Bunge linalokuja mwezi Februari lijadili kwa hati ya dharura Mkopo wa tril 1.3. kwa maslahi ya Taifa. Namna ulivyopatikana na matumizi yake

Dikteta alikuwa fisadi kuu
 
Mikopo kuwa siri haijaanza leo wala jana wakati mwingine ni sehemu ya masharti ya wanaotukopesha.

Hizi siasa za chuki dhidi ya nani anayeiongoza awamu ya sita, haziwezi kubadilisha tamaduni na taratibu za mikopo tunayopewa na taasisi za dunia ya kwanza.
 
Huo mkopo sijui msaada wa Uviko na WB kuna watendaji wataibuka mabepari hatari! Nina mashaka makubwa sana na management ya hizo funds kuanzia ngazi ya wizara hadi wasimamizi wa kinachoitwa ujenzi wa madarasa huko chini. CAG kazi anayo!
Mahekalu unayoyaona mbezi beach, mikocheni na masaki ndivyo yanavyojengwa.
 
Naunga mkono hoja, kwani Kuna tetesi nimesikia kuwa zenji wamepata mgawo wa Bil. 200. Hii haikubaliki kulingana na uwiano wa watu na eneo Kati ya bara na zenji
Zanzibar ni nchi huru, mchongameno aliungana na zanzibar kwa hiyari yake chochote kinachopatikana ni nusu kwa nusu na sio izo bil200 asilimia 4 sijui., mama ana kazi bado ya kupeleka hizi fedha zanzibar miaka mingi tanganyika wanazitumia hizi hela peke yao, wamejenga madaraja sijui wamenunua ndege, flyover na ma sgr kule zanzibar hakuna kitu., lakini on top of that zanzibar wanalipa kodi zinaenda tanganyika kupitia TRA., ni unyama mkubwa hawa wanyamawezi wanaowafanyia wazanzibari
 
Reactions: lum
Tutaanza na kujadili trilioni 29 kwa miaka 5 ya mwendazake kwanini alikopa hii hela na kwa ajili gani na riba zake zikoje nadhani tuanzie hapo., hii ya 1.3 bado ni vijisent kwa tril29.,
 
Mimi nipo huku Zanzibar sijaona miradi ikifanyika mfano madarasa na vyoo, barabara sasa hizo pesa za mgao zilizo pelekwa Zanzibar zime tumika kwenye nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni mpuuzi huna akili. Chuki inatoka wapi? Kuhoji matumizi ya mkopo ni kosa? Pumbavu huna akili
Povu ruhusa siku zote. Awamu ya JPM ilikopa bilioni 29.3 na hakuna aliyefungua mdomo wake kuhoji au kuanzisha mjadala.

Trilioni 1.3 kukopwa imeshakuwa ni nongwa tayari!!.
 
Tril 29.3 zilikopwa kujenga madarasa wakati kuna tozo zinazojenga madarasa? Tumia akili pimbi mkubwa. Tril 29.3 huku una miradi mkakati kama Sgr, JNHP na mingine kuna shida?
Wewe ndio hutumii akili. Mikopo ni kwa ajili ya SGR inayogharamiwa kwa shilingi trilioni 14. Tozo za ndani ndio zinakwenda kwenye matumizi ya ndani kama vile miradi ya maji, ujenzi wa madarasa mapya, ukarabati wa viwanja vya ndege.

Kulalamika kwingi mpaka unapoteza reasoning ya kawaida tu.
 
Tutaanza na kujadili trilioni 29 kwa miaka 5 ya mwendazake kwanini alikopa hii hela na kwa ajili gani na riba zake zikoje nadhani tuanzie hapo., hii ya 1.3 bado ni vijisent kwa tril29.,
Una uhakika magu alikopa tirioni 29 Leta hapa hizo data
 
Sasa kama mwalimu ndiye alie scrifice tanganyika kwa Zanzibar, mbona wazanzibari walipotaka kuvunja muungano Lukuvi alisema hatuwezi kuicha Zanzibar lazima tutaishikilia?

Lakini pia fahamu kwamba Zanzibar ni visiwa sio kama huko ubarani eneo lake la ardhi hata hawo wazanzibari wenyewe haliwatoshi kumiliki ardhi lakini utashangaa bado kuna wanyamwezi kibao kutoka bara kule wako wamepewa mashamba wanalima viazi vitamu, wanafanya biashara mbali mbali., Nyerere kama aliyoona Zanzibar ni ndogo kwanini alilazimisha kuungana hivyo hivyo?

Zanzibar ndio nchi pekee duniani ambayo wananchi wake wanalipa kodi mara mbili - wanalipa kupitia ZRB kwa maslahi ya Zanzibar wenyewe lakini TRA kwa maslahi ya tanganyika tu, kodi ndizo zinazowapa mdomo tanganyika na kulipana mishahara yao na maposho yao wanayolipana na chakula chao.

BOT asili yake Zanzibar ndio walitoa fedha nyingi zaidi za kigeni kuanzishwa kwake lakini leo BOT inaonekana ni zao la Tanganyika pekee,

Mabalozi walioko nje huko ambao wanaiwakilisha tanzania karibu wote ni wanyamwezi kutoka bara, hakuna mzanzibari hata mmoja na Zanzibar mpaka leo ikijaribu kutaka mashirikiano na nchi nyengine kibali lazima kitoke tanganyika hivi ndivyo namna huyo nyerere wako alivyotaka kuimeza zanzibar mpaka leo., Tanganyika inafaidika kupitia mgongo wa Zanzibar ndio mana hamtaki kuachia.,

Sasaivi Mama amekuwa rais kwa mujibu katiba kwa kile kilichotokea basi kina Ndugai kelele kibao na ni miezi 9 tu sasa., wakati nyinyi mumekuwa mnaongoza serikali ya muungano peke yenu mwaka wa 60 sasa njaa tupu.,
 
Una uhakika magu alikopa tirioni 29 Leta hapa hizo data
Vuta clip ya Steven Wasira hivi karibuni,
Nyinyi mnalishwa sana matangopori mukija hapa Jf ni kama vile mumevutishwa mabangi
 
Kwa Bunge lipi,hili lililojaa wabunge wa chupli chupli walioingizwa kwa kura za kwenye mabegi na mitutu ya bunduki? Hao wote wako upande wa Rais.
wazi kuna siri
 
Hata Sukuma gang hawawezi kukubali hii kitu kwa sababu wanajua itawavua nguo kwenye mikopo yao ya zamani.
 
Kama ndugai kaondolewa kwa hila kwa kuhoji mikopo, unategemea kuna mwingine atakuwa na guts hizo? kinachofuata tokea sasa ni makofi na vigeregere kwa mama. Naona kale ka wimbo ka 'tuna imani na mamaaa....hoyaaaa....hoyaaaa.....hoyaaaa....' kanenda kutamalaki kunako mjengoni.
 
Tatizo una chuki binafsi na mama. Nadhani wangeaza na trillion 20 zilizokopwa kipindi Cha jiwe ndio waje kujadili za mama. Halafu, jiwe alipokuwa anapeleka miradi chato mlishangilia Sana. Mama akipeleka pesa Zanzibar mnalalamika.
Narudia tena hata Sukuma gang hawawezi kukubali hii hoja,itawapukutisha kwenye vyeo na kuwatia kolokoloni.
 
Miaka yote alikuwa wapi kuhoji? Kwanza kajiondoa nani kamjondoa?
 
Tangu lini 1.3 t ikawa Siri?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…