Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toa ujinga hapa.Ni nchi gani hizo zenye watu wajinga kama hapa.Naunga mkono na miguu, kichwa na mdomo, pua hoja hii, naungana na Mh. Zungu, nchi zote zimewekeza kupata kodi kupitia data, calls, sms, kutuma na kupokea fedha mtandao, hapa kwetu serikali haipati kodi yoyote kupitia data.. Data kodi yake serikali ingepata kubwa sana
Kwani ni uongo hajaua watu???Safi sana!
.
Dikteta alishakufa!
Mungu fundi
Tunapumua
Sukuma gang inakomeshwa
Mama siyo dhalimu
Dikteta aliua sana watu
Weka tozo mama hadi za kupumua maana democrasia imetamalaki.
Matusi yanakusaidia nn?Huyu mzee ni Qumer kabisa
Narudia tena, Zungu ni Qumer... tena Qumer kabisa nenda kamwambieMatusi yanakusaidia nn?
Kumbe israili amesharahisishiwa kazi bado kufanya finishing tuHapo kwenye nasikia ana kisugar watu washamchoka huko ilala.
Hapo taa nyekundu ishawaka kitambo.Kumbe israili amesharahisishiwa kazi bado kufanya finishing tu
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app