Hivi mambo hayawezi kuanza kwa kumshukuru Mungu pekee na kwenda moja moja kufanya kilichokupeleka? Au kushukuru viongozi wengine waliojitoa kwa ujumla wao bila kutaja mtu mmoja mmoja na tuona watu wanasifiwa kwa kukamilisha tu majukumu yao utafikiri kodi zetu hazitumiki kwa wao kufanya majukumu yao?
Haya ndio madhara ya cheo cha kiongozi kuwa mikononi mwa mtu mmoja, ni mwendo wa kusifia na kushukuru tu ili kujiwekea mazingira mazuri ya cheo chako. Hapo mpaka ametoa sifa kwa kina Majiliwa bila hata kusema kwa nini kasifia😂😂 sifa za by the way ili waonekane kwenye ufalme wao.
Badala ya kusifiwa viongozi, shukrani na sifa ilibidi ziende kwa wananchi wanaolipa kodi ambazo nyingine hazina kichwa wala miguu kufanikisha miradi mbalimbali na kulpa madeni ya serikali.
Kiongzoi afanye kitu cha ziada zaidi ya job description hapo hapo itakuwa sawa kusifia, ila mtu anafanya majukumu yake na bado anaripua sifa ni za nini sasa?
Hivi mambo hayawezi kuanza kwa kumshukuru Mungu pekee na kwenda moja moja kufanya kilichokupeleka? Au kushukuru viongozi wengine waliojitoa kwa ujumla wao bila kutaja mtu mmoja mmoja na tuona watu wanasifiwa kwa kukamilisha tu majukumu yao utafikiri kodi zetu hazitumiki kwa wao kufanya majukumu yao?
Haya ndio madhara ya cheo cha kiongozi kuwa mikononi mwa mtu mmoja, ni mwendo wa kusifia na kushukuru tu ili kujiwekea mazingira mazuri ya cheo chako. Hapo mpaka ametoa sifa kwa kina Majiliwa bila hata kusema kwa nini kasifia😂😂 sifa za by the way ili waonekane kwenye ufalme wao.
Badala ya kusifiwa viongozi, shukrani na sifa ilibidi ziende kwa wananchi wanaolipa kodi ambazo nyingine hazina kichwa wala miguu kufanikisha miradi mbalimbali na kulpa madeni ya serikali.
Kiongzoi afanye kitu cha ziada zaidi ya job description hapo hapo itakuwa sawa kusifia, ila mtu anafanya majukumu yake na bado anaripua sifa ni za nini sasa?
Hivi mambo hayawezi kuanza kwa kumshukuru Mungu pekee na kwenda moja moja kufanya kilichokupeleka? Au kushukuru viongozi wengine waliojitoa kwa ujumla wao bila kutaja mtu mmoja mmoja na tuona watu wanasifiwa kwa kukamilisha tu majukumu yao utafikiri kodi zetu hazitumiki kwa wao kufanya majukumu yao?
Haya ndio madhara ya cheo cha kiongozi kuwa mikononi mwa mtu mmoja, ni mwendo wa kusifia na kushukuru tu ili kujiwekea mazingira mazuri ya cheo chako. Hapo mpaka ametoa sifa kwa kina Majiliwa bila hata kusema kwa nini kasifia[emoji23][emoji23] sifa za by the way ili waonekane kwenye ufalme wao.
Badala ya kusifiwa viongozi, shukrani na sifa ilibidi ziende kwa wananchi wanaolipa kodi ambazo nyingine hazina kichwa wala miguu kufanikisha miradi mbalimbali na kulpa madeni ya serikali.
Kiongzoi afanye kitu cha ziada zaidi ya job description hapo hapo itakuwa sawa kusifia, ila mtu anafanya majukumu yake na bado anaripua sifa ni za nini sasa?
Hiyo speech imeandaliwa yeye anasoma shida ipo wapi? Rais wa nchi ni lazima apewe heshima yake huu ni mfumo wa kidunia wala sio Tanzania. Hata wewe ukija kuwa Rais pia tutakusifia na kukupa pongezi.
Hiyo speech imeandaliwa yeye anasoma shida ipo wapi? Rais wa nchi ni lazima apewe heshima yake huu ni mfumo wa kidunia wala sio Tanzania. Hata wewe ukija kuwa Rais pia tutakusifia na kukupa pongezi.
Tanzania hatuna bunge Bali walamba matako wa CCM , ambao wapo controlled na serikali. Ndio maana Spika kilaza alidai sio lazima serikali ifuate maoni ya Bunge.