Bungeni: Mwenyekiti PAC amtaka Kangi Lugola kutoa maelezo kuhusu sakata la ufisadi katika ununuzi wa sare za Jeshi la Polisi nchini

Na sa hivi itakua vijana wa usalama wanawapenyezea wabunge wa ccm/cdm vimeo vya Kange akiwa madarakani ili wakaviongee vzr huko bungeniikurano yao.
Akiangalia clip zake wakati ni Waziri sijui anajisikiaje........
Hapa duniani kuwa Ogopa na kuwa makini na

Power,popularity,prestige,property na pomposity......

Hayo yote ndiyo yanamtafuna saizi

dodge
 
Word
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na sa hivi itakua vijana wa usalama wanawapenyezea wabunge wa ccm/cdm vimeo vya Kange akiwa madarakani ili wakaviongee vzr huko bungeniikurano yao.

dodge
Daah aisee na hivi alikuwa anawazingua zingua police,lazima nayeye wamlipue
 
Kuna ufisadi kamati ya kudumu ya bunge bado inauficha. Ni hawa hawa waliungana na wezi wenzao kusema hawana imani na prof. Assad.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuwe makin naona ccm inatutoa kwenye reli kuhusu matumizi ya mkopo uliositishwa!spin doctoring hapa naiona!!!!!Wameamua kumtoa kafara tu kupata umaarufu kwa jiwe kuelekea vugu vugu la uchaguzi!!!
 
Mwenyekiti nae asituchoshe. Alikuwa anasubiri Kangi atumbuliwe ndo aje na huu Mkwara? Nnachokiona, huyu ni mwenyekiti ambae ameamua ku side na Serikali, so she is dancing according to the tune!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa ndiyo linapo anzia tatizo la viongozi wetu, hili sakata halikuanza leo hii bali ni kipindi cha nyuma nakumbuka wakati Lugola akimtuhumu CAG kuwa ni muongo hao hao wajumbe wa kamati hii walikuwa wanamshangilia
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Takukuru wamemkamata lugola Kwa tuhuma za ufisadi, rais amemteua lugola kuwa Wazir wa mambo ya ndani

Lugola;- sijawahi muona MTU muongo kama CAG (kipind hicho ni proff Assad) wabunge wa ccm wampigia makofi na kumshangilia

Magufuli;- lugola achunguzwe kwa ufisadi-waimba mapambio wana msifia magufuli

Kutokana na hizo statement tatu inaonyesha kama taifa hatujui tunachotaka
 
Hapa ndiyo linapo anzia tatizo la viongozi wetu, hili sakata halikuanza leo hii bali ni kipindi cha nyuma nakumbuka wakati Lugola akimtuhumu CAG kuwa ni muongo hao hao wajumbe wa kamati hii walikuwa wanamshangilia

Sent using Jamii Forums mobile app
Sihivyo rais alimchagua kuwa waziri akiwa ametoka kutuhumiwa kufanya ufisadi unafki ni janga LA taifa
 
kabla hujateuliwa na Rais basi ni vyema ukajitathimini wewe mwenyewe kwanza kama unatosha, kama una upungufu wa maadili bora kukataa kuliko kuadhirika.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maisha ya usanii kwenye utumishi wa uma huwa hayadumu
Mkuu hi Sentesi yako ni nzito,ingekuwa imetolewa na Ballack Obama,Tony Blair ingekuwa ni ya kimataifa ila kwa kuwa ni ya Avacacado...... πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
 
Kama vile namuona yule afande anavyomsubiri pale segerea akampatie chumba chake. pole sana Kangi na karibu segerea.
 
Watamuua vibaya huyu mzee... Sijui kafeli wapi maskini ya Mungu

Jr[emoji769]
Ila napata mashaka na kwamba mtu akiondokewa na mke kuna madhara kama ataanza kuruka na milupo!
Baada ya Kangi kufiwa haikuchukua muda mrefu akaanza vituko vya kukatika katika mauno hadharani. Nadhani alipata mmakonde akamkatia mauno hivyo kila akisikia midundo anajisikia kunengua.
Nampa pole sana muzee!
Your browser is not able to display this video.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…