Bunge: Wabunge wanakatwa kodi zote stahiki ikiwemo 'PAYE''

Bunge: Wabunge wanakatwa kodi zote stahiki ikiwemo 'PAYE''

Unatakiwa ujumlishe kila kitu kwenye mshahara, bonuses na marupurupu.

Allowable expenditure unatoa baada ya hapo based on receipt evidence.

Uwezi kupewa hela ya kulala laki mbili kwa siku halafu wewe ukalale kwa ndugu yako bure uachwe. Allowable expenditure yoyote inahitaji ushahidi.

Wabunge walipe kodi stahiki, halafu afadhali hao watumishi wa umma ndio salaleh kodi wanazoachiwa wabunge afadhali.

P.S Max ongea ni huyu mod wako mwenye obsession na mimi; nakifahamu kifaa changu. Cursor is all over the place these past few days when I type.

Get this person psychological help seriously.
unaleta hoja nyingine ya justification and accounting ambaYo siyo hoja yetu ya msingi hapa. Tusimame kwenye hoja au shut up mkuu. Nina hakika mshahara wa mbunge unajulikana na ni taxable- Specif allowance have difference treatment based on the reason(s) they were made to exist. Tunachotakiwa kufanya ni kubadirisha sheria. Mkuu wabadirisha sheria na hao hao na SHERIA YA ASILI inasema hakuna mtu atatunga sheria inayo muumiza yeye.
Mfano bunge limeandika sheria ya kuweka ukomo wa rais- mihula miwili WAO mpaka Mungu apende= ndiyo SHERIA YA ASILI inavyosema.
ENDELEA NA MATAMANIO YAKO.
 
Kiinua mgongo chao kinatakiwa kukatwa kodi sababu wabunge hawachangii hata mia mifuko ya jamii kama NSSF au PSSF wanajizolea tu pesa za walipa kodi free.Wakatwe kodi wakilipwa

Ni unfair unamkabidhi mtu mamilioni ya mafao wakati hachangii mifuko ya jamii tax free

Wanapotaka wigo wa walipa kodi upanuliwe unatakiwa upanuke hadi kwao sio kwa wanyonge tu
Nadhani kinua mgogo chao kinakatwa kodi
 
Jerry slaa hajawahi kuangalia salary slip yake ndo maana hajui km anakatwa kodi au laah! Wabunge mtatapatapa sana huu mjadala ni non stop! Lipeni kodi washenzi nyie!!
Kaingia bungeni juzi hailwei kitu huyo
 
Wewe na mwajiri wako mlikuwa hamjui sheria ya kodi

Nishatoka huko kwenye ajira kitambo ila kwa faida ya wadau sheria zinasemaje kuhusu allowances? Ungeweka sheria ya allowances ili wadau walio kwenye ajira iwasaidie.
 
unaleta hoja nyingine ya justification and accounting ambaYo siyo hoja yetu ya msingi hapa. Tusimame kwenye hoja au shut up mkuu. Nina hakika mshahara wa mbunge unajulikana na ni taxable- Specif allowance have difference treatment based on the reason(s) they were made to exist. Tunachotakiwa kufanya ni kubadirisha sheria. Mkuu wabadirisha sheria na hao hao na SHERIA YA ASILI inasema hakuna mtu atatunga sheria inayo muumiza yeye.
Mfano bunge limeandika sheria ya kuweka ukomo wa rais- mihula miwili WAO mpaka Mungu apende= ndiyo SHERIA YA ASILI inavyosema.
ENDELEA NA MATAMANIO YAKO.
Justification ya accounting practice ni sheria ya nchi kwa mujibu wa maelekezo ya TRA, uwezi kujifanyia tu hesabu za mtu kila nchi ina sheria zake za taxation.

Umewekewa hii link Mamlaka ya Mapato Tanzania - Ni Mapato gani yanayohusishwa katika kukokotoa kodi itokanayo na Ajira? kupitia post #39

All the above ☝️listed employment related income is subject to taxation. Na kiasi kikubwa cha marupurupu ya wabunge kinaangua kwenye kodi kwa mujibu wa maelezo ya TRA, so whoever is doing tax za wabunge either anawasaidia kukwepa kodi.

