Wewe mbunge unajua upo hapo kuwakilisha wananchi, au unawakilisha kundi fulani kama watu wenye ulemavu nk, lakini mwanzo mwisho mama ametenda hiki, mama ametenda kile, hakuna kama yeye, dunia haijawahi kuona kama huyu!
Hivi hamuoni aibu? Hamsikii haya kwa huu ujinga mnaofanya? Yaani bunge limekuwa kama takataka sasa hivi kuangalia sifa zenyu za kipuuzi. Si wanaume wala wanawake wote mnatia kinyaa!
Inabidi tuwakumbushe nini kimewapeleka hapo? Maana inaonekana hamuelewi kabisa kilichowapeleka hapo. Wananchi wenu wana matatizo kibao lakini mmekalia mama anafanya hivi, mama anafanya vile, bure kabisa.
Na sisi wapiga kura embu tuwe serious basi, unaona mbunge wako mweupe na mjinga kama hivi piga chini. Mwisho wa siku wewe ndio unaathirika wao wakigeuka chawa, koi zetu zinaishia mifukoni mwao, huduma zinazidi kuwa mbovu huku wewe unazidi kuwa masiki.
Amka, hakuna chama chochote kimezaliwa na wewe, PIGA CHINI!
Your browser is not able to display this video.
Nini sasa hiki?
Your browser is not able to display this video.
Kingwangalla ni ujinga gani huu unaongea? Comfortable kabisa kwamba umeenda kuwawakilisha wananchi? Shame on you.
Wewe mbunge unajua upo hapo kuwakilisha wananchi, au unawakilisha kundi fulani kama watu wenye ulemavu nk, lakini mwanzo mwisho mama ametenda hiki, mama ametenda kile, hakuna kama yeye, dunia haijawahi kuona kama huyu!
Hivi hamuoni aibu? Hamsikii haya kwa huu ujinga mnaofanya? Yaani bunge limekuwa kama takataka sasa hivi kuangalia sifa zenyu za kipuuzi. Si wanaume wala wanawake wote mnatia kinyaa!
Inabidi tuwakumbushe nini kimewapeleka hapo? Maana inaonekana hamuelewi kabisa kilichowapeleka hapo. Wananchi wenu wana matatizo kibao lakini mmekalia mama anafanya hivi, mama anafanya vile, bure kabisa.
Na sisi wapiga kura embu tuwe serious basi, unaona mbunge wako mweupe na mjinga kama hivi piga chini. Mwisho wa siku wewe ndio unaathirika wao wakigeuka chawa, koi zetu zinaishia mifukoni mwao, huduma zinazidi kuwa mbovu huku wewe unazidi kuwa masiki.
Amka, hakuna chama chochote kimezaliwa na wewe, PIGA CHINI!
Tatizo la CCM ni kukosa UADILIFU.
Chama kimekuwa chaka la wezi, mafisadi, wauza ngada, matapeli na kila sifa chafu wanakilimbilia CCM kwani ndiko kwenye ulinzi wa uchafu wao
Tatizo la CCM ni kukosa UADILIFU.
Chama kimekuwa chaka la wezi, mafisadi, wauza ngada, matapeli na kila sifa chafu wanakilimbilia CCM kwani ndiko kwenye ulinzi wa uchafu wao
Wewe mbunge unajua upo hapo kuwakilisha wananchi, au unawakilisha kundi fulani kama watu wenye ulemavu nk, lakini mwanzo mwisho mama ametenda hiki, mama ametenda kile, hakuna kama yeye, dunia haijawahi kuona kama huyu!
Hivi hamuoni aibu? Hamsikii haya kwa huu ujinga mnaofanya? Yaani bunge limekuwa kama takataka sasa hivi kuangalia sifa zenyu za kipuuzi. Si wanaume wala wanawake wote mnatia kinyaa!
Inabidi tuwakumbushe nini kimewapeleka hapo? Maana inaonekana hamuelewi kabisa kilichowapeleka hapo. Wananchi wenu wana matatizo kibao lakini mmekalia mama anafanya hivi, mama anafanya vile, bure kabisa.
Na sisi wapiga kura embu tuwe serious basi, unaona mbunge wako mweupe na mjinga kama hivi piga chini. Mwisho wa siku wewe ndio unaathirika wao wakigeuka chawa, koi zetu zinaishia mifukoni mwao, huduma zinazidi kuwa mbovu huku wewe unazidi kuwa masiki.
Amka, hakuna chama chochote kimezaliwa na wewe, PIGA CHINI!
Yes /No mkuu,Bunge la chama kimoja lilikua mwiba kwa serikali ya ccm,kumbuka scandals za Chavda,Ladwas,Tanganyika etc etc,wabunge wale walikua wanatetea wapiga kura wao sio wa sasa waliojaa upumbavu,kipindi kile mbunge kama Tuntemeke sanga (MHSRIP)akisimama kuongea hakuna hata mbunge mmoja atakua anasinzia,Bunge la sasa limejaa wapumbavu wengi wenye degrees fake na hata kujenga hoja za maana ni zero