Dogooo! Acha hizo wewe! Dar hii ninayoifahamu watu ni mashoga kwa sababu ya pesa. Hata ndani ya CHDEMA watu wana bidii kwa sababu ya mshiko waliokuwa wanapiga. Ukitaka kujua hilo subili mwaka wa tatu na baada ya uchaguzi huu ndo utajua. Mwaka wa 4 zikipatikana za akina Sabodo ndo utajua urafi wa pesa uko kwa nani.Dah.,, hii ni fedheha kubwa sana! Ila binadamu tupo tofauti sana, Mimi ningeachana na Bunge ningeendelea na mambo mengi maisha yaende, kwani kipato kinapatikana bungeni tu?
Kumbuka kasomea sheria na haja-practise kazi yake ni siasa ndiyo maana hata haramu anakula kuogopa maisha nje ya siasa, ana mtizamo hasi anaweza kuendesha maisha nje ya siasa akaishi, usaliti hauta mpa raha kamwe hana uwezo tena ya kukosoa ccm, watakuwa wanamtwanga kila sikuDah.,, hii ni fedheha kubwa sana! Ila binadamu tupo tofauti sana, Mimi ningeachana na Bunge ningeendelea na mambo mengi maisha yaende, kwani kipato kinapatikana bungeni tu?
Inawezekana hakutegemea kama hii ngoma ingekuja kumkalia vibaya hivi, alikuwa ana beep akijua yatapita kumbe yamegoma kupita.Halima amekuja kuharibikiwa uzeeni sababu ya tamaa za kijinga
Huwezi kutosheka na fedha hata siku moja , hakuna kitu cha thamani kama utu wa mtu hauwezi kuthaminisha na kitu chochote mjinga ndiyo anajiuza akidhani anaweza kutosheka na fedhaDogooo! Acha hizo wewe! Dar hii ninayoifahamu watu ni mashoga kwa sababu ya pesa. Hata ndani ya CHDEMA watu wana bidii kwa sababu ya mshiko waliokuwa wanapiga. Ukitaka kujua hilo subili mwaka wa tatu na baada ya uchaguzi huu ndo utajua. Mwaka wa 4 zikipatikana za akina Sabodo ndo utajua urafi wa pesa uko kwa nani.
Hongera Mayenga kuwapiga nyundo hao covid, ccm endeleeni hivyo hivyo kuwazodoaHalima Mdee nje na ndani ya ukumbi unasutwa.Hata uongee point vipi ni pointless.
Kusutwa na mwanamke mwenzio ni aibu.
Ushauri wangu JIUZURU UBUNGE kaombe msamaha kwenye chama chako.Ndugai 2025 ni mstaafu,nani atakukingia.
Mh LUCY MAYENGA Hongera sana kwa kusema ukweli na kuonyesha wazi kuwa kitendo cha Uviko 19 hawana sifa yakumsema Magufuli huku wakijua kuwa ndiye aliyewaingiza.
ASANTE MAYENGA.SPIKA akikuita kama alivyofanya kwa NAPE sema unaumwa
“Sema unaumwa “😂😂😂Halima Mdee nje na ndani ya ukumbi unasutwa.Hata uongee point vipi ni pointless.
Kusutwa na mwanamke mwenzio ni aibu.
Ushauri wangu JIUZURU UBUNGE kaombe msamaha kwenye chama chako.Ndugai 2025 ni mstaafu,nani atakukingia.
Mh LUCY MAYENGA Hongera sana kwa kusema ukweli na kuonyesha wazi kuwa kitendo cha Uviko 19 hawana sifa yakumsema Magufuli huku wakijua kuwa ndiye aliyewaingiza.
ASANTE MAYENGA.SPIKA akikuita kama alivyofanya kwa NAPE sema unaumwa
Huyo mbwa wa kipare aombe msamaha kwenye Chama kipi?Halima Mdee nje na ndani ya ukumbi unasutwa.Hata uongee point vipi ni pointless.
Kusutwa na mwanamke mwenzio ni aibu.
Ushauri wangu JIUZURU UBUNGE kaombe msamaha kwenye chama chako.Ndugai 2025 ni mstaafu,nani atakukingia.
Mh LUCY MAYENGA Hongera sana kwa kusema ukweli na kuonyesha wazi kuwa kitendo cha Uviko 19 hawana sifa yakumsema Magufuli huku wakijua kuwa ndiye aliyewaingiza.
ASANTE MAYENGA.SPIKA akikuita kama alivyofanya kwa NAPE sema unaumwa
Ohoooo!.Wanajua kabisa siku zao zinahesabika mule bungeni. Wakiamka jambo la kwanza kabla hajaosha masaburi lazima aangalie habari isijekuwa mkeka umechanika😃😃😃
Wanaishi kama kunguru.
Wanajua kabisa siku zao zinahesabika mule bungeni. Wakiamka jambo la kwanza kabla hajaosha masaburi lazima aangalie habari isijekuwa mkeka umechanika😃😃😃
Wanaishi kama kunguru.
I get your point. Na mama mwenyewe hana jipya old tactics ndio njia anayotumia..sidhani kama watatoka bungeni.
..msijisahau kwamba Mama Samia ni mwana-ccm.
Nakupa hadhi ya Msomi wa Propaganda na Intelejensia ya Mipango tata!Siasa hazitabiriki. Haitoshangaza sana Halima na wenzake wakaskilizia mpaka mid 2024 then wakaenda kumuangukia Mbowe huku wakilia.
Mbowe kwa huruma zake za kiuongozi most likely atawasamehe, atapull strings ndani ya vikao then Mdee na kundi lake watasimamishwa kugombea ubunge tena
A week is a long time in politics
"MAYENGA", SPIKA akikuita kama alivyofanya kwa NAPE sema unaumwaAisee namheshimu sana Haalima, sijui alipatwa na shetani gani!!
Hahahaaaaa eti akikuita sema unaumwaHalima Mdee nje na ndani ya ukumbi unasutwa.Hata uongee point vipi ni pointless.
Kusutwa na mwanamke mwenzio ni aibu.
Ushauri wangu JIUZURU UBUNGE kaombe msamaha kwenye chama chako.Ndugai 2025 ni mstaafu,nani atakukingia.
Mh LUCY MAYENGA Hongera sana kwa kusema ukweli na kuonyesha wazi kuwa kitendo cha Uviko 19 hawana sifa yakumsema Magufuli huku wakijua kuwa ndiye aliyewaingiza.
ASANTE MAYENGA.SPIKA akikuita kama alivyofanya kwa NAPE sema unaumwa
Kwa mara kwanza miaka 25 Lucy Mayenga kaongea....angalau maana kushindana kuvaa na kuibiana wanaume na kudangaHalima Mdee nje na ndani ya ukumbi unasutwa.Hata uongee point vipi ni pointless.
Kusutwa na mwanamke mwenzio ni aibu.
Ushauri wangu JIUZURU UBUNGE kaombe msamaha kwenye chama chako.Ndugai 2025 ni mstaafu,nani atakukingia.
Mh LUCY MAYENGA Hongera sana kwa kusema ukweli na kuonyesha wazi kuwa kitendo cha Uviko 19 hawana sifa yakumsema Magufuli huku wakijua kuwa ndiye aliyewaingiza.
ASANTE MAYENGA.SPIKA akikuita kama alivyofanya kwa NAPE sema unaumwa