Yes hayo marupurupu ni allowable but needs evidence ili kupunguza. But you must add everything first. Hapo ujaweka mapato ya wabunge nje ya kazi jedwali linabadilika.

Vitu vingi vilivyosamehewa kwa mujibu wa TRA ni ‘benefits in kind’ ambapo kwa asilimia kubwa wanapata senior civil servant. Which is absurd sheria inatakiwa ibadilishwe wachangie kiasi uwezi kutoa vitu vyote vile bure.

Kuna watu nchii hii serikalini na bungeni awalipi kodi sahihi.
 
Kama kuna wahujumu uchumi, basi wabunge wetu ni no. moja!
Kwanza hupenda kujiona kuwa wao ni ufalme tofauti kabisa na wengine!
Kubalini kukatwa kodi na pia pungezeni maposho yenu manono ndio tutajua kuwa nyie ni wazalendo wa kweli na sio porojo!
 
Justification ya accounting practice ni sheria ya nchi kwa mujibu wa maelekezo ya TRA.

Umewekewa hii link Mamlaka ya Mapato Tanzania - Ni Mapato gani yanayohusishwa katika kukokotoa kodi itokanayo na Ajira? kupitia post #39

All the necessary listed employment related income is subject to taxation. Na kiasi kikubwa cha marupurupu ya wabunge kinaangua kwenye kodi.

Vitu vingi vilivyosamehewa ni ‘benefits in kind’ ambapo kwa asilimia kubwa wanapata senior civil servant. Which is absurd sheria inatakiwa ibadilishwe wachangie kiasi uwezi kutoa vitu vyote vile bure.
Mapato yasiyohusishwa katika kukokotoa kodi inayotokana na ajira
Mapato yafuatayo hayatahusishwa katika kukokotoa kodi inayotokana na ajira:
(a) Kiasi kilichosamehewa na malipo ya mwisho ya zuio;
(b) Huduma za kafeteria zinazotolewa bila ubaguzi;
(c) Huduma za afya, malipo ya huduma za afya na malipo ya bima kwa huduma za afya ikizingatiwa kwamba huduma au malipo hayo:
(i) Yanapatikana ili kukidhi matibabu ya mhusika, mwenza wake na hadi watoto wao wanne; na
(ii) yanawezeshwa kupatikana na mwajiri (na mtu yeyote anayehusiana na mwajiri anayeendesha biashara kama hiyo au inayohusiana na hiyo) katika misingi isiyo ya kiubaguzi;
(d) Posho yoyote ya kujikimu, safari, burudani au posho nyingine zinazohusisha urudishaji wa gharama kwa mnufaika kwa kiwango chochote alichotumia na kisichohusiana na uzalishaji wa kipato chake katika ajira au huduma inayotolewa;
(e) Faida inayotokana na matumizi ya chombo cha moto ambapo mwajiri hadai kufanya makato yoyote au nafuu kuhusiana na umiliki, matengenezo au uendeshaji wa chombo cha moto;
(f) Faida inayotokana na matumizi ya maeneo ya makazi kwa mwajiriwa wa serikali au taasisi nyingine ambayo bajeti yake haitokani na ruzuku inayotolewa na serikali;
(g) malipo ya safari kwa mwajiriwa, mwenza wake, na hadi watoto wanne kwenda na kurudi eneo la kazi, yanayoendana na gharama halisi za usafiri ikiwa mwajiriwa anaishi zaidi ya maili 20 kutoka katika kituo chake cha kazi na ameajiriwa kutoa huduma kwa mwajiri katika eneo la kazi;
(h) Mchango na malipo ya kustaafu yanayosamehewa chini ya sheria ya Huduma za jamii za Mafao ya Kustaafu
(i) Malipo yasiyokuwa na sababu za msingi au yasiyotekelezeka kiutawala kwa mwajiri kuyajengea hoja au kuelekeza kwa wanufaika wao;
(j) Posho inayolipwa kwa mwajiriwa anayetoa huduma binafsi ndani ya taasisi kwa wagonjwa katika hospitali za umma; na
(k) Posho ya nyumba, usafiri, uwajibikaji, kazi za ziada, kazi za muda wa ziada (ajari), mazingira magumu, na honoraria inayolipwa kwa waajiriwa wa serikali au taasisi, bajeti ambayo inalipwa yote au sehemu yake na ruzuku ya bajeti ya serikali

Ukisoma kwa nia njema bila kusukumwa na CHOYO, MAONO MAFUPI NA AKILI MBOVU utagundua kuwa posho wanazolipwa wabunge hazipaswi kukatwa kodi
Mbunge anapewa 800, 000. za kulipa wafanyakazi wa ofisi yake ikikatwa kodi atawalipa nini?
 
