Bungeni dakika 3 nzima inatumika kusifia na kutoa shukrani watu kufanya majukumu yao!

Bungeni dakika 3 nzima inatumika kusifia na kutoa shukrani watu kufanya majukumu yao!

Precious Diamond

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2023
Posts
593
Reaction score
1,376
Wakuu,

Hivi mambo hayawezi kuanza kwa kumshukuru Mungu pekee na kwenda moja moja kufanya kilichokupeleka? Au kushukuru viongozi wengine waliojitoa kwa ujumla wao bila kutaja mtu mmoja mmoja na tuona watu wanasifiwa kwa kukamilisha tu majukumu yao utafikiri kodi zetu hazitumiki kwa wao kufanya majukumu yao?

Haya ndio madhara ya cheo cha kiongozi kuwa mikononi mwa mtu mmoja, ni mwendo wa kusifia na kushukuru tu ili kujiwekea mazingira mazuri ya cheo chako. Hapo mpaka ametoa sifa kwa kina Majiliwa bila hata kusema kwa nini kasifia😂😂 sifa za by the way ili waonekane kwenye ufalme wao.

Badala ya kusifiwa viongozi, shukrani na sifa ilibidi ziende kwa wananchi wanaolipa kodi ambazo nyingine hazina kichwa wala miguu kufanikisha miradi mbalimbali na kulpa madeni ya serikali.

Kiongzoi afanye kitu cha ziada zaidi ya job description hapo hapo itakuwa sawa kusifia, ila mtu anafanya majukumu yake na bado anaripua sifa ni za nini sasa?



 
Wakuu,

Hivi mambo hayawezi kuanza kwa kumshukuru Mungu pekee na kwenda moja moja kufanya kilichokupeleka? Au kushukuru viongozi wengine waliojitoa kwa ujumla wao bila kutaja mtu mmoja mmoja na tuona watu wanasifiwa kwa kukamilisha tu majukumu yao utafikiri kodi zetu hazitumiki kwa wao kufanya majukumu yao?

Haya ndio madhara ya cheo cha kiongozi kuwa mikononi mwa mtu mmoja, ni mwendo wa kusifia na kushukuru tu ili kujiwekea mazingira mazuri ya cheo chako. Hapo mpaka ametoa sifa kwa kina Majiliwa bila hata kusema kwa nini kasifia😂😂 sifa za by the way ili waonekane kwenye ufalme wao.

Badala ya kusifiwa viongozi, shukrani na sifa ilibidi ziende kwa wananchi wanaolipa kodi ambazo nyingine hazina kichwa wala miguu kufanikisha miradi mbalimbali na kulpa madeni ya serikali.

Kiongzoi afanye kitu cha ziada zaidi ya job description hapo hapo itakuwa sawa kusifia, ila mtu anafanya majukumu yake na bado anaripua sifa ni za nini sasa?

Acha nikupongeze kwa kuweza kusikiliza hilo bunge kibogoyo la majizi ya kura.
 
Kwa namna viongozi wanavyosifiwa unaweza ukahisi shida kama za Maji ,Umeme , matibabu ,Elimu duni hazipo tena .
Yaani, lakini mpaka leo kuna mambo ya 'kumtua ndoo mwanamke' ... yaani kuna watu hawajawahi kuona umeme wala maji safi na salama
 
Wakuu,

Hivi mambo hayawezi kuanza kwa kumshukuru Mungu pekee na kwenda moja moja kufanya kilichokupeleka? Au kushukuru viongozi wengine waliojitoa kwa ujumla wao bila kutaja mtu mmoja mmoja na tuona watu wanasifiwa kwa kukamilisha tu majukumu yao utafikiri kodi zetu hazitumiki kwa wao kufanya majukumu yao?

Haya ndio madhara ya cheo cha kiongozi kuwa mikononi mwa mtu mmoja, ni mwendo wa kusifia na kushukuru tu ili kujiwekea mazingira mazuri ya cheo chako. Hapo mpaka ametoa sifa kwa kina Majiliwa bila hata kusema kwa nini kasifia[emoji23][emoji23] sifa za by the way ili waonekane kwenye ufalme wao.

Badala ya kusifiwa viongozi, shukrani na sifa ilibidi ziende kwa wananchi wanaolipa kodi ambazo nyingine hazina kichwa wala miguu kufanikisha miradi mbalimbali na kulpa madeni ya serikali.

Kiongzoi afanye kitu cha ziada zaidi ya job description hapo hapo itakuwa sawa kusifia, ila mtu anafanya majukumu yake na bado anaripua sifa ni za nini sasa?


Hiyo speech imeandaliwa yeye anasoma shida ipo wapi? Rais wa nchi ni lazima apewe heshima yake huu ni mfumo wa kidunia wala sio Tanzania. Hata wewe ukija kuwa Rais pia tutakusifia na kukupa pongezi.
 
Ziongezwe dakika nyingine 7 za kuabudu mhimili uliojichimbia kwa chini ili ziwe kumi 🐒
 
Hiyo speech imeandaliwa yeye anasoma shida ipo wapi? Rais wa nchi ni lazima apewe heshima yake huu ni mfumo wa kidunia wala sio Tanzania. Hata wewe ukija kuwa Rais pia tutakusifia na kukupa pongezi.

Hilo ni bunge lipo responsible kwa wananchi sio Rais. Kama kupongeza lingepongeza wanchi wanaowachagua.
 
Kwa hiyo mleta mada unataka mama Samia asisifiwe kwa juhudi ambazo hakuna Rais mwengine wa kabla yake amewahi kuifanya?

Bungeni mawaziri walikuwa kila wakiulizwa swali wanasema "bajeti hatoshi", hilo umelisikia kipindi cha mama Samia?
 
Tanzania hatuna bunge Bali walamba matako wa CCM , ambao wapo controlled na serikali. Ndio maana Spika kilaza alidai sio lazima serikali ifuate maoni ya Bunge.
 
Kwa hiyo mleta mada unataka mama Samia asisifiwe kwa juhudi ambazo hakuna Rais mwengine wa kabla yake amewahi kuifanya?

Bungeni mawaziri walikuwa kila wakiulizwa swali wanasema "bajeti hatoshi", hilo umelisikia kipindi cha mama Samia?

Binafsi naona hizo dakika tatu hazitoishi, inabidi waziri atumie kipindi kizima kutueleza mafanikio ya kipindi cha mama Samia.
 
Kwa hiyo mleta mada unataka mama Samia asisifiwe kwa juhudi ambazo hakuna Rais mwengine wa kabla yake amewahi kuifanya?

Bungeni mawaziri walikuwa kila wakiulizwa swali wanasema "bajeti hatoshi", hilo umelisikia kipindi cha mama Samia?
 
Back
Top Bottom