Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #61
asante kwa vionjo mkuuIla napata mashaka na kwamba mtu akiondokewa na mke kuna madhara kama ataanza kuruka na milupo!
Baada ya Kangi kufiwa haikuchukua muda mrefu akaanza vituko vya kukatika katika mauno hadharani. Nadhani alipata mmakonde akamkatia mauno hivyo kila akisikia midundo anajisikia kunengua.
Nampa pole sana muzee!View attachment 1341106
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbuzi wa Pasaka kaka, yaani jamaa washamtazamisha Kibra...... watu wanakugeuka sekunde aisee!!Ninja Kange kashafanywa Mbuzi wa kafara.
Kuna mtu hapa anasema Kange anapesa ndefu kabla hata ya kuwa Waziri.
Wazee wa Mwibara ongezeni nyama kwenye hilo
Hata John wa chatto nae ni kangi ?Hahaha ccm wote ni makangi, wamuache huyo kangi mmoja watamuua kwa high pressure
Mpaka anatamani asingewahi kuomba kuwa mbunge,ili asiwahi kuwa waziri.Kangi Lugola anashukiwa kama mwewe
Asante sana, ujumbe umewafikia mubasharawabunge wa CCM wanafiki wakubwa walimponda sana CAG wakiongozwa na Spika na huyo Lugola alidiriki kusema sare zilinunuliwa na zipo hakuna mtu mwongo kama CAG wakapiga makofi leo hii hiyo ripoti ya ASSAD wanaitumia kumsulubu Kangi, wanafiki wakubwa nyie
Muindi[emoji7][emoji7]Kwanini walimkashifu CAG kipindi kile sasa
Huyo bungeni harudi Tena !tayari MWENYEKITI ccm mara kashasema watamukalia kooni watamhoji kulingana na kashifa inayomkabili
Sent using Jamii Forums mobile app
huyu hapaMpaka anatamani asingewahi kuomba kuwa mbunge,ili asiwahi kuwa waziri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh...! Madaraka ni kweli yanalevya,lakini huyu alipitiliza.huyu hapa
Wabunge wa ccm wanapangiwa cha kuchangia na Humphrey polepole , hawako huru hata chembeMusa Assad alionewa sana. Lakini cha ajabu ni kwamba Jana wakati Mwenyekiti wa PAC anasema hayo wale wale waliopiga makofi na kushangilia wakati Lugola anamuita Assad kuwa ni "muongo", haohao wamepiga na kushangilia tena!! Wana CCM ni sawa na manyumbu.
Sent using Jamii Forums mobile app