Bunge limetangaza nafasi 42 za kazi kwa Watanzania wasiozidi miaka 45

Bunge limetangaza nafasi 42 za kazi kwa Watanzania wasiozidi miaka 45

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
SWTBusiness1286PICTURE1.jpg

Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limetangaza nafasi za kazi 42 katika taaluma mbalimbali kwa Watanzania wasiozidi umri wa miaka 45 kuanzia leo Ijumaa Aprili 21, 2023 na mwisho wa kutuma maombi ni Mei 4, 2023.

Tangazo hilo la kazi limetolewa leo Ijumaa Aprili 21, 2023 likitoa nafasi kwa madereva sita wa daraja la II, mchumi mmoja daraja la II, mhandisi umeme mmoja daraja la II, ofisa usimamizi wa fedha mmoja daraja la II, waandishi 10 wa taarifa rasmi za Bunge daraja la II.

Nafasi nyingine ni Ofisa Tehama (Network Administrator) mmoja daraja la II, Ofisa Sheria mmoja Daraja la II, Katibu wasaidizi wa Bunge (Sheria) wawili daraja la II, Katibu wasaidizi wa Bunge (Uchumi) wawili daraja la II, Katibu wasaidizi wa Bunge (Afya ya Jamii/Menejimenti ya huduma za afya) wawili daraja la II, Katibu wasaidizi wa Bunge (Usimamizi wa mazingira) mmoja daraja la II.

Katibu Msaidizi wa Bunge (sosholojia) mmoja daraja la II, Makatibu Mahsusi saba daraja la III, Mteknolojia Maabara mmoja daraja la II, Wafiziotherapia wawili daraja la II, Msaidizi wa kumbukumbu mmoja, Ofisa kumbukumbu mmoja daraja la II, Ofisa utafiti mmoja daraja la II.

BUNGE TANZANIA
 
Hilo jengo limekula mabilioni lakini la ovyo kabisa na inaonekana limejengwa kwa cheap material
 
SWTBusiness1286PICTURE1.jpg

Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limetangaza nafasi za kazi 42 katika taaluma mbalimbali kwa Watanzania wasiozidi umri wa miaka 45 kuanzia leo Ijumaa Aprili 21, 2023 na mwisho wa kutuma maombi ni Mei 4, 2023.

Tangazo hilo la kazi limetolewa leo Ijumaa Aprili 21, 2023 likitoa nafasi kwa madereva sita wa daraja la II, mchumi mmoja daraja la II, mhandisi umeme mmoja daraja la II, ofisa usimamizi wa fedha mmoja daraja la II, waandishi 10 wa taarifa rasmi za Bunge daraja la II.

Nafasi nyingine ni Ofisa Tehama (Network Administrator) mmoja daraja la II, Ofisa Sheria mmoja Daraja la II, Katibu wasaidizi wa Bunge (Sheria) wawili daraja la II, Katibu wasaidizi wa Bunge (Uchumi) wawili daraja la II, Katibu wasaidizi wa Bunge (Afya ya Jamii/Menejimenti ya huduma za afya) wawili daraja la II, Katibu wasaidizi wa Bunge (Usimamizi wa mazingira) mmoja daraja la II.

Katibu Msaidizi wa Bunge (sosholojia) mmoja daraja la II, Makatibu Mahsusi saba daraja la III, Mteknolojia Maabara mmoja daraja la II, Wafiziotherapia wawili daraja la II, Msaidizi wa kumbukumbu mmoja, Ofisa kumbukumbu mmoja daraja la II, Ofisa utafiti mmoja daraja la II.

BUNGE TANZANIA
Pumbavu nafasi zina watu hizo tayari hizo idiot
 
Back
Top Bottom