Bunge linalotegemewa kupitisha Sheria za Nchi lasema limebaini dosari kwenye upitishaji wa sheria ya kumiliki laini zaidi ya 1

Mitandao yenyewe ya simu wanaota huuduma kama wanavyotaka wao, bei elekezi ya matumizi ya mitandao ya simu haijawahi elezwa ni ipi halafu wanataka kutumia line moja.

Wakimaliza hapo warudi na kwenye blog nako watazame madhara ya hiyo sheria,wengi wameinyamazia kwa sababu tu ilishapitishwa na walojaribu kwenda mahakamani walishindwa kesi,ila kisiasa ina madhara makubwa kwa sababu wale ambao angalau walikuwa wanapata hata hela ya kula mchana sasa hawapati tena kwa sababu vitangazo vyao havipostiwi tena katika blog.

Pia kuna haja kabla ya sheria hizi kupitishwa rasmi,wawe wanazifanyia majaribio na kuona madhara yake katika jamii,kwa sababu sheria kama ya matumizi ya laini za simu kuwa ngapi bado haina madhara makubwa kwa jamii,mfano mtu ana line moja lakini bado atakwambia ile hela tuma kwa namba hii,huyo ndo mtu wa kudeal nae mara moja hasa katika ulimwengu wa teknolojia huendeshwa kiteknolojia zaidi kuliko sheria za kubanana banana.
 
Tatizo ni hati za dharura kama ile ya Ndugai na wenzake kutoshitakiwa.
 
Wakati mwingine unashangaa, sheria kama hii ya laini zaidi ya moja kwa mtandao inaletwa kutatua shida gani? What mischief is it trying to stop?
 
Walidhani itawabana Chadema wakiipitisha, sasa inawabana wenyewe.
 
Tunasubiri tamko hizi line zetu tuzitupeee au tuzirudishe kwao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…