Halima Mdee nje na ndani ya ukumbi unasutwa. Hata uongee point vipi ni pointless.
Kusutwa na mwanamke mwenzio ni aibu.
Ushauri wangu Jiuzulu Ubunge, kaombe msamaha kwenye chama chako.
Ndugai 2025 ni mstaafu, nani atakukingia.
Mh LUCY MAYENGA Hongera sana kwa kusema ukweli na kuonyesha wazi kuwa kitendo cha Uviko 19 hawana sifa yakumsema Magufuli huku wakijua kuwa ndiye aliyewaingiza.
ASANTE MAYENGA.SPIKA akikuita kama alivyofanya kwa NAPE sema unaumwa
Kusutwa na mwanamke mwenzio ni aibu.
Ushauri wangu Jiuzulu Ubunge, kaombe msamaha kwenye chama chako.
Ndugai 2025 ni mstaafu, nani atakukingia.
Mh LUCY MAYENGA Hongera sana kwa kusema ukweli na kuonyesha wazi kuwa kitendo cha Uviko 19 hawana sifa yakumsema Magufuli huku wakijua kuwa ndiye aliyewaingiza.
ASANTE MAYENGA.SPIKA akikuita kama alivyofanya kwa NAPE sema unaumwa