Bungoma court sentences Tanzanian men to 42 years in jail

Bungoma court sentences Tanzanian men to 42 years in jail

Ni mtu mwendawazimu tu ndiye atakayekua anashangaa kuwepo kwa omba omba, dunia yote hata kule Europe ambako wanatoa pesa kwa wasio na kazi kila mwezi na bado kuna omba omba, sidhani kama ni jambo la kushangaza kwasababu hakuna nchi duniani isiyo na omba omba.

Kwanini wanakuja Kenya?, jibu hilo hapo limepatikana leo hapo mahakamani, kwamba kuna watu wanawaleta huko kama vile matajiri wa madawa ya kulevya wanavyotumia watu kwenda kuwabebea mizigo yao, huku Tanzania huwa wanadhibitiwa sana wasizagae mitaani, nchi pekee ambayo haifuati sheria na vyombo vya ulinzi vimejaa rushwa ni Kenya, ambapo wanaweza kuingia na kuishi bila kufuata sheria, ndiyo sababu wanakimbilia huko. Kitendo cha mahakama kuwafunga hao jamaa ni dalili nzuri kwamba sasa hivi Kenya inaanza kufuata sheria mlizojiwekea badala ya kuongoza nchi kienyeji, hongereni sana[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]

This is an epidemic and they're not in small numbers! Human trafficking is different from drug trafficking, wacha rongo zako...trying to justify your social-safety-net breakdown mpaka you are exporting beggers plus minors!
 
This is an epidemic and they're not in small numbers! Human trafficking is different from drug trafficking, wacha rongo zako...trying to justify your social-safety-net breakdown mpaka you are exporting beggers plus minors!
Tatizo ninahisi ninajadiliana na mtu mwenye uelewa mdogo wa akili, nani qnalinganisha human trafficking and drug trafficking, wewe kichwa yako ni mbovu sana, mimi nimekuambia jinsi wanwvyofika huko ni kundi la watu wanawatumia kwa kuwaleta huko the way matajiri wa madawa ya kulevya wanavyowatumia watu kwa kuwasafirisha nchi za nje.

Wala msijaribu kukuza hili suala, hao beggars hawawezi kuzidi hata 100 huko Kenya, kama kuna ushahidi wowote ule wa idadi yao tunaomba utuletee, acha kujaribu kukuza jambo, mbona sisi huku kila leo tunawakamata au kuwapiga risasi majambazi toka Kenya na hatusemi ni epidemic?, nani mwenye madhara kati ya omba omba na jambazi?.
 
Two Tanzanian men were, on Wednesday, January 31, sentenced to 42 years in jail by a Bungoma court for using children living with disabilities to beg for money, which they (Tanzanian men) end up pocketing.
While giving her verdict, Webuye Resident Magistrate Nancy Barasa said the two, Madukhu Mbashani, 26, and Manywele Kwela, 23, were also found guilty of being in the country illegally.
The two were sentenced to 40 years in jail for illegal trafficking and parading of children living with disabilities. They were sentenced to another two years in prison for being in Kenya without legal documentation.
The court heard that Mbashani and Kwela were, until their recent arrest, parading two children in the streets of Bungoma to beg for money from passersby.
Police said they arrested the two after receiving a tip-off from Webuye town residents.
Confirming the incident, Bungoma East DCIO Paul Mumo urged unscrupulous ‘businessmen’ to refrain from using children living with disabilities to make money.


Hao ni chadema? Kama ni chadema msiwaachie, wanawapenda sana Wakenya hao!
 
Tatizo ninahisi ninajadiliana na mtu mwenye uelewa mdogo wa akili, nani qnalinganisha human trafficking and drug trafficking, wewe kichwa yako ni mbovu sana, mimi nimekuambia jinsi wanwvyofika huko ni kundi la watu wanawatumia kwa kuwaleta huko the way matajiri wa madawa ya kulevya wanavyowatumia watu kwa kuwasafirisha nchi za nje.

