johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Rais Magufuli ni chaguo la Mungu.
Bunge zima lilisimama wakiwemo wabunge wote na wageni wote na kuimba wimbo wa " Tuna Imani na Magufuli"
Bunge limewaomba wananchi wajitokeze mwezi October na kumchagua Dr Magufuli na wabunge na madiwani wanaoendana na kasi ya Hapa Kazi Tu
Source Eatv
Maendeleo hayana vyama!
heee, bunge linafanya kampeni? haya ni maajabu!Rais Magufuli ni chaguo la Mungu.
Bunge zima lilisimama wakiwemo wabunge wote na wageni wote na kuimba wimbo wa " Tuna Imani na Magufuli"
Bunge limewaomba wananchi wajitokeze mwezi October na kumchagua Dr Magufuli na wabunge na madiwani wanaoendana na kasi ya Hapa Kazi Tu
Source Eatv
Maendeleo hayana vyama!