Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
A bit too lateSpika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr. Tulia Ackson amepiga marufuku Wabunge kufanya vituko kama kupiga magoti au sarakasi wakati wakichangia mijadala mbalimbali ndani ya Bunge.
View attachment 2237360
View attachment 2237364
Mbunge Flatei Massay akiwa amepiga sarakasi Bungeni
Kuna yule aliyetishia kuondoka na Ile Siwa. Lkn pia ukimsikiliza vzr mwanzoni kama alitoa tusi vileNina uhakika wa asilimia mia kuwa, yule aliyefanya vituko vya sarakasi, angekuwa ni kutoka chama tofauti na CCM, angetolewa nje na polisi. Na pia, angeweza kutupwa nje ya bunge hata zaidi ya mwaka, na bado angepelekwa kwenye kamati ya maadili!
Jamaa ana fani nzuri, sema kuitumia ndani ya bunge wakati wa mjadala alizingua.Fani ipo damuni huyu jamaa .huwa akipata upenyo lazma aburudishe wenziwe
Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app
Hayo ni matokeo ya mbigiri zilizopandwa kwenye chafuzi2019/2020🚶Hilo bunge kibogoyo litajadili kitu gani muhimu?
Kufanya vituko kwasababu yakuonyesha msisitizo huo ni ujinga kama ujinga mwingine.Kama huo ndo u serious wake wa mwisho wa huyo mheshimiwa kwenye kuonyesha msisitizo unadhani ataweza jambo gani jingine kubwa yeye kama mbunge wakutumainiwa na wananchi wake maskini na kwataifa kwaujumla.Usitetee ujuha.Kwani walifanya vituko ili kuomba mapenzi au kuweka msisitizo kwa hoja zao kufanyiwa kazi?
Nadhani kuna mtu atakuja kujisadiai bungeniNa wengine watakuja kuvua nguo ndani ya bunge
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr. Tulia Ackson amepiga marufuku Wabunge kufanya vituko kama kupiga magoti au sarakasi wakati wakichangia mijadala mbalimbali ndani ya Bunge.
View attachment 2237360
View attachment 2237364
Mbunge Flatei Massay akiwa amepiga sarakasi Bungeni
Ukiondoa shs, wanakuita kwenye kamati ya wabunge wa ccm, wanakutuhumu unasaliti ilani ya chama, wanakutishia 2025 jina litakatwa,Wakuu nauliza !!
Je ule utaratibu wa kuondoa shilingi ili kupinga hoja umeishia wapi???Sijasikia muda mrefu mbunge kaondoa shilingi. Naona watu wanaruka sarakasi wengine wanalia
Alijua watanzania tunavyopenda Sanaa, sarakasi, Bongo movie, akaona ni Bora bungeni wawepo wasanii, Talle, MwanaFA, eeh wacheza sarakasi na mieleka kwa wingi.Kwa wabunge hawa ngosha alituweza kweri kweri
[emoji23][emoji23][emoji23].aise .inaonekana ameona aongeee kwa maiaitizoSpika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr. Tulia Ackson amepiga marufuku Wabunge kufanya vituko kama kupiga magoti au sarakasi wakati wakichangia mijadala mbalimbali ndani ya Bunge.
View attachment 2237360
View attachment 2237364
Mbunge Flatei Massay akiwa amepiga sarakasi Bungeni
Bunge Live... Kila mmoja anatafuta namna ya kuonekana kwa wanachi wake.
Nitajie mbunge mmoja tu wa bunge hili ambaye amefanya jambo la maana.Jamaa huyu wa sarakasi alifanya upumbavu sana!