Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,959
- 24,935
Karibuni bungeni, katika Nchi ya Jamii Forum,
Njooni tujadili Changamoto, maendeleo na kupanga bajeti ya Nchi yetu ya Jamii forum ,
Bila kusahau Report ya CAG, Bajeti ya Nchi na fedha za miradi,
Usiache kuhoji zile ajira zilizotolewa hapa nchini za mawaziri wa serikari(Mod) kama zilitolewa kihalali bila Rushwa,
Karibuni bungeni usisahau neno "Mhe spika"
Kila na baada ya kumaliza hoja yako.
Cc Zero iq
Cc Zero iq
Njooni tujadili Changamoto, maendeleo na kupanga bajeti ya Nchi yetu ya Jamii forum ,
Bila kusahau Report ya CAG, Bajeti ya Nchi na fedha za miradi,
Usiache kuhoji zile ajira zilizotolewa hapa nchini za mawaziri wa serikari(Mod) kama zilitolewa kihalali bila Rushwa,
Karibuni bungeni usisahau neno "Mhe spika"
Kila na baada ya kumaliza hoja yako.
Cc Zero iq
Cc Zero iq