Wala msijaribu kukuza hili suala, hao beggars hawawezi kuzidi hata 100 huko Kenya, kama kuna ushahidi wowote ule wa idadi yao tunaomba utuletee, acha kujaribu kukuza jambo, mbona sisi huku kila leo tunawakamata au kuwapiga risasi majambazi toka Kenya na hatusemi ni epidemic?, nani mwenye madhara kati ya omba omba na jambazi?.

Shauri yako na omba omba wenu. Fact ni kuwa it's an epidemic all over Kenya na ni aibu sana mnavyokohoa hapa kwa utangamano wa jamii zenu huko Tz kuwa na mambo haya. Kwetu sisi ni ajabu kwa sababu hatupendi uzembe
 
Huwa wanakataa ati hakuna,leo hii wameanikwa wazi. I've seen these beggars even in smaller places like Salgaa, Mai Mahiu (highway stop-over centres).

Ndio zao hujitoa ufahamu, ilhali wazembe kwa kwenda mbele, ujamaa uliwalemaza na kuwafanya waishi maisha ya kuomba omba na ushirikina, mataifa yote hadi DRC, Sudan Uganda hatuoni raia wao wakija kujiaibisha huku.
Hawa Watanzani wana liinchi likubwa lenye rotuba na madini kote lakini maskini wa kutupwa. CCM ni majanga tatizo hawana ujasiri waogaaaaa
 
Nimeuliza hili swali sehemu nyingine, mbona kati ya nchi majirani zetu wote, Tanzania ndio hujaza omba omba kwetu. Ukiangalia Sudan na Somalia wapo kwenye vita kila siku lakini hutakuta raia wao pembezoni mwa barabara za Kenya wakiomba, sijawahi ona Mganda, Mrwanda au hata Mrundi, ni Watanzania tu.

Sasa hawa wamefungwa kwa kuwatumia watoto kuomba omba, japo hiyo miaka na mingi sana.
Narudia tena fukuza wote kama kweli ni watz
 
Ndio zao hujitoa ufahamu, ilhali wazembe kwa kwenda mbele, ujamaa uliwalemaza na kuwafanya waishi maisha ya kuomba omba na ushirikina, mataifa yote hadi DRC, Sudan Uganda hatuoni raia wao wakija kujiaibisha huku.
Hawa Watanzani wana liinchi likubwa lenye rotuba na madini kote lakini maskini wa kutupwa. CCM ni majanga tatizo hawana ujasiri waogaaaaa
Ombaomba wapo kila kona ya dunia kwani wote ni watz so usichukulie watanzania wote ni kama omba omba jua tu kuna wengine ndio hulka zao na wengine ni bahati mbaya tu kuwa omba omba
 
Baba wa Nairobi!

Hiyo article nilivyoelewa mimi,japokua English yangu ni suspect,ni kwamba,hawa jamaa wawili walikua wanawatembeza watoto wawili walemavu kufanya shughuli za kuomba pesa mitaani.

Cha ajabu wamepewa kesi ya human trafficking....

Hebu soma vizuri halafu nitafsirie mkuu,maana hizi lugha za mkoloni ni janga hapa TZ!
Sio janga bali ni changamoto kwa walio wengi ila sio janga kutojua kiingereza. Ni janga kutoelewa hata ile lugha yako ya taifa Kiswahili.
We've been telling you here that hoards of Tanzanian beggars are all over Kenyan towns. Using underage children for begging is what attracted the wrath of authorities otherwise nobody bothers with adult beggars even if they are exploited by their Tanzanian sponsors who ferry them in. So nothing so special with this even Kenyans face the same fate if they do that.
 
Nimeuliza hili swali sehemu nyingine, mbona kati ya nchi majirani zetu wote, Tanzania ndio hujaza omba omba kwetu. Ukiangalia Sudan na Somalia wapo kwenye vita kila siku lakini hutakuta raia wao pembezoni mwa barabara za Kenya wakiomba, sijawahi ona Mganda, Mrwanda au hata Mrundi, ni Watanzania tu.

