Hama nchi kama una wivu.Bangi mnazovuta lumumba zinawafanya muone visivyo kuwepo.
Rais Magufuli ni chaguo la Mungu.
Bunge zima lilisimama wakiwemo wabunge wote na wageni wote na kuimba wimbo wa " Tuna Imani na Magufuli"
Bunge limewaomba wananchi wajitokeze mwezi October na kumchagua Dr Magufuli na wabunge na madiwani wanaoendana na kasi ya Hapa Kazi Tu
Source Eatv
Maendeleo hayana vyama!
Hivi ni kwanini nguvu nyingi na hofu kubwa inatanda ccm wakifikiria akina Lissu na Mbowe ambao wamelala vitandani kwa kuumizwa na vibaraka wa kisiasa? Inafikirisha mno...Rais Magufuli ni chaguo la Mungu.
Bunge zima lilisimama wakiwemo wabunge wote na wageni wote na kuimba wimbo wa " Tuna Imani na Magufuli"
Bunge limewaomba wananchi wajitokeze mwezi Oktoba na kumchagua Dr. Magufuli na wabunge na madiwani wanaoendana na kasi ya Hapa Kazi Tu
Chanzo: Eatv
Maendeleo hayana vyama!