Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 6,067
- 10,938
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr. Tulia Ackson amepiga marufuku Wabunge kufanya vituko kama kupiga magoti au sarakasi wakati wakichangia mijadala mbalimbali ndani ya Bunge.
Mbunge Flatei Massay akiwa amepiga sarakasi Bungeni
Mbunge Flatei Massay akiwa amepiga sarakasi Bungeni