Bungeni: Musukuma amvaa Luhaga Mpina kwa kueneza uzushi wa Bwawa la Umeme la Nyerere

Alisema Makamba ameisababishia serikali hasara ya bilioni 30 kwa uamuzi wake wa kuondoa shilingi 100 kwenye tozo za mafuta zilizopitishwa na bunge.

Hivyo Makamba ni muhujumu uchumi.
Rais ameshachukua hatua ya kuirudisha,sasa nashangaa kuna watu bado wanasema eti serikali haijajibu hoja.
 
Mpina anwapiga pini hadi mnalialia tu , report ya CAG inasema kuwa bwawa liko 41% na lilipaswa kuwa 86% mwaka jana. Wewe unaletamavi yako hapa


USSR
Kwani Kuna tatizo report kusema hivo... Hio inamaanisha huu mradi tulikua tudanganywa na wataalam tangu uko nyuma... Hii awamu ndo kwanza Ina mwaka mmoja, kwa makadirio huu mradi ulitakiwa uwe ulishafikia asilimia 80 tangu mwaka Jana July....hivo waziri wa sas ilijumba bovu sio lake, ni waziri aliepita ndio aeleze kwann alikua anadanganya
 
ile hoja ya Mpina kwamba Makamba ni muhujumu uchumi ameisababishia serikali hasara ya bil 30 mpaka leo sijaona ikijibiwa, naona chawa wa mama mnatupigia kelele tu hapa.

Hoja ya Mpina kuwa January alikuwa ameisababishia nchi hasara kwa uamuzi wake bila kufuata taratibu ilikuwa na maana ya kuitahadhalisaha serikari na hasa Rais Samia asirudie makosa yaliyokuwa yanafanywa na Marehemu Magufuli ya kujiamulia mambo kiholela bila kufuata sheria za nchi!!
Rais Samia nae ameanza kupora mamlaka ya Bunge ya kufuta tozo kwenye mafuta bila kupata kibali cha bunge!!! Hali kama hiyo ndio ilimfanya Magufuli kujichukulia madaraka ya kuchukua fedha kwenye sandarusi na kwenda kununua ndege bila kupitia bungeni kitu ambacho kimeitia nchi hasara kubwa kiuchumi kwani ndege hazitumiki ipasavyo!! Hapa Samia anatakiwa ajifunze kuwa serikali lazima ifuate sheria za nchi katika kutoa maamuzi yake na sio kukurupuka na maamuzi ambayo yanavunja sheria na yanaweza kuwa vichochoro vya mafisadi kufanikisha mambo yao!!
 
Ivi uyu msukuma ni mdogo wake Gwaji boy mbona wanafanana
 
Tutamtumia msukuma kupambana na msukuma mwenzake.

Kete imesukumwa tayari hapo.
 
Huenda msukuma anatafuta namna ya kuaminiwa na akina Makamba ili awe anapata za ndani
 
Msukuma na Kibajaji ni aibu kuwemo bungeni

CCM iandae watu wa kushika nafasi zao
Tatizo lao ni nini hasa ?...Au ungependa tuwe na wabunge wenye elimu za juu ?
 
Mara nyingi Msukuma amekuwa akijinasibu kuvunja sheria katika mambo mbalimbali..mfano uuzaji mchanga wa dhahabu waliokuwa wakiiba migodini, kama gari yake ilipakia samaki waliovuliwa kinyume na sheria sheria zilizopitishwa na bunge zipo wazi na adhabu zinajulikana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpina anwapiga pini hadi mnalialia tu , report ya CAG inasema kuwa bwawa liko 41% na lilipaswa kuwa 86% mwaka jana. Wewe unaletamavi yako hapa


USSR
Sasa kama wakati wa uhai wa Mwendazake lilifika zaidi ya 50% halafu mwaka baadaye ujenzi unfikia 41% hupati picha ya kilichokuwa kinaendelea? Lilibomolewa au?
 
Mpina anwapiga pini hadi mnalialia tu , report ya CAG inasema kuwa bwawa liko 41% na lilipaswa kuwa 86% mwaka jana. Wewe unaletamavi yako hapa

USSR
Huyo kashekua ameshakula keki so anajichokonoa kwenye jino bovu kutoa uchafu wa keki uliobaki.
 
Ki Msukuma kinafiki sana,ni ka bendera fuata upepo huwa kinaangalia zilipo dili,kinalalia huko ili kulinda maslahi binafsi.
 
Hakuna mtu muongo duniani na a ayetumia mdomo wake vibaya kama kuyo anayejiita king. Kama humjui akikuletea habari unaweza kutoa maamuzi magumu dhidi ya aliyemtuhumu
 
Mpina anwapiga pini hadi mnalialia tu , report ya CAG inasema kuwa bwawa liko 41% na lilipaswa kuwa 86% mwaka jana. Wewe unaletamavi yako hapa


USSR
Asilimia 41 ? Labda 41% ya 10% mkuu
 
Mpina anwapiga pini hadi mnalialia tu , report ya CAG inasema kuwa bwawa liko 41% na lilipaswa kuwa 86% mwaka jana. Wewe unaletamavi yako hapa


USSR
Likiwa 41% so what?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…