Bungeni, Dodoma: Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango awasilisha mpango na Mkomo wa Bajeti

Bungeni, Dodoma: Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango awasilisha mpango na Mkomo wa Bajeti

Walio sema mpango yuko nairob wako wap

Wewe ndio muongo! Walisema lini? Lini hapa ndio muhimu kwa sababu yeye mwenyewe amejitokeza week karibu tatu zimepita akisema kuzushiwa kifo lakini hakusema alizushiwa maradhi. Inaonekana wewe ndio hauko current!! Kama haufahamu, wengi wa wagonjwa wetu wakubwa hawatibiwi hospitali za Tanzania na ni kwa sababu hata hospitali zetu za serikali hazina vifaa vya kujikinga na maambukizi!!
 
PICHA: Waziri wa Fedha na Mipango Dk. Philip Mpango leo anawasilisha taarifa ya Mapendekezo ya Serikali ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa na Kiwango cha Ukomo wa Bajeti ya Serikali kwa Mwaka 2021/22, kwenye ukumbi wa Msekwa Bungeni, Dodoma.


NAWASILISHA

---
Waziri wa fedha Dkt. Mpango leo amewasilisha mpango wa bajeti ya 2021/22 mbele ya wabunge katika ukumbi wa Pius Msekwa.

Bajeti hiyo ni ya Tsh 36.3 trillioni.

Spika Ndugai na Waziri Mkuu mh Majaliwa wamempongeza Dkt. Mpango kwa uwasilishaji mzuri.

Chanzo: ITV habari
Tuletee video tafadhali!
 
Nimepitia hotuba ya Dr Mpango, bakuli lake July 2020 hadi december 2020 limekusanya 43.8 trilion na ametumia 18.4 trilioni kibindoni yuko na 25.4 trilioni huku matumizi yaliyoko mezani hayazidi trilioni tano hongera sana waziri waliokuchulia kifo na washindwe kwa jina la yesu. kilichonishangaza zaidi yaani tuna nunua ndege tatu airbus 220 mbili na dash8-Q400 moja kwa 31.6 bilioni yaani nafuu sana ndio maana yale majizi yalitamani uchomoke, yashindwe na yalegee, honera mheshimiwa piga kazi.
 
Tumepunguza uagizaji bidhaa nje kwa 14.1% na tumeongeza mauzo ya nje kwa 17.6% kwa urari huu uchumi wetu lazima uwe wa kati. Kinachotakiwa sasa ni kuondoa hiyo nakisi ya dola 334.1. Haya ndio mambo mazuri sasa Dr Mpango.
 
Wewe ndio muongo! Walisema lini? Lini hapa ndio muhimu kwa sababu yeye mwenyewe amejitokeza week karibu tatu zimepita akisema kuzushiwa kifo lakini hakusema alizushiwa maradhi. Inaonekana wewe ndio hauko current!! Kama haufahamu, wengi wa wagonjwa wetu wakubwa hawatibiwi hospitali za Tanzania na ni kwa sababu hata hospitali zetu za serikali hazina vifaa vya kujikinga na maambukizi!!
Kwenye hiyo thread ya lisu kuuliza aliko mh
 
Ila hii nchi Kuna watu wanajua kuzusha mambo. Watu wanaozusha mambo mara nyingi huwa wameanza kukata Tamaa na maisha.

Hivi unawezaje kuzusha kwamba mtu yuko Nairobi Mara South afu kumbe yuko tu hapa mjini na anapiga Kazi?


Mungu atuhurumie.
 
Back
Top Bottom