Tetesi: Bunge Live: Wanataka kujikosha ili Nape pekee aonekane ndiye aliyewasaliti wananchi

Tetesi: Bunge Live: Wanataka kujikosha ili Nape pekee aonekane ndiye aliyewasaliti wananchi

Wana CCM ni washirika na Nape alikuwa sehemu ya ushirika huo. Huwezi kuwauza watu waliokuamini kwa vipande vya fedha na cheo halafu baadae ujitetee eti yalikuwa maagizo. Huyo Nape tunayetaka kumpamba kwa sifa wakati alijiloweka mwenyewe kwenye chemba ya choo (CCM) hatumtendei haki. HUYU BADO NI MSALITI WA WATANZANIA.

Maswali ya kujiuliza ni kwanini yeye? Kwanini bunge lizimwe akiwa yeye ndiye waziri lakini siyo Mwakyembe? Tuamini kuwa ukipewa dhamana ya uongozi huwajibiki kwa utakayoyatenda na kuyapitisha kwa nafasi uliyopewa?

Nape bado sana hajafikia mahali pa kuaminika eti anapambana na uchafu unaoendelea nchini. Huyu anaona wivu wavutabangi na walevi walionunuliwa kama bidhaa kutoka upinzani upinzani kama Waitara kupewa vyeo huku yeye akiwekwa benchi. (Nadhani anajiuliza bidhaa uliyoinunua itakuwaje bosi wako?).

Kwa msiomfahamu, Nape ni aina ya watu ambao ukiwapa nafasi ya kula atafanya uchafu wowote atakaoagizwa ila akiwekwa pembeni atajifanya ni mpenda haki sana.

Hana tofauti na Polepole na Bashiru. Hawa walipokuwa hawana hili wala lile walikuwa wapiga kelele, wamepewa fedha, maisha mazuri, marupurupu, safari za kila siku, na magari ya kuwapeleka wanapotaka wamegeuka wamekuwa kabisa. Wamekuwa waovu mara mia kuliko wale tuliokuwa tunawaandama (akina Kinana).

Tusiwasikilize mbwa hawa na tusijisumbue kupambana na mbwa. Mbwa kazi yake kubweka bila kujali bwana wake ni yupi. Hawa ni sawa na polisi. Siku bwana wao akibadilika nao hubadilika na hata kufikia kumrarua bila kujali kuwa jana alikuwa bwana wao.

Vita hii tukiielekeza kwa mbwa tutapoteza uelekeo. Tupambane na wafuga mbwa
 
U Bashite nini mkubwa na umeamua kuja kwa mtindo na namna nyingine?

Si unakumbuka few past days ago, alikuja na wazo kuwa wana DSM wote muuze na kununua kila kitu kwa kutumia "bank credit cards?" na akaishia kupokea za uso za kutosha mpaka akatulia tuliiiii....?

Sasa naona labda ndiwe wewe huyohuyo na umeamua kuja na sell and buy through "soft money" or "hard cash"

What I can say for now is that, this is almost impractical, at least not for now until some checks and balances are put online.....

And it seemingly kuwa, hutambui ya kwamba more than 75% ya Watanzania wanaishi vijijini japo wengi wanamiliki simu za kawaida za kichina na wanachojua wao ni kupokea tu hiyo simu kwa sbb hata kuweka airtime (voucher) ni mara moja kwa mwezi tena kwa kuomba....!!

Leo huyu maskini umwambie akipata 500 ili anunue mchicha ama bamia sokoni aanze kumtafuta wakala wa mobile money aweke "jero" ili apate anachokitaka??

Kwa hiyo usiseme tu kwa kudhani kuwa Tanzania hii ni DSM.....
"Tupo negative sana ndio manager tutaendelea kubaki nyuma,let's go tuwe positive changamoto tutazitatua mbele"
 
Huo mkakati mpaka akaujue huyu NYUMBU jike mleta mada mfu utakuwa na maana ganu sasa. Yaani uwepo mkakati kabambe kama huo halafu siri azipate huyu???? Mhhh

Hamna siri ya watu wawili. Huoni waliompiga risasi Lissu wanafahamika ila madaraka yao tu ndio yanawalinda.
 
