Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lile Bwawa la Kaunda Stadium ni mali ya Mama Fatuma KarumeUwanja huu unaosemekana ni mali ya Simba ila ukweli sio mali ya simba bali ni mali binafsi ya mfanyabiashara mwenye share kubwa ndani ya club ya Simba Mohamed Dewj "Mo".
Jina la uwanja huo ni Bunju Complex na hautakaa upewe jina linalishabihiana na Club ya Simba.
Pia doccument za umiliki wa eneo pamoja na viwanja vyote cha mchezo na cha mazoezi hazijasajiliwa na kwa jina la Club ya Simba.
Mmeshalipa mishahara? akina mulinga wana hali mbayaUwanja huu unaosemekana ni mali ya Simba ila ukweli sio mali ya simba bali ni mali binafsi ya mfanyabiashara mwenye share kubwa ndani ya club ya Simba Mohamed Dewj "Mo".
Jina la uwanja huo ni Bunju Complex na hautakaa upewe jina linalishabihiana na Club ya Simba.
Pia doccument za umiliki wa eneo pamoja na viwanja vyote cha mchezo na cha mazoezi hazijasajiliwa na kwa jina la Club ya Simba.
Mmeshalipa mishahara? akina mulinga wana hali mbaya
Wewe ni mpole sana na huna ugomvi na mtu.Umeniwahi Mtani nilitaka kukutag mana nimeona sehemu mnafurahia eti unaitwa Sijui Mo ninini huko. 🤣🤣🤣
Unaitwaje vile huo Uwanja? 👂👂