Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu Mbunge sijawahi kumsikia akiongea la maana, Ona leo tena ameropoka..
Kuna uhusiano gani kati ya kifo cha kanumba na kuishi uswahilini na kutokuwa na Bodigadi?
Ina maana yeye aligombea ubunge ili ajiwezeshe na asiishi uswahilini?
Je hawa wengine wanaoishi uswahilini hawana haki ya kuishi pengine?
Kwamba Kanumba alitakiwa asiishi uswahilini na awe na Bodigadi, kwa hiyo nini kifanyike?
kwamba tumfufue ili tumuondoe uswahilini kisha tumpatie mabodigadi? Halafu?
Hiki Kibibi sijui niaje aisee!! Yaani hapa kina entertain matabaka wazi wazi!!
Danm!!!
Mbunge huyu alipokuwa anachangia hoja kuhusiana na sheria juu ya haki za wasanii na kazi zao. Alsema maeneo aliyokuwa anaish marehemu kanumba ni uswahilin hatari kwa Jk pamoja na Pm na wengneo.
Aidha aliongeza kuwa msanii huyo alpaswa kua na bodgad wa kumlnda.
maskini akipata...
Hivi kaacha kupiga deiwaka TWANGA?
![]()
Mbunge huyu alipokuwa anachangia hoja kuhusiana na sheria juu ya haki za wasanii na kazi zao. Alsema maeneo aliyokuwa anaish marehemu kanumba ni uswahilin hatari kwa Jk pamoja na Pm na wengneo.
Aidha aliongeza kuwa msanii huyo alpaswa kua na bodgad wa kumlnda.
Hivi kaacha kupiga deiwaka TWANGA?
![]()
Mbunge huyu alipokuwa anachangia hoja kuhusiana na sheria juu ya haki za wasanii na kazi zao. Alsema maeneo aliyokuwa anaish marehemu kanumba ni uswahilin hatari kwa Jk pamoja na Pm na wengneo.
Aidha aliongeza kuwa msanii huyo alpaswa kua na bodgad wa kumlnda.
Labda naye alishatiwa na Kanumba, maana naye nasikia ni mcharuko au jamvi la wageni
Angalia upuuzi wa wabunge wa Magamba kwani hakuna Watanzania wanaokaa uswahilini Kama shida ampeleke kwake UzunguniMbunge huyu alipokuwa anachangia hoja kuhusiana na sheria juu ya haki za wasanii na kazi zao. Alsema maeneo aliyokuwa anaish marehemu kanumba ni uswahilin hatari kwa Jk pamoja na Pm na wengneo.
Aidha aliongeza kuwa msanii huyo alpaswa kua na bodgad wa kumlnda.