Bungeni: Musukuma amvaa Luhaga Mpina kwa kueneza uzushi wa Bwawa la Umeme la Nyerere

That's from the mouth of the horse
 
Mgambo wanaruka na kukanyagana.
That's when things fall apart.
 
msukuma ni chawa anaangalia upepo. msukuma ndie alimshitaki mkurugenzi kwa jpm eti kanunua gari la kifahari kwa hela ya serikali
 
Wahuni tu hawa in Polepole's Voice.
 
Sasa kama wakati wa uhai wa Mwendazake lilifika zaidi ya 50% halafu mwaka baadaye ujenzi unfikia 41% hupati picha ya kilichokuwa kinaendelea? Lilibomolewa au?
Nani aliwahi kutoa hizi taarifa za kwamba Bwawa limefika 50%? Acha uzushi wewe.

Mwisho nani hajui kwamba Serikali ya Mwendazake ilijaa uongo,kupika data na Takwimu? Ni mjinga tuu kama wewe ndio ungeweza muamini Mwendazake.

Mwendazake alizindua zaidi ya mara 3 Bomba la mafuta la Uganda lakini hakuna hata greda 😆😆..
Sgr ya km 200 tuliambiwa ingeanza mwaka 2018 hadi leo hii imekwama 😬😬
 
Sasa kwani kuna tatizo ripoti ikisema hivyo?

Ndio maana ya serikali kujibu hoja,Sukuma gang mmja keshaelewa sababu za kuchelewa wala hazihusiani na Serikali ya mama bali wapigaji waliokuwa wamewekwa na kiongozi wa malaika wa Sukuma gang.
Kama kawa
Kaburu gang wewe
Ujumbe ukufike
haya weka tusi lako hapo chini
 
Mwendazake ndio nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…