Sasa hawa wamefungwa kwa kuwatumia watoto kuomba omba, japo hiyo miaka na mingi sana.
Ama kweli akili ni nyewele kila mtu ana zake. Mbona hata Tanzania kuna wahamiaji wengi wakenya kuliko kutoka nchi zingine zote za ukanda huu? Tena wengine tumewafunga kwa wizi wa aina mbali mbali (mkubwa kwa mdogo) .

Hivi ulizingatia swala la lugha kuchangia watu wa hizi nchi mbili kutembeleana? Ulizingatia swala la chakula pia? Unaweza kumlisha UGALI NA MAHARAGE Msudan au Msomali? Wakenya wa JF ni kichekesho sana.
 
Ama kweli akili ni nyewele kila mtu ana zake. Mbona hata Tanzania kuna wahamiaji wengi wakenya kuliko kutoka nchi zingine zote za ukanda huu? Tena wengine tumewafunga kwa wizi wa aina mbali mbali (mkubwa kwa mdogo) .

Hivi ulizingatia swala la lugha kuchangia watu wa hizi nchi mbili kutembeleana? Ulizingatia swala la chakula pia? Unaweza kumlisha UGALI NA MAHARAGE Msudan au Msomali? Wakenya wa JF ni kichekesho sana.

Ahhh! Wapi...
Vitu mnavyowakamatia Wakenya huko na pia kuna Watanzania wanaokamatiwa huku, ni jambo la kawaida kwa mataifa yaliyopakana kuwa na watu wanaovuka mipaka na kujihusisha kwa shughuli mbali mbali. Waganda tuko nao maelfu, huku tuna Wanyarwanda, Warundi, Watanzania, Wasomali, Wasudani, Waethiopia n.k.
Wote hao wanajishughulisha kwa mambo mbali mbali na kuna wale hukamatwa kwa makosa makosa ya jinai....

Lakini kwa wageni wote kutokea mataifa yote hayo, Watanzania ndio pekee yao hupatikana wakiomba omba, laana kabisa ya kiujamaa na uzembe wa kutupwa kuleeee!!! Japo ni baadhi ya Watanzania maana tunao wa kutokea Kilimanjaro, Wachagga, hao kwa kweli siwezi kuwasema maana wana bidii na hutakuta wakiomba omba.

Kila siku mtakua mnabishia lakini nyie ni wazembe wa kutupwa, nchi yenu imewashinda kuitumia ipasavyo, mna kila kitu, nchi kubwa yenye rotuba, madini vivutio vya watalii, kwanza ni nchi mbili zilizounganishwa kwenye muungano, lakini wazembeeeee!!!!

Ni aibu sana kwa liinchi lenu kuendelea kuwepo kwenye hii picha hapa chini
l_2438_1dfc13ab2f39b2c531fb43183156ff14
 
Ahhh! Wapi...
Vitu mnavyowakamatia Wakenya huko na pia kuna Watanzania wanaokamatiwa huku, ni jambo la kawaida kwa mataifa yaliyopakana kuwa na watu wanaovuka mipaka na kujihusisha kwa shughuli mbali mbali. Waganda tuko nao maelfu, huku tuna Wanyarwanda, Warundi, Watanzania, Wasomali, Wasudani, Waethiopia n.k.
Wote hao wanajishughulisha kwa mambo mbali mbali na kuna wale hukamatwa kwa makosa makosa ya jinai....

Lakini kwa wageni wote kutokea mataifa yote hayo, Watanzania ndio pekee yao hupatikana wakiomba omba, laana kabisa ya kiujamaa na uzembe wa kutupwa kuleeee!!! Japo ni baadhi ya Watanzania maana tunao wa kutokea Kilimanjaro, Wachagga, hao kwa kweli siwezi kuwasema maana wana bidii na hutakuta wakiomba omba.

Kila siku mtakua mnabishia lakini nyie ni wazembe wa kutupwa, nchi yenu imewashinda kuitumia ipasavyo, mna kila kitu, nchi kubwa yenye rotuba, madini vivutio vya watalii, kwanza ni nchi mbili zilizounganishwa kwenye muungano, lakini wazembeeeee!!!!