Taarifa kuhusu Waheshimiwa Wabunge kukatwa Kodi .

Ofisi ya Bunge la Tanzania imesema kama ilivyo kwa Watumishi wengine wa Umma pamoja na Viongozi wa Kisiasa, Wabunge wanakatwa Kodi ikiwemo ya Mapato (PAYE) inayokatwa kwenye Mishahara yao kwa mujibu wa Sheria.

Kauli hiyo imekuja baada ya taarifa zinazodai Wabunge hawalipi Kodi kwenye Mishahara kusambaa Mitandaoni.



Zaidi, soma: Jerry Silaa: Wabunge tuanze kukatwa kodi kwenye Mishahara yetu

Mapato yao yote yanapaswa kulipiwa kodi.

Kwa makusudi wanachoita mshahara ni sehemu ndogo tu ya mapato yao. Hicho ndicho pekee wanacholipa kodi siyo ile sehemu iliyo kubwa.

Wanapaswa kulipa kodi stahiki kutoka katika mapato yao yote.
Taarifa kuhusu Waheshimiwa Wabunge kukatwa Kodi .

Ofisi ya Bunge la Tanzania imesema kama ilivyo kwa Watumishi wengine wa Umma pamoja na Viongozi wa Kisiasa, Wabunge wanakatwa Kodi ikiwemo ya Mapato (paye) inayokatwa kwenye Mishahara yao kwa mujibu wa sheria.

Kauli hiyo imekuja baada ya taarifa zinazodai Wabunge hawalipi Kodi kwenye Mishahara kusambaa mitandaoni.



Zaidi, soma: Jerry Silaa: Wabunge tuanze kukatwa kodi kwenye Mishahara yetu

Kwani mzee Mdee na wenziwe wanasema je?
 
Mapato yasiyohusishwa katika kukokotoa kodi inayotokana na ajira
Mapato yafuatayo hayatahusishwa katika kukokotoa kodi inayotokana na ajira:
(a) Kiasi kilichosamehewa na malipo ya mwisho ya zuio;
(b) Huduma za kafeteria zinazotolewa bila ubaguzi;
(c) Huduma za afya, malipo ya huduma za afya na malipo ya bima kwa huduma za afya ikizingatiwa kwamba huduma au malipo hayo:
(i) Yanapatikana ili kukidhi matibabu ya mhusika, mwenza wake na hadi watoto wao wanne; na
(ii) yanawezeshwa kupatikana na mwajiri (na mtu yeyote anayehusiana na mwajiri anayeendesha biashara kama hiyo au inayohusiana na hiyo) katika misingi isiyo ya kiubaguzi;
(d) Posho yoyote ya kujikimu, safari, burudani au posho nyingine zinazohusisha urudishaji wa gharama kwa mnufaika kwa kiwango chochote alichotumia na kisichohusiana na uzalishaji wa kipato chake katika ajira au huduma inayotolewa;
(e) Faida inayotokana na matumizi ya chombo cha moto ambapo mwajiri hadai kufanya makato yoyote au nafuu kuhusiana na umiliki, matengenezo au uendeshaji wa chombo cha moto;
(f) Faida inayotokana na matumizi ya maeneo ya makazi kwa mwajiriwa wa serikali au taasisi nyingine ambayo bajeti yake haitokani na ruzuku inayotolewa na serikali;
(g) malipo ya safari kwa mwajiriwa, mwenza wake, na hadi watoto wanne kwenda na kurudi eneo la kazi, yanayoendana na gharama halisi za usafiri ikiwa mwajiriwa anaishi zaidi ya maili 20 kutoka katika kituo chake cha kazi na ameajiriwa kutoa huduma kwa mwajiri katika eneo la kazi;
(h) Mchango na malipo ya kustaafu yanayosamehewa chini ya sheria ya Huduma za jamii za Mafao ya Kustaafu
(i) Malipo yasiyokuwa na sababu za msingi au yasiyotekelezeka kiutawala kwa mwajiri kuyajengea hoja au kuelekeza kwa wanufaika wao;
(j) Posho inayolipwa kwa mwajiriwa anayetoa huduma binafsi ndani ya taasisi kwa wagonjwa katika hospitali za umma; na
(k) Posho ya nyumba, usafiri, uwajibikaji, kazi za ziada, kazi za muda wa ziada (ajari), mazingira magumu, na honoraria inayolipwa kwa waajiriwa wa serikali au taasisi, bajeti ambayo inalipwa yote au sehemu yake na ruzuku ya bajeti ya serikali

