Bungeni: Mayenga (Mbunge wa CCM) amsimanga Halima Mdee na wenzake 18 bila huruma

Dah.,, hii ni fedheha kubwa sana! Ila binadamu tupo tofauti sana, Mimi ningeachana na Bunge ningeendelea na mambo mengi maisha yaende, kwani kipato kinapatikana bungeni tu?
Dogooo! Acha hizo wewe! Dar hii ninayoifahamu watu ni mashoga kwa sababu ya pesa. Hata ndani ya CHDEMA watu wana bidii kwa sababu ya mshiko waliokuwa wanapiga. Ukitaka kujua hilo subili mwaka wa tatu na baada ya uchaguzi huu ndo utajua. Mwaka wa 4 zikipatikana za akina Sabodo ndo utajua urafi wa pesa uko kwa nani.
 
Dah.,, hii ni fedheha kubwa sana! Ila binadamu tupo tofauti sana, Mimi ningeachana na Bunge ningeendelea na mambo mengi maisha yaende, kwani kipato kinapatikana bungeni tu?
Kumbuka kasomea sheria na haja-practise kazi yake ni siasa ndiyo maana hata haramu anakula kuogopa maisha nje ya siasa, ana mtizamo hasi anaweza kuendesha maisha nje ya siasa akaishi, usaliti hauta mpa raha kamwe hana uwezo tena ya kukosoa ccm, watakuwa wanamtwanga kila siku
 
Huwezi kutosheka na fedha hata siku moja , hakuna kitu cha thamani kama utu wa mtu hauwezi kuthaminisha na kitu chochote mjinga ndiyo anajiuza akidhani anaweza kutosheka na fedha
 
Hongera Mayenga kuwapiga nyundo hao covid, ccm endeleeni hivyo hivyo kuwazodoa
 
“Sema unaumwa “😂😂😂
 
Huyo mbwa wa kipare aombe msamaha kwenye Chama kipi?
Aende Chato kwenye kaburi la Magufuli akaliabudu huko,si walikuwa wakimwona Magufuli ndo mungu wao? Kiko wapi?
Ole wao CHADEMA wamsamehe huyo kenge.....

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Nakupa hadhi ya Msomi wa Propaganda na Intelejensia ya Mipango tata!
 
Hahahaaaaa eti akikuita sema unaumwa
 
Kwa mara kwanza miaka 25 Lucy Mayenga kaongea....angalau maana kushindana kuvaa na kuibiana wanaume na kudanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…