Ni aibu sana kwa liinchi lenu kuendelea kuwepo kwenye hii picha hapa chini
l_2438_1dfc13ab2f39b2c531fb43183156ff14
Kwa fake news tuu wakenya hajambo, mnajuwa kupika data na kujifanya mna uchumi mkubwa lakini ukiamua kupiga hesabu kutoka nyanja moja hadi nyingine, hamna tofauti na Burundi. Kenya ni nchi iliyosimama kwa nguvu ya madeni, siku wenye madeni yao wakiyataka jina la Kenya litabaki kwenye vitabu vya historia.
 
Two Tanzanian men were, on Wednesday, January 31, sentenced to 42 years in jail by a Bungoma court for using children living with disabilities to beg for money, which they (Tanzanian men) end up pocketing.
While giving her verdict, Webuye Resident Magistrate Nancy Barasa said the two, Madukhu Mbashani, 26, and Manywele Kwela, 23, were also found guilty of being in the country illegally.
The two were sentenced to 40 years in jail for illegal trafficking and parading of children living with disabilities. They were sentenced to another two years in prison for being in Kenya without legal documentation.
The court heard that Mbashani and Kwela were, until their recent arrest, parading two children in the streets of Bungoma to beg for money from passersby.
Police said they arrested the two after receiving a tip-off from Webuye town residents.
Confirming the incident, Bungoma East DCIO Paul Mumo urged unscrupulous ‘businessmen’ to refrain from using children living with disabilities to make money.
Sisi kwetu tuwaachia
 
Ahhh! Wapi...
Vitu mnavyowakamatia Wakenya huko na pia kuna Watanzania wanaokamatiwa huku, ni jambo la kawaida kwa mataifa yaliyopakana kuwa na watu wanaovuka mipaka na kujihusisha kwa shughuli mbali mbali. Waganda tuko nao maelfu, huku tuna Wanyarwanda, Warundi, Watanzania, Wasomali, Wasudani, Waethiopia n.k.
Wote hao wanajishughulisha kwa mambo mbali mbali na kuna wale hukamatwa kwa makosa makosa ya jinai....

Lakini kwa wageni wote kutokea mataifa yote hayo, Watanzania ndio pekee yao hupatikana wakiomba omba, laana kabisa ya kiujamaa na uzembe wa kutupwa kuleeee!!! Japo ni baadhi ya Watanzania maana tunao wa kutokea Kilimanjaro, Wachagga, hao kwa kweli siwezi kuwasema maana wana bidii na hutakuta wakiomba omba.

Kila siku mtakua mnabishia lakini nyie ni wazembe wa kutupwa, nchi yenu imewashinda kuitumia ipasavyo, mna kila kitu, nchi kubwa yenye rotuba, madini vivutio vya watalii, kwanza ni nchi mbili zilizounganishwa kwenye muungano, lakini wazembeeeee!!!!

Ni aibu sana kwa liinchi lenu kuendelea kuwepo kwenye hii picha hapa chini
l_2438_1dfc13ab2f39b2c531fb43183156ff14
Wazembe wamezaa wachapa kazi, tazama takwimu zinavyobadilika in whose favour, kuanzia economy growth, food security and overall security, export and imports, tourism, infrastructure etc, hapo tunatoka awamu hii hii. Tambua Ethiopia IPO kwa nchi unaziita wazembe.

Nyinyi MNA hatari ya kushuka, na hayo madeni yenu na insecurity, sisi tunapanda. Kwa iyo usitukane mamba hujavuka mto. Nyinyi wenyewe msingepaswa kuwa hapo. Wazembe tu, Korea walikuwa worse, Malaysia, Philippines etc, wapo wapi sasa, na nyinyi mpo wapi, uzembeee. You're just better on de papers. Danganya wasioijua Kenya
 
Kwa fake news tuu wakenya hajambo, mnajuwa kupika data na kujifanya mna uchumi mkubwa lakini ukiamua kupiga hesabu kutoka nyanja moja hadi nyingine, hamna tofauti na Burundi. Kenya ni nchi iliyosimama kwa nguvu ya madeni, siku wenye madeni yao wakiyataka jina la Kenya litabaki kwenye vitabu vya historia.

