Bungeni: Mbunge wa CHADEMA amtimua mpangaji wake ambaye ni Askari Polisi, adai haoni maana ya kushirikiana nae, Waziri Lugola amtisha

Bungeni: Mbunge wa CHADEMA amtimua mpangaji wake ambaye ni Askari Polisi, adai haoni maana ya kushirikiana nae, Waziri Lugola amtisha

Police siyo wa kuwasaidia kabisa. Hao jamaa ndiyo vitendea kazi vya kusimamia udhalimu wa ccm
 
Unaweza ukawa na limwili likubwa na likichwa likubwa akili ukawa huna
 
Nina wapangaji wanaccm nimeshawapa notisi.CCM ni adui
FB_IMG_1572697051230.jpeg
 
Hawajibiki kwa Lugola kwakua nyumba aliijenga mwenyewe wala hakusaidiwa kupangisha pia ni maamzi yake akipenda nyumba inabaki bila mpangaji Hakuna wakumhoji
 
Baada ya kauli ya Mbunge Sophia Mwakagenda (CHADEMA) aliyosema amemuondoa mpangaji ambaye ni Polisi kwenye nyumba yake kwa sababu haoni haja ya kushirikiana nae.

Waziri Kangi Lugola amemuagiza IGP Simon Sirro kumchukulia hatua Mbunge huyo na wengine wanaotoa kauli zenye viashiria vya uvunjifu wa amani.

Tuliandika sana humu juu ya hayo yanayojiri sasa kuwa chuki inayopandwa tutavuna matunda yake tu na haya yatajitokeza sana CCM watawafukuza pia wasiokubaliana nao kama ambavyo wanabambikiwa vyesi na mwisho wa siku "tutagawana mbao"
Huo ni mwanzo na ishara mbaya...
Tunayo hiyari ya kujitafakari sasa ama kuendelea kwa juhudi na maarifa katika kujenga chuki na uhasama kisiasa huku tukishangilia kwa nyimbo na mapambio huenda vikalipa tunachokitaka
 
Usishangae kesho watu wa TRA wakabisha hodi nyumbn kwake kudai Lesen
Hahitaji leseni kupangisha nyumba, lakini kama hayo mapato ya kupangisha nyumba atakuwa hayalipii kodi anaweza kujikuta kwenye kona mbaya sana hata kupoteza sifa za kuwa mbunge.
 
Back
Top Bottom