Madrid boy
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 895
- 615
Na nyie mna export majambazi Tunayapiga Risasi na kuyaua hukuNchi inayo export omba omba wengi kabisa EAC, Tanzania...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na nyie mna export majambazi Tunayapiga Risasi na kuyaua hukuNchi inayo export omba omba wengi kabisa EAC, Tanzania...
Hawawezi kwa sababu ni Wakenya wenzao hao mbona sisi huku tunawafukuzi wakenya wasio na vibali tena tunawapa masaa wawe wameshaondoka wao wanashindwa nn??waongo hawaNarudia tena fukuza wote kama kweli ni watz
unajivunia kuua?...pumbavu alshabaab wewe...muwajie omba omba wenu humu wanatusumbua😀😀😀kila kukicha wamejaa na vikomb vyao jijini...wamtoroka utajiri wa tanzania😀😀😀😀Na nyie mna export majambazi Tunayapiga Risasi na kuyaua huku
Alafu ndugu sijui mnaishije mijambazi kibao ya kenya inakuja kuiba Tanzaniaunajivunia kuua?...pumbavu alshabaab wewe...muwajie omba omba wenu humu wanatusumbua😀😀😀kila kukicha wamejaa na vikomb vyao jijini...wamtoroka utajiri wa tanzania😀😀😀😀
Vipi kuhusu majambazi wenu waliojazana kwenye jela za Tanzania, vipi kuhusu raia wa Tanzania waliopoteza maisha kwa kuuliwa na makundi ya majambazi na magaidi toka Kenya?.Shauri yako na omba omba wenu. Fact ni kuwa it's an epidemic all over Kenya na ni aibu sana mnavyokohoa hapa kwa utangamano wa jamii zenu huko Tz kuwa na mambo haya. Kwetu sisi ni ajabu kwa sababu hatupendi uzembe
Nchi inayoongoza kwa kuomba misaada na chakula kuliko zote hapa EA. Nchi inayoongoza kwa ku export majambazi na magaidi EA.Nchi inayo export omba omba wengi kabisa EAC, Tanzania...
Hope there is no framing to facilitate other issues behind the door.
I just wish to know how Nairobi deals with irresponsible parents.
Hawa ndugu zenu muwasaidie kwa kuwaambia wachakarike, mambo ya ujamaa hayana nafasi tena kwenye karne hii, kila mtu apambane na hali yake, aje awe hata fundi wa viatu, mbeba mabox na mengineyo, lakini kuchomwa na jua akiomba omba mnatia aibu, Waganda na majirani wengine wote hawafanyi huu upuzi.
Mna export shida zenu hatuzitaki. Hao watu wamezagaa kwenye mitaa ya Kenya sio shida yetu. Mtanzania anyejitambua anajuwa nyumbani ni wapi.
Indeed, this is a good question.What about the kids, were they taken to their homes of they were thrown into the street??
Two Tanzanian men were, on Wednesday, January 31, sentenced to 42 years in jail by a Bungoma court for using children living with disabilities to beg for money, which they (Tanzanian men) end up pocketing.
While giving her verdict, Webuye Resident Magistrate Nancy Barasa said the two, Madukhu Mbashani, 26, and Manywele Kwela, 23, were also found guilty of being in the country illegally.
The two were sentenced to 40 years in jail for illegal trafficking and parading of children living with disabilities. They were sentenced to another two years in prison for being in Kenya without legal documentation.
The court heard that Mbashani and Kwela were, until their recent arrest, parading two children in the streets of Bungoma to beg for money from passersby.
Police said they arrested the two after receiving a tip-off from Webuye town residents.
Confirming the incident, Bungoma East DCIO Paul Mumo urged unscrupulous ‘businessmen’ to refrain from using children living with disabilities to make money.
Unajua hii ni kesi ya ombaomba wa barabarani waliokua wanazunguka na ho watoto wawili kuomba..!?
Sasa hukumu hiyo ni ya ajabu kabisa...Miaka 42 kwa kesi ya ombaomba?Aisee,huyo Nancy Barasa ana matatizo kabisa ya akili!
Miaka 42????
Jesus!