Bungeni: Mwenyekiti PAC amtaka Kangi Lugola kutoa maelezo kuhusu sakata la ufisadi katika ununuzi wa sare za Jeshi la Polisi nchini

Kama alimtaja mungu katika kujitetea hapo mwanzoni alipokua waziri wa mambo ya ndani ili aonekane mwema bhaaasi achukuliwe hatua
 
Ukombozi umekaribia ila kikwazo ni kile chama chenye wagonga meza wengi mjengoni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Walaa yazidu dhwaalimiina illaa khasaarah"
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna jinsi sheria ifuate mkondo wake,Akipatikana na hatia akanyee Debe tu.
 
Alimshambulia CAG Assad!
Alafu kwenye hotuba yake bungeni alikuwa a mb anasema "tumuogope Mungu" wakati huyo Mungu mwenyewe anayemtaja kinafki hamuogopi
Malipo hapa hapa, CAG kalipiwa Kiaina!
FaizaFoxy

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ova
ukianza kuchagua video maana yake device yako ni Tecno


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bams,
Ya Lugula yanaweza kumfika na Jiwe pia. Maana matendo yao yanafanana sana
 
Tunatumbua lini sasa yule kangi wa magogoni ?
Hahaha hata wa Syria wanasubiri Asaad ajitumbue, au afe lakini mambo bado sana, ingawa wao wameonyesha wazi kwa kupigana naye.

Hivyo nanyi muje tukinukishe kwanza, tuache kuamini atashindwa uchaguzi wakati mkijua hilo haliwezekani hata tusipopiga kura nchi nzima atapata kura milioni 20 walizojiwekea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…