Kwa hiyo Nape ameambiwa aende kwenye media na kusema kuwa yeye ndiye alikuwa tatizo!

Yaani mtu mwenye akili timamu anasema mimi ndiye niliua halafu mtu mwingine anajitokeza na kusema huyu anayesema aliua hajaua bali anafanya propaganda na wanataka kum-brand kuwa aliua wakati muuwaji ni mtu mwingine!

Hizi ni fikra za kijinga ambazo huyo mjinga hajui kama ni mjinga.

Dhana ya kusema kuzuia bunge live amewasaliti wananchi ni relative kwa sababu kila mwananchi ana mtazamo na hisia zake kuhusu uamuzi.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Bunge kuzimwa ni wazo la serekali za CCM, lilianza kipindi cha JK na kutekelezwa awamu hii nape akiwa waziri mwenye dhamana. Sababu ziliwekwa kubwa zikiwa ni gharama na kuwapa nafasi raia wafanye kazi, japo kwa jicho la tatu lengo lilikuwa ni kuwadhibiti wapinzani wasijijenge kupitia bunge live! huku ikisahaulika kuwa "ujenzi" (kama ulikuwepo) ulikuwa unajenga kote kote.
 
Wana CCM ni washirika na Nape alikuwa sehemu ya ushirika huo. Huwezi kuwauza watu waliokuamini kwa vipande vya fedha na cheo halafu baadae ujitetee eti yalikuwa maagizo. Huyo Nape tunayetaka kumpamba kwa sifa wakati alijiloweka mwenyewe kwenye chemba ya choo (CCM) hatumtendei haki. HUYU BADO NI MSALITI WA WATANZANIA.

Maswali ya kujiuliza ni kwanini yeye? Kwanini bunge lizimwe akiwa yeye ndiye waziri lakini siyo Mwakyembe? Tuamini kuwa ukipewa dhamana ya uongozi huwajibiki kwa utakayoyatenda na kuyapitisha kwa nafasi uliyopewa?

Nape bado sana hajafikia mahali pa kuaminika eti anapambana na uchafu unaoendelea nchini. Huyu anaona wivu wavutabangi na walevi walionunuliwa kama bidhaa kutoka upinzani upinzani kama Waitara kupewa vyeo huku yeye akiwekwa benchi. (Nadhani anajiuliza bidhaa uliyoinunua itakuwaje bosi wako?).

Kwa msiomfahamu, Nape ni aina ya watu ambao ukiwapa nafasi ya kula atafanya uchafu wowote atakaoagizwa ila akiwekwa pembeni atajifanya ni mpenda haki sana.

Hana tofauti na Polepole na Bashiru. Hawa walipokuwa hawana hili wala lile walikuwa wapiga kelele, wamepewa fedha, maisha mazuri, marupurupu, safari za kila siku, na magari ya kuwapeleka wanapotaka wamegeuka wamekuwa kabisa. Wamekuwa waovu mara mia kuliko wale tuliokuwa tunawaandama (akina Kinana).

Tusiwasikilize mbwa hawa na tusijisumbue kupambana na mbwa. Mbwa kazi yake kubweka bila kujali bwana wake ni yupi. Hawa ni sawa na polisi. Siku bwana wao akibadilika nao hubadilika na hata kufikia kumrarua bila kujali kuwa jana alikuwa bwana wao.

Vita hii tukiielekeza kwa mbwa tutapoteza uelekeo. Tupambane na wafuga mbwa
Hao hao washirika wa Nape ndio wanataka mwenzao wamuache jangwani afe peke yake.
 
Ya
Mkuu achana na interview ya nape mi nimekuuliza wewe kwa heshima na taadhima na naomba nilirudie swali langu,je waziri wa habari anaweza zuia bunge lisionyeshwe live bila kuwa na baraka/maelekezo ya Mwenyekiti wa baraza la mawaziri?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu jibu analijua ila hawezi kukujibu.
 
Back
Top Bottom