Napajua unapopasema na mwenyewe namjuwa.
To be exact hicho kibanda hakikuwa ilipo Bilicanas, kilikuwabnyumabyankituo cha mafuta (kipo mpaka sasa, jinanlimenitoka) mkablanilikuwa duoer market ua kwanza Tanzania kama sikosei ikiitwa Afrique, pembeni yake kulikuwa splendid hotel (sasa ni jengo la (extelecomms), usoninmwake kwa kushoto ilikuwa club ya usiku maarufu Margot.
Wakuja unataka kubishana na mwenyeji, mzaliwa wa Dar?
Thubutu enzi hizo Dar nguruwe auzwe kibandani, labda uende kigogo darajani huko.