Bungeni, Dodoma: Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango awasilisha mpango na Mkomo wa Bajeti

Bungeni, Dodoma: Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango awasilisha mpango na Mkomo wa Bajeti

RtsHjcq

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2017
Posts
4,753
Reaction score
5,512
.
 

Attachments

  • Mpango.jpg
    Mpango.jpg
    24.8 KB · Views: 4
Waziri wa fedha Dr Mpango leo amewasilisha mpango wa bajeti ya 2021/22 mbeke ya wabunge katika ukumbi wa Pius Msekwa.

Bajeti hiyo ni ya tsh 36.3 trillioni.

Spika Ndugai na waziri mkuu mh Majaliwa wamempongeza Dr Mpango kwa uwasilishaji mzuri.

Source ITV habari
 
Jana ilisemekana eti Dr. Mpango yupo hoi in a comma. Hii mitandao hii ni shida
 
Waziri wa fedha Dr Mpango leo amewasilisha mpango wa bajeti ya 2021/22 mbeke ya wabunge katika ukumbi wa Pius Msekwa.

Bajeti hiyo ni ya tsh 36.3 trillioni.

Spika Ndugai na waziri mkuu mh Majaliwa wamempongeza Dr Mpango kwa uwasilishaji mzuri.

Source ITV habari

..leo hakuangua kilio?
 
Back
Top Bottom