Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Ndio maana upo gizani kiakili maana huelewi hata kinachoendelea katika nchi hii.Yaani Mimi nifuatilie hilo bunge kibogoyo la majizi ya kura? Washamba na wasiojua lolote ndio wana muda wa kufuatilia hao wahuni.