Wala, huyo katumwa kufikisha ujumbe. Washafilisika mawazo hawa.Huyo mzee kashajichokea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wala, huyo katumwa kufikisha ujumbe. Washafilisika mawazo hawa.Huyo mzee kashajichokea
Well saidHii nchi bila kufanya assasination kwa hawa wajinga haiwezi kuendelea. Wanaona kila mtanzania ni Chawa. Siku yao yaja
Natamani sana hili lingeanza na watu dizen hii akiropoka tuu kesho watu wanainua maturubai.Hii nchi bila kufanya assasination kwa hawa wajinga haiwezi kuendelea. Wanaona kila mtanzania ni Chawa. Siku yao yaja
Dalili za kufa ni nyingiAu yupo anatetafuta jina la baba tozo[emoji848]
Hatuwezi tukafika tunakotaka kwa kutegemea demokrasia, kuna jambo inabidi lifanyikeNatamani sana hili lingeanza na watu dizen hii akiropoka tuu kesho watu wanainua maturubai.
Nachukua hizo tenda mkuu.Hii nchi bila kufanya assasination kwa hawa wajinga haiwezi kuendelea. Wanaona kila mtanzania ni Chawa. Siku yao yaja
🙏 nitafanya kwa mkono wanguNachukua hizo tenda mkuu.
A very stupid man very very stupidNaibu Spika wa Bunge la Tanzania, Mussa Azzan Zungu, amemtaka Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye, kuona namna watakavyoweza kushirikiana na Wizara ya Fedha, kuja na mfumo thabiti utakachochea ongezeko la mapato ya serikali kupitia matumizi ya data.
ITV
Naunga mkono na miguu, kichwa na mdomo, pua hoja hii, naungana na Mh. Zungu, nchi zote zimewekeza kupata kodi kupitia data, calls, sms, kutuma na kupokea fedha mtandao, hapa kwetu serikali haipati kodi yoyote kupitia data.. Data kodi yake serikali ingepata kubwa sanaNaibu Spika wa Bunge la Tanzania, Mussa Azzan Zungu, amemtaka Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye, kuona namna watakavyoweza kushirikiana na Wizara ya Fedha, kuja na mfumo thabiti utakachochea ongezeko la mapato ya serikali kupitia matumizi ya data.
ITV
This is more than stupid. Hivi CCM iliwekeza nini kwenye mitandao? Najua kwa Watanzania wanatumia ujinga kama mtaji lakini waliwekeza nini kwenye mitandao hadi wavune. Yaani wako tayari kuvuna kwenye mashamba ya watu? Wanatamba walivyo na almasi, dhahabu, gesi, hadi wanyama wa mwituni. No, no, no! Enough is enough, these idiots have to go!A very stupid man very very stupid
Master vp tena 😆 😆 😆Hatuwezi tukafika tunakotaka kwa kutegemea demokrasia, kuna jambo inabidi lifanyike
Huyu ndiye Aliyetuletea Matozo ya KIJINGA kama anataka Mapato kwanini Hajipunguzii Mshahara wa Kibunge?Naibu Spika wa Bunge la Tanzania, Mussa Azzan Zungu, amemtaka Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye, kuona namna watakavyoweza kushirikiana na Wizara ya Fedha, kuja na mfumo thabiti utakachochea ongezeko la mapato ya serikali kupitia matumizi ya data.
ITV