KateMiddleton
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 3,883
- 4,676
Sijui kwanini huelewiLengo hapa ni kulazimisha kila mtu aandike wosia.
Kwamfano leo sheria ikiwepo wewe utaacha kuandika wosia?
Kama utauandika basi hakutakuwa na mgogoro ukifariki.
Unahisi ni kwanini hadi sasa hakuna sheria kama hio??
Watu watauana sana,.ina madhara kuliko faida