Hawa ndugu zenu muwasaidie kwa kuwaambia wachakarike, mambo ya ujamaa hayana nafasi tena kwenye karne hii, kila mtu apambane na hali yake, aje awe hata fundi wa viatu, mbeba mabox na mengineyo, lakini kuchomwa na jua akiomba omba mnatia aibu, Waganda na majirani wengine wote hawafanyi huu upuzi.

 
Ahhh! Wapi...
Vitu mnavyowakamatia Wakenya huko na pia kuna Watanzania wanaokamatiwa huku, ni jambo la kawaida kwa mataifa yaliyopakana kuwa na watu wanaovuka mipaka na kujihusisha kwa shughuli mbali mbali. Waganda tuko nao maelfu, huku tuna Wanyarwanda, Warundi, Watanzania, Wasomali, Wasudani, Waethiopia n.k.
Wote hao wanajishughulisha kwa mambo mbali mbali na kuna wale hukamatwa kwa makosa makosa ya jinai....

Lakini kwa wageni wote kutokea mataifa yote hayo, Watanzania ndio pekee yao hupatikana wakiomba omba, laana kabisa ya kiujamaa na uzembe wa kutupwa kuleeee!!! Japo ni baadhi ya Watanzania maana tunao wa kutokea Kilimanjaro, Wachagga, hao kwa kweli siwezi kuwasema maana wana bidii na hutakuta wakiomba omba.

Kila siku mtakua mnabishia lakini nyie ni wazembe wa kutupwa, nchi yenu imewashinda kuitumia ipasavyo, mna kila kitu, nchi kubwa yenye rotuba, madini vivutio vya watalii, kwanza ni nchi mbili zilizounganishwa kwenye muungano, lakini wazembeeeee!!!!

Ni aibu sana kwa liinchi lenu kuendelea kuwepo kwenye hii picha hapa chini
l_2438_1dfc13ab2f39b2c531fb43183156ff14
siamini kama hap kweli ni watanzania , maana tanzania kuna kila kitu pia serikali inatoa pesa kwakila maskini kila mwezi # so it's ridiculously to Heard that idiout news from jaruo kenyano
 
Ahhh! Wapi...
Vitu mnavyowakamatia Wakenya huko na pia kuna Watanzania wanaokamatiwa huku, ni jambo la kawaida kwa mataifa yaliyopakana kuwa na watu wanaovuka mipaka na kujihusisha kwa shughuli mbali mbali. Waganda tuko nao maelfu, huku tuna Wanyarwanda, Warundi, Watanzania, Wasomali, Wasudani, Waethiopia n.k.
Wote hao wanajishughulisha kwa mambo mbali mbali na kuna wale hukamatwa kwa makosa makosa ya jinai....

Lakini kwa wageni wote kutokea mataifa yote hayo, Watanzania ndio pekee yao hupatikana wakiomba omba, laana kabisa ya kiujamaa na uzembe wa kutupwa kuleeee!!! Japo ni baadhi ya Watanzania maana tunao wa kutokea Kilimanjaro, Wachagga, hao kwa kweli siwezi kuwasema maana wana bidii na hutakuta wakiomba omba.

Kila siku mtakua mnabishia lakini nyie ni wazembe wa kutupwa, nchi yenu imewashinda kuitumia ipasavyo, mna kila kitu, nchi kubwa yenye rotuba, madini vivutio vya watalii, kwanza ni nchi mbili zilizounganishwa kwenye muungano, lakini wazembeeeee!!!!

Ni aibu sana kwa liinchi lenu kuendelea kuwepo kwenye hii picha hapa chini
l_2438_1dfc13ab2f39b2c531fb43183156ff14
siamini kama hap kweli ni watanzania , maana tanzania kuna kila kitu pia serikali inatoa pesa kwakila maskini kila mwezi # so it's ridiculously to Heard that idiout news from Kenyan# in short for normal citizens Tanzanian they have good life compared to you Kenyan besides cooked GDP
 
Back
Top Bottom