Yaani Mimi nisikilize huo uchafu?! Labda wale wanaomini maisha Yao ya naweza kusaidiwa na hilo bunge kibogoyo. Watu wa huko vijijini na wazee wanaosikiliza TBC tu ndio wana muda wa kusikiliza hilo bunge.
Yaani Mimi nisikilize huo uchafu?! Labda wale wanaomini maisha Yao ya naweza kusaidiwa na hilo bunge kibogoyo. Watu wa huko vijijini na wazee wanaosikiliza TBC tu ndio wana muda wa kusikiliza hilo bunge.