Ukisoma kwa nia njema bila kusukumwa na CHOYO, MAONO MAFUPI NA AKILI MBOVU utagundua kuwa posho wanazolipwa wabunge hazipaswi kukatwa kodi
Mbunge anapewa 800, 000. za kulipa wafanyakazi wa ofisi yake ikikatwa kodi atawalipa nini?
Kasome na point A ya income inayotakiwa kulipiwa kodi. Vitu ivyo ivyo vinatakiwa kulipiwa kodi.

The point hapo hiyo inakuwa allowable expenditure based on the evidence of receipt.

Kwa maana hiyo before PAYE unatakiwa ujumlishe kila kitu halafu ndio utoe.

Choyo ya nini mjomba watu wasiambiwe ukweli. Walipe kodi.
 
Mapato yao yote yanapaswa kulipiwa kodi.

Kwa makusudi wanachoita mshahara ni sehemu ndogo tu ya mapato yao. Hicho ndicho pekee wanacholipa kodi siyo ile sehemu iliyo kubwa.

Wanapaswa kulipa kodi stahiki kutoka katika mapato yao yote.


Kwani mzee Mdee na wenziwe wanasema je?
tatizo tunabishana badala ya kujadiliana
 
Mapato yasiyohusishwa katika kukokotoa kodi inayotokana na ajira

Kasome na point A ya income inayotakiwa kulipiwa kodi. Vitu ivyo ivyo vinatakiwa kulipiwa kodi.

The point hapo hiyo inakuwa allowable expenditure based on the evidence of receipt.

Kwa maana hiyo before PAYE unatakiwa ujumlishe kila kitu halafu ndio utoe.

Choyo ya nini mjomba watu wasiambiwe ukweli. Walipe kodi.
unajaribu kuniambia A na B yote ni majibu? Nakushauri pia kasome sheria ya marupurupu ya wabunge
ACHENI CHOYO, MAONO MAFUPI NA AKILI MBOVU
 
unajaribu kuniambia A na B yote ni majibu? Nakushauri pia kasome sheria ya marupurupu ya wabunge
ACHENI CHOYO, MAONO MAFUPI NA AKILI MBOVU
Bahati mbaya siwezi kufanya makosa ya kutumia laptop yangu tena JF ku quote ivyo vipengele unavyoweka na kutofautisha (nimeshapewa somo kuna mod ni psychopath only medical intervention will save him) ila vitu unavyoweka sio sahihi.

In short tofauti yake kimoja kinasema ni vitu gani vinatakiwa kujumuishwa na kingine kinasema allowable expenditure based on evidence.

Maana yake weka kila kitu mtu anachopokea kama mshahara na marupurupu kwanza; halafu toa allowable expenses (sehemu ya pili inahitaji ushahidi wa risiti, it only make sense if you do accounting). Then you calculate PAYE.

Lakini uwezi kuacha marupurupu yote untaxed bila ya ushahidi wa matumizi yake. Halafu ungejua mshahara wa qualified accountant huku kijijini kwetu ndio ungeona upuuzi wako yaani niumie na mshahara wa mmbunge you are not serious.
 
Ili twende sawa kama walivyotupandishia miamala vizuri walipe Kodi na wao barabara asiweko mwenye exemption hata mmoja kuanzia Raisi,majaji ,Spika na naibu nk hii lugha ya kusema ohhh wigo wa walipa Kodi upanuliwe hauko sawa unapanukia kwa wanyonge tu ikulu ,bungeni na mahakamani huo wigo hauendi kupanukia huko kulikoni Raisi,makamu,Waziri mkuu na wabunge na majaji hawalipi kodi?
 
