kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,257
- 12,244
Una maanisha abiria wawe wanalala njiani? Yaani kutoka Dar mpaka Mza siku mbili au sio?Malori yasafiri usiku na mabasi yasafiri Mchana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una maanisha abiria wawe wanalala njiani? Yaani kutoka Dar mpaka Mza siku mbili au sio?Malori yasafiri usiku na mabasi yasafiri Mchana
Aisee, huna uelewa kabisa na mambo hayo.wawe na bima kubwa ndio niniNimesema tu, wenye mabasi waendelee kuchangia
Vinginevyo abiria wanao safari usiku wawe na Bima kubwa
Dereva anaendesha gari zaidi ya masaa 12 lazima wagongeshe tu.Nimesema tu, wenye mabasi waendelee kuchangia
Vinginevyo abiria wanao safari usiku wawe na Bima kubwa
Nimesema tu, wenye mabasi waendelee kuchangia
Vinginevyo abiria wanao safari usiku wawe na Bima kubwa
Mkuu madereva wengi haswa malori ya mchanga ni mateja hivyo hata uweke polisi elfu kumi njiani bado ajali zitatokea tuNjia za udhibiti vyombo vya moto ziongezwe, trafiki wawe wengi sana ,vifaa vya kisasa vifungwe, abiria waelimishwe wajibu wao, namba za simu ziwekwe wazi ili abiria akiona vitendo visivyafaa vya madereva iwe rahisi kupiga simu, kuwepo na vituo vingi vya ukaguzi , abiria wakitoa malalamiko kwa madereva safari isiendelee mpaka dereva abadilishwe mara nyingine dereva anaposhtakiwa anakuwa katika msongo wa mawazo na makosa ya dereva mmiliki pia awajibike moja kwa moja hii itawafanya wamiliki kutafuta madereva bora
Nchi zinazotuzunguka mabasi yao yanasafili usiku,ulishawahi kusikia wana ajali kama sisi,Istoshe mabasi yalisitishwa kusafiri usiku sababu ya usalama yaani ujambazi sio ajaliNimesema tu, wenye mabasi waendelee kuchangia
Vinginevyo abiria wanao safari usiku wawe na Bima kubwa
Madereva wetu wana kunywa mo enejiWakodiwe madereva toka Kenya au Somalia wasiosinzia hovyo kutokana na kubugia mirungi toka utotoni watuendeshee basi zetu
Nchi zingine mabasi yana safiri mchana tu mwisho saa 12 jioni usiku ni marufuku kabisa, na malori yana ruhusiwa kutembea usiku kucha, matrekta na mashine za ujenzi ni marufuku kutembea bara barani lazima vipakiwe kwenye ma trailerMalori yasafiri usiku na mabasi yasafiri Mchana
Nchi ganiNchi zingine mabasi yana safiri mchana tu mwisho saa 12 jioni usiku ni marufuku kabisa, na malori yana ruhusiwa kutembea usiku kucha, matrekta na mashine za ujenzi ni marufuku kutembea bara barani lazima vipakiwe kwenye ma trailer
Maximum iwe ni masaa 8. Na kila dereva awe na log book ya kujaza muda wake wa kazi!Dereva anaendesha gari zaidi ya masaa 12 lazima wagongeshe tu.
Pamoja na uzembe wa madereve lakini barabara zetu zinachangia, ni mbovu, nyembamba - hadi hapo tutakapokuwa na uwezo wa kuweka double road ndipo tutapona na hizi ajali