Mbunge huyu alipokuwa anachangia hoja kuhusiana na sheria juu ya haki za wasanii na kazi zao. Alsema maeneo aliyokuwa anaish marehemu kanumba ni uswahilin hatari kwa Jk pamoja na Pm na wengneo.
Aidha aliongeza kuwa msanii huyo alpaswa kua na bodgad wa kumlnda.
du hao ndo wabunge wa CCM
wameshaanza vituko,
wa2 wengine wanatumia m.t...ko kufikir badala ya ubongo.
Middle finger 2u
Huyu mbunge alitaka asukike tu na si vinginevyoKama sinza ni uswahilini vp kuhusu manzese,tandale na buguruni?siamini km sinza ni uswahilin kihivyo
Mbunge huyu alipokuwa anachangia hoja kuhusiana na sheria juu ya haki za wasanii na kazi zao. Alsema maeneo aliyokuwa anaish marehemu kanumba ni uswahilin hatari kwa Jk pamoja na Pm na wengneo.
Aidha aliongeza kuwa msanii huyo alpaswa kua na bodgad wa kumlnda.
maskini akipata...
Amesema kweli kabisa...............Mimi mwenyewe sasa hivi ninafanya mipango ya kuhama huku Tandale Kwa Mkunduge na kuhamia maeneo ya Masaki na nimeshatangaza nafasi za kazi za Ma-Body Guard wawili kwenye Gazeti la Ze Gadiani la leo.
Hali imekuwa sio ya kuaminiana hususan humu JF na inabidi nichukuwe Tahadhari.............LOL