residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Hao ndio wana CCM halisi.Leo na ww ni wa kumkana jiwe?
Waongo.
Wanafiki.
Washirikina.
Ndimi mbili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao ndio wana CCM halisi.Leo na ww ni wa kumkana jiwe?
Jiwe the best.Bunge la kijni, legacy ya jiwe.
Alitukatili sana.
Unaambiwa itokee ajali ukitoka bungeni,au umedondoka chooni au ufutwe uanachama. Hakuna kitisho cha kusubiri 2025.Ukiondoa shs, wanakuita kwenye kamati ya wabunge wa ccm, wanakutuhumu unasaliti ilani ya chama, wanakutishia 2025 jina litakatwa,
Inabidi uwe mpole, uendelee kuchumia tumbo, watoto waende toilet
Kwahiyo kabla ya maarufuku sarakasi ziliruhusiwa?Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr. Tulia Ackson amepiga marufuku Wabunge kufanya vituko kama kupiga magoti au sarakasi wakati wakichangia mijadala mbalimbali ndani ya Bunge.
View attachment 2237360
View attachment 2237364
Mbunge Flatei Massay akiwa amepiga sarakasi Bungeni
Bunge limekuwa bovu kama choo cha kuchuchumaa.Nadhani kuna mtu atakuja kujisadiai bungeni
Sawa mkuu, basi tukubaliane tu kwamba Bunge lote la awamu hii ni la hovyo!Nitajie mbunge mmoja tu wa bunge hili ambaye amefanya jambo la maana.
Huyu spika nae awe anapitia clip za mabunge mengine ,watu hufika mpaka kuvua nguo na kubaki uchi sembuse , ngoja akiwa nje ya Bunge 2025 ndo atajua hajui , sioni shida KWa alichofanya Mbunge japo najua yuko pale hakushindaSpika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr. Tulia Ackson amepiga marufuku Wabunge kufanya vituko kama kupiga magoti au sarakasi wakati wakichangia mijadala mbalimbali ndani ya Bunge.
View attachment 2237360
View attachment 2237364
Mbunge Flatei Massay akiwa amepiga sarakasi Bungeni
Clip yake iko wp?Kuna yule aliyetishia kuondoka na Ile Siwa. Lkn pia ukimsikiliza vzr mwanzoni kama alitoa tusi vile
Unajadili nn na watu walioiba uchaguzi?Bunge Live... Kila mmoja anatafuta namna ya kuonekana kwa wanachi wake.
Majizi ya kura yameanza kujuta.Kwa wabunge hawa ngosha alituweza kweri kweri
Hapo kama wapo darasani na Monitor, sarakasi zipigweeeeSafi sana, bungeni sio sehemu ya kufanya mambo ya kipuuzipuuzi.