Bungeni: Zungu ashauri ukusanyaji wa mapato kupitia Data

Bungeni: Zungu ashauri ukusanyaji wa mapato kupitia Data

Sildenafil Citrate

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2021
Posts
577
Reaction score
2,595
Naibu Spika wa Bunge la Tanzania, Mussa Azzan Zungu, amemtaka Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye, kuona namna watakavyoweza kushirikiana na Wizara ya Fedha, kuja na mfumo thabiti utakachochea ongezeko la mapato ya serikali kupitia matumizi ya data.

ITV
 
Uzee unamsumbua
20220830_080032.jpg
 
Back
Top Bottom