Bunge zima wakiwemo wabunge wa CHADEMA na NCCR Mageuzi waimba "Tuna Imani na Magufuli"

Bunge zima wakiwemo wabunge wa CHADEMA na NCCR Mageuzi waimba "Tuna Imani na Magufuli"

Bunge ama kikao cha majungu na mipasho cha CCM...Tanzania kwa sasa haina Bunge.
 
Watu wenye akili zao timamu hawa siyo wale manabii wanaojitafunia kondoo wao na kupiga sadaka tu.
 
Rais Magufuli ni chaguo la Mungu.

Bunge zima lilisimama wakiwemo wabunge wote na wageni wote na kuimba wimbo wa " Tuna Imani na Magufuli"

Bunge limewaomba wananchi wajitokeze mwezi October na kumchagua Dr Magufuli na wabunge na madiwani wanaoendana na kasi ya Hapa Kazi Tu

Source Eatv

Maendeleo hayana vyama!

Ukitaka kujua hiyo bajeti watu hawana hata mzuka nayo, pitia nyuzi zinazohusu hiyo bajeti hata kama ina wachangiaji. Hiyo ndio ujue kulazimisha kupendwa kuna shida yake. Waziri kaweka sifa nyingi kwa mtu akidhani atajenga ushawishi, matokeo yake watu wameona ni bajeti ya kiccm.
 
Rais Magufuli ni chaguo la Mungu.

Bunge zima lilisimama wakiwemo wabunge wote na wageni wote na kuimba wimbo wa " Tuna Imani na Magufuli"

Bunge limewaomba wananchi wajitokeze mwezi Oktoba na kumchagua Dr. Magufuli na wabunge na madiwani wanaoendana na kasi ya Hapa Kazi Tu

Chanzo: Eatv

Maendeleo hayana vyama!
Hivi ni kwanini nguvu nyingi na hofu kubwa inatanda ccm wakifikiria akina Lissu na Mbowe ambao wamelala vitandani kwa kuumizwa na vibaraka wa kisiasa? Inafikirisha mno...
 
Back
Top Bottom