Bungeni leo: Martha Mlata; Kanumba alitakiwa awe na Bodigadi na hakustaili kuishi Sinza

Bungeni leo: Martha Mlata; Kanumba alitakiwa awe na Bodigadi na hakustaili kuishi Sinza

Lazima awe viti maalumu tu. Mbunge wa kuchaguliwa hawezi kuongea utumbo namna hii. Kwa kweli ameniudhi naogopa kusema sana nisije kupata ban. anatumia makalio kufikiri
 
Huyu Mbunge sijawahi kumsikia akiongea la maana, Ona leo tena ameropoka..

Kuna uhusiano gani kati ya kifo cha kanumba na kuishi uswahilini na kutokuwa na Bodigadi?
Ina maana yeye aligombea ubunge ili ajiwezeshe na asiishi uswahilini?
Je hawa wengine wanaoishi uswahilini hawana haki ya kuishi pengine?
Kwamba Kanumba alitakiwa asiishi uswahilini na awe na Bodigadi, kwa hiyo nini kifanyike?
kwamba tumfufue ili tumuondoe uswahilini kisha tumpatie mabodigadi? Halafu?

Hiki Kibibi sijui niaje aisee!! Yaani hapa kina entertain matabaka wazi wazi!!
Danm!!!

jazba............
 
Labda naye alishatiwa na Kanumba, maana naye nasikia ni mcharuko au jamvi la wageni
 
Hivi kaacha kupiga deiwaka TWANGA?

mbunge.jpg
 
Tatizo ni mh alisimama bila kujua anachotaka kuongea,sasa uswahilin na masaki na kifo vina uhusiano gani? au wa masaki hawafi? ccm chagueni wabunge makini bwana ala!!!
 
Huyu mbunge anawakilisha upeo wa watanzania walio wengi sio kosa lake, ndio maana UMATI wa watu walijaa katika mazishi ya Kanumba kwa taarifa ya muda mfupi lakini wakiambiwa washiriki katika maandamano ya kudai katiba mpya ama malalamiko ya kupanda gharama ya bidhaa humuoni mtu. UPUUZI MTUPU
 
Mbunge huyu alipokuwa anachangia hoja kuhusiana na sheria juu ya haki za wasanii na kazi zao. Alsema maeneo aliyokuwa anaish marehemu kanumba ni uswahilin hatari kwa Jk pamoja na Pm na wengneo.

Aidha aliongeza kuwa msanii huyo alpaswa kua na bodgad wa kumlnda.

Kwani Rais mkapa alivyovunjika mkono wakati ule alikuwa anakaa magogoni au uswazi??? Naona mheshimiwa alipita kwenye ghahawa ndo akaja kuongea!!
 
Magamba. Wanafikiri kwa ma....ko. Siyo huyo tu bali ni asilimia 90 ya magamba akili zao zimeishia hapo. watamaliza kikao bila kuongea la maana.
 
Veriveri intelijenti and jinias memba of paliamenti.
Hastahili kulipwa posho huyo.
 
  • Thanks
Reactions: kui
He!! Makubwa haya!! Bungeni wanajadili hayo!!!
Mbunge huyu alipokuwa anachangia hoja kuhusiana na sheria juu ya haki za wasanii na kazi zao. Alsema maeneo aliyokuwa anaish marehemu kanumba ni uswahilin hatari kwa Jk pamoja na Pm na wengneo.

Aidha aliongeza kuwa msanii huyo alpaswa kua na bodgad wa kumlnda.
 
Mbunge huyu alipokuwa anachangia hoja kuhusiana na sheria juu ya haki za wasanii na kazi zao. Alsema maeneo aliyokuwa anaish marehemu kanumba ni uswahilin hatari kwa Jk pamoja na Pm na wengneo.

Aidha aliongeza kuwa msanii huyo alpaswa kua na bodgad wa kumlnda.

koh koh!
 
Mbunge huyu alipokuwa anachangia hoja kuhusiana na sheria juu ya haki za wasanii na kazi zao. Alsema maeneo aliyokuwa anaish marehemu kanumba ni uswahilin hatari kwa Jk pamoja na Pm na wengneo.

Aidha aliongeza kuwa msanii huyo alpaswa kua na bodgad wa kumlnda.
Angalia upuuzi wa wabunge wa Magamba kwani hakuna Watanzania wanaokaa uswahilini Kama shida ampeleke kwake Uzunguni
 
Back
Top Bottom