The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
- Thread starter
-
- #61
Nani sio mnafiki? Safi Sana Musukuma kwa kuwachana liveKi Msukuma kinafiki sana,ni ka bendera fuata upepo huwa kinaangalia zilipo dili,kinalalia huko ili kulinda maslahi binafsi.
Kama alivyogota kwenye SGRhilo bwawa hata mlevi anajua kuwa màgufool mwenyewe asingeweza kulikamilisha kwa wakati kwa jinsi alivyobanwa pumbu na mabeberu
That's from the mouth of the horsemsukuma aliwahi kuwa mfanyabiashara & mtumiaji mkubwa wa marijuana kwa hiyo confidence ni lazima kwa sababu ule mmea huwa una katabia ka kuwapatia watumiaji wake misimamo
"labda kwenye ganja kidogo nilikuwemo ndio maana mpaka leo bado inanipa misimamo" Sugu
Mgambo wanaruka na kukanyagana.Maisha bana sasa wamebaki wenyewe wanakulana , na ukitaka kujua malipo ni hapa hapa duniani angalia leo Kimbunga Jobo cha kule mpwapwa kinauliziwa wala hakijulikani kilipo baada ya kuandikishwa barua ya kujiudhulu kwa lazima. Wanaita what goes orround comes arround , tutaelewana tu ,ipo siku.
Unawafahamu wangapi? Mbona hushirikiani na vyombo husika?
Meno yameenda wapi? Kama havinaeno na wewe jaribuvyombo husika havina meno hata mtoto mdogo ukimuuliza matajiri wa unga atakuonyesha
Sasa kama wakati wa uhai wa Mwendazake lilifika zaidi ya 50% halafu mwaka baadaye ujenzi unfikia 41% hupati picha ya kilichokuwa kinaendelea? Lilibomolewa au?
Wahuni tu hawa in Polepole's Voice.Wameanza kuumbuana.
Mbunge wa Geita Mjini Musukuma amemjia juu Luhaga Mpina kwa kumhusisha na kueneza uzushi Kuhusu Bwawa la umeme la Nyerere kwenye Clip aliyodai ilikuwa ikienea mitandaoni. Musukuma ameonya kutohisishwa kwenye uzushi usio na maslahi ya Nchi Kwa kuangushiwa jumba bovu 😆😆.
Musukuma amesifu Kazi nzuri iliyofanywa na Waziri Makamba chini ya uongozi mahiri wa Rais Samia.
My take,
Mtaendelea kuumbuana na mwisho mtawataja tuu waliowatuma.
======
Dodoma. Mbunge wa Geita Vijijini (CCM), Joseph Kasheku ‘Msukuma’ leo Ijumaa Aprili 8, 2022 ameeleza kuwa basi lake lililokamatwa kwa kosa la kuwa na samaki watatu linaozea kituoni lakini anashangaa aliyehusika na yeye analalamika.
Wakati Mpina akiwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi, basi linalomilikiwa na Msukuma lilikamatwa likiwa na samaki na kutaifishwa. Wakati huo Serikali ilizuia uvuvi na usafirishaji wa samaki wadogo Ziwa Victoria.
Msukuma ametoa kauli hiyo wakati akichangia katika hotuba ya makadilio ya mapato na matumizi kwa Ofisi ya Waziri Mkuu na Wizara zilizochini yake ambapo amesema kuna watu huwa wanajisahaulisha wakisha kuwa nafasi za juu.
Hata hivyo Spika wa Bunge, Dk Tulia Akson amekea kauli hiyo akisema siyo sehemu ya mjadala ulio mbele ya bunge na kumtaka mbunge kujielekeza kwenye hoja mahususi huku akimsihi kufuta kauli yake aliyosema message delivery (ujumbe umefika).
Msukuma amemtaja moja kwa moja mbunge wa Kisesa, Luhwaga Mpina kwamba amekuwa mtu wa kulalamika huku akimhusisha yeye (Msukuma).
“Mimi sitaki kuangushiwa jumba bovu, nimeona katika moja ya mitandao nahusishwa na kauli yangu kuhusu ujenzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere, nililisema kweli na nikafuata taratibu zote, lakini tuliomba kibali cha kutembelea ambapo nakiri ujenzi wake umekwenda mara tatu ya alivyoacha Magufuli (Rais John Magufuli wa awamu ya tano),” amesema Msukuma.
Katika hatua nyingine ametaja hoja ya kupanda kwa bei ya mafuta Tanzania akitaka Serikali ichukue hatua za dharura kama ilivyofanya katika mazao ya wakulima, lakini ameonya bila kufanya hivyo wakati wowote mafuta yatapanda tena.
🤣🤣🤣🤣Sasa kama wakati wa uhai wa Mwendazake lilifika zaidi ya 50% halafu mwaka baadaye ujenzi unfikia 41% hupati picha ya kilichokuwa kinaendelea? Lilibomolewa au?
Scam gang akijaribu kutafuta connection kwa wajanja wa mjiniHuenda msukuma anatafuta namna ya kuaminiwa na akina Makamba ili awe anapata za ndani
🤣🤣🤣Ivi uyu msukuma ni mdogo wake Gwaji boy mbona wanafanana
Nani aliwahi kutoa hizi taarifa za kwamba Bwawa limefika 50%? Acha uzushi wewe.Sasa kama wakati wa uhai wa Mwendazake lilifika zaidi ya 50% halafu mwaka baadaye ujenzi unfikia 41% hupati picha ya kilichokuwa kinaendelea? Lilibomolewa au?
Kama kawaSasa kwani kuna tatizo ripoti ikisema hivyo?
Ndio maana ya serikali kujibu hoja,Sukuma gang mmja keshaelewa sababu za kuchelewa wala hazihusiani na Serikali ya mama bali wapigaji waliokuwa wamewekwa na kiongozi wa malaika wa Sukuma gang.
Kama dawaKama kawa
Mwendazake ndio nani?Nani aliwahi kutoa hizi taarifa za kwamba Bwawa limefika 50%? Acha uzushi wewe.
Mwisho nani hajui kwamba Serikali ya Mwendazake ilijaa uongo,kupika data na Takwimu? Ni mjinga tuu kama wewe ndio ungeweza muamini Mwendazake.
Mwendazake alizindua zaidi ya mara 3 Bomba la mafuta la Uganda lakini hakuna hata greda 😆😆..
Sgr ya km 200 tuliambiwa ingeanza mwaka 2018 hadi leo hii imekwama 😬😬
Ndio hivyo, mjani wa mwarobainiKama dawa
Huo ni uwongo.hilo bwawa hata mlevi anajua kuwa màgufool mwenyewe asingeweza kulikamilisha kwa wakati kwa jinsi alivyobanwa pumbu na mabeberu
Wapi kapewa Digrii?Msukuma nyanoko,nkong'waa nzoka,kaching'we mhela,nimegundua msukuma kumbe ni njaa,waliokupa digrii hawakujua kumbe una mavi kichwani?
Apparently from the Exeter HallsThat's from the mouth of the horse