Mshahara net wa Mbunge huo hapo milioni kumi na moja na zaidi

mbunge wa aanika wazi mbele ya wananchi.Kodi je inakatwa shi;lingi ngapi? Mbunge Lusinde alisema wanakatwa milioni moja na kitu la!!! Mamilioni yote hayo wanakatwa milioni moja na zaidi TU WAKATI WANACHUKUA MILIONI KUMI NA MOJA NA ZAIDI NET kwa mwezi

Cheki huyu mbunge akitaja mshahara wake kwenye mkutano wa hadhara
Kwa hiyo wana fomula yao ya PAYE!? Hii ni hatari
 
Bahati mbaya siwezi kufanya makosa ya kutumia laptop yangu tena JF ku quote ivyo vipengele unavyoweka na kutofautisha (nimeshapewa somo kuna mod ni psychopath only medical intervention will save him) ila vitu unavyoweka sio sahihi.

In short tofauti yake kimoja kinasema ni vitu gani vinatakiwa kujumuishwa na kingine kinasema allowable expenditure based on evidence.

Maana yake weka kila kitu mtu anachopokea kama mshahara na marupurupu kwanza; halafu toa allowable expenses (sehemu ya pili inahitaji ushahidi wa risiti, it only make sense if you do accounting). Then you calculate PAYE.

Lakini uwezi kuacha marupurupu yote untaxed bila ya ushahidi wa matumizi yake. Halafu ungejua mshahara wa qualified accountant huku kijijini kwetu ndio ungeona upuuzi wako yaani niumie na mshahara wa mmbunge you are not serious.
Mkuu wewe ni mganga njaa tu- huna na hujawahi kupata mshahara- na kwa chuki zako hizi hutakaa upate
 
Taarifa kuhusu Waheshimiwa Wabunge kukatwa Kodi .

Ofisi ya Bunge la Tanzania imesema kama ilivyo kwa Watumishi wengine wa Umma pamoja na Viongozi wa Kisiasa, Wabunge wanakatwa Kodi ikiwemo ya Mapato (paye) inayokatwa kwenye Mishahara yao kwa mujibu wa sheria.

Kauli hiyo imekuja baada ya taarifa zinazodai Wabunge hawalipi Kodi kwenye Mishahara kusambaa mitandaoni.



Zaidi, soma: Jerry Silaa: Wabunge tuanze kukatwa kodi kwenye Mishahara yetu
Hii barua ingreambatana na salary slip ya mbunge ningeiamini.
 
Mkuu wewe ni mganga njaa tu- huna na hujawahi kupata mshahara- na kwa chuki zako hizi hutakaa upate
Dua la kuku huwa alimpati mwewe, wewe ndio umesema nachukia, wewe ndio umesema sijawahi pata mshahara ata sijui hizo habari unaokota wapi.

Unajua kuna vigogo huko serikalini wakisoma hizo comment zenu ni muda gani wametaka wengine tuje front sema tu hatuna tu hizo interest.

Hivi unajua ata hili swala la polisi kupiga mkwara wa show kutishia nyau wanaotaka kuleta fujo wameliokota kwangu enzi za JK uchaguzi wa 2010?

Nikitaja mawazo huko serikalini waliokota kupitia comments tu ni endless. La mwisho ni hilo la bank kuu kushusha riba ya mikopo kwa asilimia tatu mimi ndio niliompaka Dr Kimei michango yake ya ovyo bungeni aina tija, week hiyo hiyo akachangia professionally athari za interest za 5% loans + margin safety interest za inflation. Juzi tumeona bank kuu wanajaribu kushusha riba ya mikopo kwa ushauri wa Kimei.

Halafu ungejua fursa nilizonazo hapa kijijini kwetu ndio ungeona upuuzi wako. Ndugu michango yetu wengine inaokotwa na wakubwa kweli; usituchukulie poa kabisa. Serikali ya Tanzania ya ndio yenye shida na watu kama sisi.

Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza, yaani nimuonee wivu mmbunge wa Tanzania; aisee.

Wabunge walipe kodi sahihi
 
Back
Top Bottom