Mahitaji
Nyama ya kusaga kg 1/2
Karot 1 kubwa kata ndogo ndogo
Pilipili mboga 1 kubwa kata ndogo ndogo
Thomu
Tangawizi
Bizari ya pilau
Ndimu
Chumvi kiasi
Pilipili manga
Namna ya kutaarisha
1)Chemsha nyama weka chumvi,tangawizi,thomu,bizari ya pilau,ndimu na pilipili manga
2)weka karoti na pilipili mboga
3)changanya vizuri kwa mwiko hadi ichanganyike vizuri... wacha hadi uwive na ikauke vizuri..
4)weka pembeni ipoe..
Buns
Unga kg 1
Chumvi kiasi
Siagi 4 tablespoon
Samli 4 table spoon
Ufuta...
Hamira 1 tablespoon
Baking powder 1tea spoon
Yai 1...tenganisha kiini na ute
Namna ya kutaarisha
1) Changanya unga, chumvi, siagi, kiini cha yai, samli, hamira na baking soda
2) Tia maji hadi uchanganyike vizuri kama ukitaarisha chapati
3) Kanda unga wako hadi uwe laini
4) Weka sehemu ya joto for 30minutes ili uumuke kidogo
5) Kata kata madonge na kila donge tengeneza uwazi ili uweke nyama yako ndani
6) Weka kwenye trey alafu pakaa ute wa yai katika maduara uliotengeza alafu nyunyizia ufuta juu
7) Weka sehemu ya joto kwa dakik 30- 45
8) Washa oven na uweke trey yako ya buns moto 300 -350
Buns za nyama tayari kwa kuliwa
Nyama ya kusaga kg 1/2
Karot 1 kubwa kata ndogo ndogo
Pilipili mboga 1 kubwa kata ndogo ndogo
Thomu
Tangawizi
Bizari ya pilau
Ndimu
Chumvi kiasi
Pilipili manga
Namna ya kutaarisha
1)Chemsha nyama weka chumvi,tangawizi,thomu,bizari ya pilau,ndimu na pilipili manga
2)weka karoti na pilipili mboga
3)changanya vizuri kwa mwiko hadi ichanganyike vizuri... wacha hadi uwive na ikauke vizuri..
4)weka pembeni ipoe..
Buns
Unga kg 1
Chumvi kiasi
Siagi 4 tablespoon
Samli 4 table spoon
Ufuta...
Hamira 1 tablespoon
Baking powder 1tea spoon
Yai 1...tenganisha kiini na ute
Namna ya kutaarisha
1) Changanya unga, chumvi, siagi, kiini cha yai, samli, hamira na baking soda
2) Tia maji hadi uchanganyike vizuri kama ukitaarisha chapati
3) Kanda unga wako hadi uwe laini
4) Weka sehemu ya joto for 30minutes ili uumuke kidogo
5) Kata kata madonge na kila donge tengeneza uwazi ili uweke nyama yako ndani
6) Weka kwenye trey alafu pakaa ute wa yai katika maduara uliotengeza alafu nyunyizia ufuta juu
7) Weka sehemu ya joto kwa dakik 30- 45
8) Washa oven na uweke trey yako ya buns moto 300 -350
Buns za nyama tayari kwa kuliwa