Bungeni: Zungu ashauri ukusanyaji wa mapato kupitia Data

Bungeni: Zungu ashauri ukusanyaji wa mapato kupitia Data

Uyu zungu ni chenga sana sasa kwanini asishauli serikali itafute pesa kupitia madini na magesi unayotamba nayo tunayo ili taifa linaviongozi wa ovyo sana na waliokosa ueledi wa kimikakati fedha ya muda mrefu

Shame on you Zungu [emoji2959][emoji2959][emoji2959][emoji3062][emoji35][emoji35]
 
Naibu Spika wa Bunge la Tanzania, Mussa Azzan Zungu, amemtaka Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye, kuona namna watakavyoweza kushirikiana na Wizara ya Fedha, kuja na mfumo thabiti utakachochea ongezeko la mapato ya serikali kupitia matumizi ya data.

ITV
A very stupid man very very stupid
 
Naibu Spika wa Bunge la Tanzania, Mussa Azzan Zungu, amemtaka Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye, kuona namna watakavyoweza kushirikiana na Wizara ya Fedha, kuja na mfumo thabiti utakachochea ongezeko la mapato ya serikali kupitia matumizi ya data.

ITV
Naunga mkono na miguu, kichwa na mdomo, pua hoja hii, naungana na Mh. Zungu, nchi zote zimewekeza kupata kodi kupitia data, calls, sms, kutuma na kupokea fedha mtandao, hapa kwetu serikali haipati kodi yoyote kupitia data.. Data kodi yake serikali ingepata kubwa sana
 
Hii mizee milamba asali imejaa ubinafsi wa ajabu, yaani kila kukicha ni kuichochea serikali ikamue tozo ili mirija yao ya posho, marupurupu na mishahara ya kufuru isije kutetereka, hopeless!!
 
Fag like zungu doesn't deserve to be our deputy speaker or getting any position in the parliament. This guy is disaster for the growth of this nation and can cause a lot of problem because of his fu.ckin' opinion.
 
Weka tozo mpaka mkome.

Dikteta kafa, sasa tunafungulia demokrasia ya tozo.

Raha iliyoje. Nchi inafunguliwa.

DEMOKRASIA.
 
A very stupid man very very stupid
This is more than stupid. Hivi CCM iliwekeza nini kwenye mitandao? Najua kwa Watanzania wanatumia ujinga kama mtaji lakini waliwekeza nini kwenye mitandao hadi wavune. Yaani wako tayari kuvuna kwenye mashamba ya watu? Wanatamba walivyo na almasi, dhahabu, gesi, hadi wanyama wa mwituni. No, no, no! Enough is enough, these idiots have to go!
 
Naibu Spika wa Bunge la Tanzania, Mussa Azzan Zungu, amemtaka Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye, kuona namna watakavyoweza kushirikiana na Wizara ya Fedha, kuja na mfumo thabiti utakachochea ongezeko la mapato ya serikali kupitia matumizi ya data.

ITV
Huyu ndiye Aliyetuletea Matozo ya KIJINGA kama anataka Mapato kwanini Hajipunguzii Mshahara wa Kibunge?
 
Back
Top Bottom