mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,778
- 7,145
body guard hadi chumbani? lah hasha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
poa,
ni hasira2, sor.
Ila masaburi cjaelewa
nimekusomaLile neno ulilolitumia mwanzo kwa hapa jamvini linatumika hilo hapo...lol
Yeye kama mbunge anaishia wapi? singida au london?
Mbunge huyu alipokuwa anachangia hoja kuhusiana na sheria juu ya haki za wasanii na kazi zao. Alsema maeneo aliyokuwa anaish marehemu kanumba ni uswahilin hatari kwa Jk pamoja na Pm na wengneo.
Aidha aliongeza kuwa msanii huyo alpaswa kua na bodgad wa kumlnda.
nimekusoma
Mbunge huyu alipokuwa anachangia hoja kuhusiana na sheria juu ya haki za wasanii na kazi zao. Alsema maeneo aliyokuwa anaish marehemu kanumba ni uswahilin hatari kwa Jk pamoja na Pm na wengneo.
Aidha aliongeza kuwa msanii huyo alpaswa kua na bodgad wa kumlnda.