KWADWO ABIMBOLA
JF-Expert Member
- Jan 8, 2019
- 762
- 1,599
Wana CCM ni washirika na Nape alikuwa sehemu ya ushirika huo. Huwezi kuwauza watu waliokuamini kwa vipande vya fedha na cheo halafu baadae ujitetee eti yalikuwa maagizo. Huyo Nape tunayetaka kumpamba kwa sifa wakati alijiloweka mwenyewe kwenye chemba ya choo (CCM) hatumtendei haki. HUYU BADO NI MSALITI WA WATANZANIA.
Maswali ya kujiuliza ni kwanini yeye? Kwanini bunge lizimwe akiwa yeye ndiye waziri lakini siyo Mwakyembe? Tuamini kuwa ukipewa dhamana ya uongozi huwajibiki kwa utakayoyatenda na kuyapitisha kwa nafasi uliyopewa?
Nape bado sana hajafikia mahali pa kuaminika eti anapambana na uchafu unaoendelea nchini. Huyu anaona wivu wavutabangi na walevi walionunuliwa kama bidhaa kutoka upinzani upinzani kama Waitara kupewa vyeo huku yeye akiwekwa benchi. (Nadhani anajiuliza bidhaa uliyoinunua itakuwaje bosi wako?).
Kwa msiomfahamu, Nape ni aina ya watu ambao ukiwapa nafasi ya kula atafanya uchafu wowote atakaoagizwa ila akiwekwa pembeni atajifanya ni mpenda haki sana.
Hana tofauti na Polepole na Bashiru. Hawa walipokuwa hawana hili wala lile walikuwa wapiga kelele, wamepewa fedha, maisha mazuri, marupurupu, safari za kila siku, na magari ya kuwapeleka wanapotaka wamegeuka wamekuwa kabisa. Wamekuwa waovu mara mia kuliko wale tuliokuwa tunawaandama (akina Kinana).
Tusiwasikilize mbwa hawa na tusijisumbue kupambana na mbwa. Mbwa kazi yake kubweka bila kujali bwana wake ni yupi. Hawa ni sawa na polisi. Siku bwana wao akibadilika nao hubadilika na hata kufikia kumrarua bila kujali kuwa jana alikuwa bwana wao.
Vita hii tukiielekeza kwa mbwa tutapoteza uelekeo. Tupambane na wafuga mbwa
Maswali ya kujiuliza ni kwanini yeye? Kwanini bunge lizimwe akiwa yeye ndiye waziri lakini siyo Mwakyembe? Tuamini kuwa ukipewa dhamana ya uongozi huwajibiki kwa utakayoyatenda na kuyapitisha kwa nafasi uliyopewa?
Nape bado sana hajafikia mahali pa kuaminika eti anapambana na uchafu unaoendelea nchini. Huyu anaona wivu wavutabangi na walevi walionunuliwa kama bidhaa kutoka upinzani upinzani kama Waitara kupewa vyeo huku yeye akiwekwa benchi. (Nadhani anajiuliza bidhaa uliyoinunua itakuwaje bosi wako?).
Kwa msiomfahamu, Nape ni aina ya watu ambao ukiwapa nafasi ya kula atafanya uchafu wowote atakaoagizwa ila akiwekwa pembeni atajifanya ni mpenda haki sana.
Hana tofauti na Polepole na Bashiru. Hawa walipokuwa hawana hili wala lile walikuwa wapiga kelele, wamepewa fedha, maisha mazuri, marupurupu, safari za kila siku, na magari ya kuwapeleka wanapotaka wamegeuka wamekuwa kabisa. Wamekuwa waovu mara mia kuliko wale tuliokuwa tunawaandama (akina Kinana).
Tusiwasikilize mbwa hawa na tusijisumbue kupambana na mbwa. Mbwa kazi yake kubweka bila kujali bwana wake ni yupi. Hawa ni sawa na polisi. Siku bwana wao akibadilika nao hubadilika na hata kufikia kumrarua bila kujali kuwa jana alikuwa bwana wao.
Vita hii tukiielekeza kwa mbwa tutapoteza uelekeo. Tupambane na wafuga mbwa