The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
- Thread starter
-
- #41
Rais ameshachukua hatua ya kuirudisha,sasa nashangaa kuna watu bado wanasema eti serikali haijajibu hoja.Alisema Makamba ameisababishia serikali hasara ya bilioni 30 kwa uamuzi wake wa kuondoa shilingi 100 kwenye tozo za mafuta zilizopitishwa na bunge.
Hivyo Makamba ni muhujumu uchumi.
Mwaka Jana mwezi wa ngapi?Mpina anwapiga pini hadi mnalialia tu , report ya CAG inasema kuwa bwawa liko 41% na lilipaswa kuwa 86% mwaka jana. Wewe unaletamavi yako hapa
USSR
Kwani Kuna tatizo report kusema hivo... Hio inamaanisha huu mradi tulikua tudanganywa na wataalam tangu uko nyuma... Hii awamu ndo kwanza Ina mwaka mmoja, kwa makadirio huu mradi ulitakiwa uwe ulishafikia asilimia 80 tangu mwaka Jana July....hivo waziri wa sas ilijumba bovu sio lake, ni waziri aliepita ndio aeleze kwann alikua anadanganyaMpina anwapiga pini hadi mnalialia tu , report ya CAG inasema kuwa bwawa liko 41% na lilipaswa kuwa 86% mwaka jana. Wewe unaletamavi yako hapa
USSR
ile hoja ya Mpina kwamba Makamba ni muhujumu uchumi ameisababishia serikali hasara ya bil 30 mpaka leo sijaona ikijibiwa, naona chawa wa mama mnatupigia kelele tu hapa.
Kupinga ripoti ya CAG ni kawaida kwa wanaCCM. Ile 1.5T ambayo matumizi yake hayajawahi Julikana enzi za mwendazake ilipingwa haswaa.... Hadi akina Polepole nao walijitokeza kuteteaAkapinge na report ya CAG
USSR
Tatizo lao ni nini hasa ?...Au ungependa tuwe na wabunge wenye elimu za juu ?Msukuma na Kibajaji ni aibu kuwemo bungeni
CCM iandae watu wa kushika nafasi zao
Sasa kama wakati wa uhai wa Mwendazake lilifika zaidi ya 50% halafu mwaka baadaye ujenzi unfikia 41% hupati picha ya kilichokuwa kinaendelea? Lilibomolewa au?Mpina anwapiga pini hadi mnalialia tu , report ya CAG inasema kuwa bwawa liko 41% na lilipaswa kuwa 86% mwaka jana. Wewe unaletamavi yako hapa
USSR
Huyo kashekua ameshakula keki so anajichokonoa kwenye jino bovu kutoa uchafu wa keki uliobaki.Mpina anwapiga pini hadi mnalialia tu , report ya CAG inasema kuwa bwawa liko 41% na lilipaswa kuwa 86% mwaka jana. Wewe unaletamavi yako hapa
USSR
Ki Msukuma kinafiki sana,ni ka bendera fuata upepo huwa kinaangalia zilipo dili,kinalalia huko ili kulinda maslahi binafsi.Wameanza kuumbuana.
Mbunge wa Geita Mjini Musukuma amemjia juu Luhaga Mpina kwa kumhusisha na kueneza uzushi Kuhusu Bwawa la umeme la Nyerere kwenye Clip aliyodai ilikuwa ikienea mitandaoni. Musukuma ameonya kutohisishwa kwenye uzushi usio na maslahi ya Nchi Kwa kuangushiwa jumba bovu 😆😆.
Musukuma amesifu Kazi nzuri iliyofanywa na Waziri Makamba chini ya uongozi mahiri wa Rais Samia.
My take,
Mtaendelea kuumbuana na mwisho mtawataja tuu waliowatuma.
======
Dodoma. Mbunge wa Geita Vijijini (CCM), Joseph Kasheku ‘Msukuma’ leo Ijumaa Aprili 8, 2022 ameeleza kuwa basi lake lililokamatwa kwa kosa la kuwa na samaki watatu linaozea kituoni lakini anashangaa aliyehusika na yeye analalamika.
Wakati Mpina akiwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi, basi linalomilikiwa na Msukuma lilikamatwa likiwa na samaki na kutaifishwa. Wakati huo Serikali ilizuia uvuvi na usafirishaji wa samaki wadogo Ziwa Victoria.
Msukuma ametoa kauli hiyo wakati akichangia katika hotuba ya makadilio ya mapato na matumizi kwa Ofisi ya Waziri Mkuu na Wizara zilizochini yake ambapo amesema kuna watu huwa wanajisahaulisha wakisha kuwa nafasi za juu.
Hata hivyo Spika wa Bunge, Dk Tulia Akson amekea kauli hiyo akisema siyo sehemu ya mjadala ulio mbele ya bunge na kumtaka mbunge kujielekeza kwenye hoja mahususi huku akimsihi kufuta kauli yake aliyosema message delivery (ujumbe umefika).
Msukuma amemtaja moja kwa moja mbunge wa Kisesa, Luhwaga Mpina kwamba amekuwa mtu wa kulalamika huku akimhusisha yeye (Msukuma).
“Mimi sitaki kuangushiwa jumba bovu, nimeona katika moja ya mitandao nahusishwa na kauli yangu kuhusu ujenzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere, nililisema kweli na nikafuata taratibu zote, lakini tuliomba kibali cha kutembelea ambapo nakiri ujenzi wake umekwenda mara tatu ya alivyoacha Magufuli (Rais John Magufuli wa awamu ya tano),” amesema Msukuma.
Katika hatua nyingine ametaja hoja ya kupanda kwa bei ya mafuta Tanzania akitaka Serikali ichukue hatua za dharura kama ilivyofanya katika mazao ya wakulima, lakini ameonya bila kufanya hivyo wakati wowote mafuta yatapanda tena.
Asilimia 41 ? Labda 41% ya 10% mkuuMpina anwapiga pini hadi mnalialia tu , report ya CAG inasema kuwa bwawa liko 41% na lilipaswa kuwa 86% mwaka jana. Wewe unaletamavi yako hapa
USSR
Likiwa 41% so what?Mpina anwapiga pini hadi mnalialia tu , report ya CAG inasema kuwa bwawa liko 41% na lilipaswa kuwa 86% mwaka jana. Wewe unaletamavi yako hapa
USSR