Bungeni: Askofu Gwajima agoma kukalia kiti na kutumia kipaza sauti alichoandaliwa na Kamati ya Maadili

JK aliwahi kusema kuwa wana CCM hawaaminiani hata kuacha kinywaji mezani.
 
Wangefanya Iwe live tu.
Hakuna kuaminiana maana JPM alinyweshwa sumu na wanna CCM,
Mangula,Mwakyembe.
Gwajima kafanya sawa.
 
Imani haba.Ukiwa na imani haba hata chembe ya hardali,hutauona ufalme wa mbinguni.
 
Gwajima ni kidume....!! Kolomije style and Sukuma Gang.
 
Anajifanya mcha Mungu halafu anakuwa na imani za kishirikina! Ni kipi kinamshinda Mungu iwe uchawi au sumu?
Nani kakwambia,,,Eliya na Musa walikimbia..iwe Gwaji...
 
Wewe ndiye mpuuzi na pimbi mkubwa. Ukome kushadidia visivyokuhu nyumbu mkubwa. Chanjo ni hiari na nyie subirini, tutawaangamiza 2025. Msifkiri watanzania wanafurahia mnavyojihemua kuandama watu kwa kwenda kinyume na misingi ya mzalendo Dkt Magufuli
""Nilteeni GWAJIMA, Nilteeni GWAJIMA, nasema Nileteeni GWAJIMA"
John Joseph Pombe Magufuli(RIP)...President,5TH TERM.
 
[emoji1787]
Maono ya mtumishi sio mchezo, kaoneshwa mitego yote iliyotegwa kwa ajili yke!

#kama huna macho ya rohoni huwezi jua, kaa kimya tu
Angeoneshwa na namna ya kuwaumbua waliotega basi kama ana upako. Kiti kingewaka moto au mic. Vinginevyo huyu jamaa ni kondoo kabisa
 
Fahamuni jinsi ya kujikinga na Covid-19.

 
Kama mambo yenyewe ndo haya ya kutegana, tutaanza kutembea na viti na maiki zetu......itakuwa kama kule fisiemu ambao hawaachiani glass za maji mezani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…