala, Gongo la mboto na Tegeta Kariakoo wanabanana na abiria Alfajir hadi Usiku lakin Wapo tu na karanga wanatupia bila ya kunawa na wanadunda tu
 
Wewe ndio unasema na kutaka kuwaaminisha watu, mie sina sababu ya kufukua kaburi wewe ndio unatakiwa ututhibitishie kuwa ni kweli kafa na corona kama Maalim seifu.
Ndiyo kafa kwa Corona sasa, na huu ndiyo ukweli wenyewe.
 
Covid gani tena bwashee,chini ya mwendazake si mlisema hakuna covid? Au wamekufa kwenye awamu ya 6?
 
Ndiyo kafa kwa Corona sasa, na huu ndiyo ukweli wenyewe.
Inaweza kuwa ni ukweli kwako ila kwa wengine bila ushahidi tutasemaje unachosema ni kweli? mimi nachojua ni kweli ni Maalim seif ndio kafa kwa corona hilo halina shaka ila huyo Magufuli mbona mnalazimisha? lete ushahidi.
 
Mbona Makondakta wa daladala za mbagala, gongo la mboto na Tegeta kariakoo wanabanana na abiria Alfajir hadi Usiku lakin Wapo tu na karanga wanatupia bila ya kunawa na wanadunda tu
Wanadai kuwa wanakufa ila haitangazwi.
 
Hii mijitu iliyolishwa sumu na Meko kuwa barakoa ndio zinaeneza Corona hata ukiishauri utaishia kutukanwa tu
There are three important caveats related to the use of face masks in the community:
 It should be ensured that medical face masks (and respirators) are conserved and prioritised for use by healthcare providers, especially given the current shortages of respiratory personal protective equipment reported across EU/EEA countries.

 The use of face masks may provide a false sense of security leading to suboptimal physical distancing, poor respiratory etiquette and hand hygiene – and even not staying at home when ill.
 There is a risk that improper removal of the face mask, handling of a contaminated face mask or an increased tendency to touch the face while wearing a face mask by healthy persons might actually increase the risk of transmission.
 
Hahaa, unaamini sana propaganda za jiwe
Ni uvivu wako tu wa kufikiri ndio ambao unakufanya usijusumbue kufikiri na kuishia kumuhusisha Jiwe kila jambo, kabla hata ya jiwe kuanza kuwa na mitazamo yake kuhusu corona mie nilishaonaga ni propaganda kitambo tu kwenye corona. Mmeunda kamati haijatuambia tumeathirika kiasi gani na propaganda za Jiwe ila imekimbilia kushauri chanjo.
 
Back
Top Bottom