Bungeni: Mayenga (Mbunge wa CCM) amsimanga Halima Mdee na wenzake 18 bila huruma

Bungeni: Mayenga (Mbunge wa CCM) amsimanga Halima Mdee na wenzake 18 bila huruma

Wangekodiwa ngoma ya usutaji.Wasutwe hadi wafariki dunia.Halima was the very good old girl!Kwa haya anajiaibisha.🤔🤔🤔🤔
Halima Mdee ni kiongozi na mbunge smart sana anayepaswa kuigwa; yuko flexible na pia ana maono ya mbali. Ni mzalendo ambaye hangoji maamuzi ya kundirakiba (peer group), ili afanye maamuzi yenye tija kwake na kwa watu anaowaongoza ama taifa kwa ujumla. Hivi kweli utaachaje kumuunga mkono kiongozi bora na madhubuti kama JPM? Si unafiki au ugonjwa wa akili huo?

^Zamani nikiwa mbunge, kweli nilikuwa kichaa dhidi ya Sisiemu, lakini sasa hivi kweli nitaachaje kumuunga mkono Rais anayetenda mambo adhimu kwa nchi yake kama Magufuli?^ ~ Nassar, eikeiei Kifimbo cha Juliasi 🙂
 
Halima amekuja kuharibikiwa uzeeni sababu ya tamaa za kijinga
Siasa hazitabiriki. Haitoshangaza sana Halima na wenzake wakaskilizia mpaka mid 2024 then wakaenda kumuangukia Mbowe huku wakilia.

Mbowe kwa huruma zake za kiuongozi most likely atawasamehe, atapull strings ndani ya vikao then Mdee na kundi lake watasimamishwa kugombea ubunge tena

A week is a long time in politics
 
Dah.,, hii ni fedheha kubwa sana! Ila binadamu tupo tofauti sana, Mimi ningeachana na Bunge ningeendelea na mambo mengi maisha yaende, kwani kipato kinapatikana bungeni tu?
We unasema tu,bungeni patamu unaweza kuua mtu anayetaka kukukwamisha,tibaijuka alitoka UN kugombea ubunge,gambo na bashite wakaacha u RC sababu ya ubunge, diodorus camara kakimbia ubalozi sababu ya ubunge
 
We unasema tu,bungeni patamu unaweza kuua mtu anayetaka kukukwamisha,tibaijuka alitoka UN kugombea ubunge,gambo na bashite wakaacha u RC sababu ya ubunge,diodorus camara kakimbia ubalozi sababu ya ubunge
Hapana Mkuu! Nakwambia binadamu hatufanani kabisa! Unajua Mimi ni wale watu design ukiiba kuku wangu nitauza ng'ombe ili nipate pesa ya kuendesha hiyo kesi!
 
Siasa hazitabiriki. Haitoshangaza sana Halima na wenzake wakaskilizia mpaka mid 2024 then wakaenda kumuangukia Mbowe huku wakilia.

Mbowe kwa huruma zake za kiuongozi most likely atawasamehe, atapull strings ndani ya vikao then Mdee na kundi lake watasimamishwa kugombea ubunge tena

A week is a long time in politics
Yakitokea hayo labda watapigiwa kura na wafanyakazi wa ndani wa Mbowe
 
Hapana Mkuu! Nakwambia binadamu hatufanani kabisa! Unajua Mimi ni wale watu design ukiiba kuku wangu nitauza ng'ombe ili nipate pesa ya kuendesha hiyo kesi!
Ebwanae, ila ndugu yangu hao wadada siwalaumu mtaani pagumu na majukumu yanakaba,ule mpunga unatamanisha,miaka mitano umasikini bye bye
 
Mh,ama kweli.nyani haoni kundure. Hakika Meko mungu anamuona.sipati picha sasa hivi sarakasi za kuabudu na kumtukuza wangekuwa katika kiwango gani.

Sina chama,ila MUNGU FUNDI.
Hao kina mdee,walielemewa na vyombo Vinngi vya meko.

Ningetaka nijue,Wapi ile hoja binafsi ya kumwongezea mda Rais umefikia wapi?!.
 
We unasema tu,bungeni patamu unaweza kuua mtu anayetaka kukukwamisha,tibaijuka alitoka UN kugombea ubunge,gambo na bashite wakaacha u RC sababu ya ubunge,diodorus camara kakimbia ubalozi sababu ya ubunge
Kazi ipo
 
Wangekodiwa ngoma ya usutaji.Wasutwe hadi wafariki dunia.Halima was the very good old girl!Kwa haya anajiaibisha.[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Na political career yao inaweza kuwa ndiyo mwisho wake huu.

Sidhani kama watarudi kama zamani unless chama kilichowaibua kisambaratike.

Walid Kabulu hakurudi tena kwenye siasa za ushindani mpaka kifo chake.

Augustino Lyatonga Mrema alipoteza mwelekeo mpaka akageuka kituko.

Zitto bado anatapatapa lakini nae political career yake haina mwelekeo mzuri sana mbaya zaidi Zitto anatembea na alama akitaka kurudi kwenye reli anarudi kule kule.
 
Hapana Mkuu! Nakwambia binadamu hatufanani kabisa! Unajua Mimi ni wale watu design ukiiba kuku wangu nitauza ng'ombe ili nipate pesa ya kuendesha hiyo kesi!
Ebwanae, ila ndugu yangu hao wadada siwalaumu mtaani pagumu na majukumu yanakaba,ule mpunga unatamanisha,miaka mitano umasikini bye bye
 
Back
Top Bottom