babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Sahihi kabisa, kitambo sanaIlikuwa inaitwa BURGER HUT,Owner alikuwa anaitwa Jalal jamaa wa Kibohora ambae pia alikuwa ana own Rendezvou Restaurant na Kongwa Beef Butcher samora Avenue,jamaa alifariki zaidi ya miaka 30 iliyopita
Sent from my SM-N986B using JamiiForums mobile app
Hamburger ni kijerumani mzee.Rekebisha hapo ni hamburger or simply burger. Sio hamberger
Acha fix wewe tushaambiwa mwenyewe kafa, au unatutaarifu toka kuzimu?Mi ndo nlikua natengeneza hiyo mambo na ndo nilikua mtaalam wa kuchoma pizza enzi hizo E.A chef niko peke yangu nimesomea Auguste Escoffier school of culinary Texas USA
Hiyo nyama ndio burger yenyewe.Katika maisha yote sijawai kula burger[emoji16],
Yaani hata nikiagiza ntatoa mkate tupa kule nakula nyama tu na sallad na chips kiasi[emoji119]
Najua ila mpk waweke lile burger buns then itaitwa hamburger.Hiyo nyama ndio burger yenyewe.
Hongera , maana zile buns ndio tatizo la kufaya mtu aoaongeeka uzito , sababu ni carbs . Kikweli napenda Burger sana, ila only za Burger King , zingine sio mpenzi ndio maana huwa sili, kitu ambacho kinanishinda ni Pizza , huwa sielewi watu wanaipendea nini, nimejaribu zote z Pizza Hut ,Dominos na zingine , sija whi penda hata siku moja.Katika maisha yote sijawai kula burger😁,
Yaani hata nikiagiza ntatoa mkate tupa kule nakula nyama tu na sallad na chips kiasi🙌
Yes Sawa tuu na hizi chips Kuku za kitaa, huwa hatuchukulii kama ndio mlo kamili ambao una hadhi , zote hizo ni fast food na haina maana tusile sababu ni cheap na ndio mpka twende The Hyatt and Sherraton ndio tufurahi, asilimia kubwa ya watu tuna penda Chips Kuku za Vitaa , na hizo ndio McDonads and KFC zetu original , sio salama ila ndio tunapenda sababu zina tupa burudani midomoni, sawa sawa na hizo Burger Joints za Ulaya tuu, hatuwezi acha sababu tuu ya kwamba kuna watu wanasema ni cheap na ni ushamba kula huko na ujanja ni kwenda kwa resourant to have a dinner and steak ,tunapenda hivyo hivyo cheap , ndio mana tulipo kuwa wanafunzi milo yetu sisi wengine ndio ilikuwa ni Double Whopper meal with some larger fries and large Strawberry shake , sababu ni quick na una shiba vizuri na kuharibu maumbo yetu kwa kujikuta tumenenepa ovyo na kipindi hicho tukirudi Bongo, kila mtu ana tusifia utasikia "Jamaa alikua States karudi kachana kinoma" kumbe tumejipa magonjwa yasio na sababu kwa unene ,s awa tuu na hizo chips vumbi tuuza kitaa maana hatujui zina kaangiwa kwa afuta ya Trnsformer au ni mafuta yalio tumika mwezi mzima yame kuwa reheated kila saa na kugeuka sumu.Kwa wenzetu ni vyakula cheap
Kibongobongo wenye uwezo ndiyo
Wanakula
Ova
Acha uoga mkuuAcha fix wewe tushaambiwa mwenyewe kafa, au unatutaarifu toka kuzimu?
Watu mnataka kufanya hata utapeli wa burger?
Nyambaf
Asante sana ,umenipa jibu nililo litafuta miaka mingi shukuran sana . Kikweli haja tutendea haki , alipaswa aachie watoto his recipee ili tujichane some good burgers huku tukimkumbuka ,Mungu amlaze Mahali pema peponi ,AmenIlikuwa inaitwa BURGER HUT,Owner alikuwa anaitwa Jalal jamaa wa Kibohora ambae pia alikuwa ana own Rendezvou Restaurant na Kongwa Beef Butcher samora Avenue,jamaa alifariki zaidi ya miaka 30 iliyopita
Sent from my SM-N986B using JamiiForums mobile app
Kwa wenzetu ni vyakula cheap
Kibongobongo wenye uwezo ndiyo
Wanakula
Ova
Ndio maana sija zungumzia kwenda Kempisky kula Burger au popote kwenye high end restourant kula Burger , sababu nimekula Burger zaidi nilipo kuwa mwanafunzi sababu ya a quick meal , hakuna asie elewa hiyo ni fast food na sio chakula cha hadhi wala cha afya njema na ndio maana nika zungumzia hao street venders ,kama ningedhani ni posh kula Burger ningesema nakwenda huko Kempisky kula burger. Kingine kula viazi pia sio afya kama unavyo dhani ,hizo ni carbs na carbs zina matatizo makubwa kwenye mwili wa binadamu na ndio chanzo kikubwa cha kunenepa na kupandisha sukarli kwenye damu na kkupa inflammation za kutisha , kuliko unavyo kwepa red meat .
Kma unavyo sema hakuna tofauti zaidi ya price tuuWhat is the difference eating a burger at Kempisky or at street vendors? Tofauti yake ni ambiance basi, lakini contents ni sawa!
I agree..well said. Utotoni nilipenda sana wali..ukipewa ugali usiku unaona unaonewa. Lakini siku hizi..wali naweza nipitishe wiki nisile na najiona so normal and so fine. Kadri siku zinavyoenda nakuwa interested na michemsho na vyakula vya mizizi kwa kiasi.... perception ya vitu utotoni ni tofauti kabisa na ukubwani. Uliziona zile burger za kipekee kwa sababu ya umri wako kipindi kile but hazina tofauti na za leo; 40 yrs later.
Zamani utotoni moja ya zawadi za kipekee ambazo nilitamani kupewa na mwenyeji ugenini ni soda iwe Coca au Pepsi; bila hiyo nilijiona kabisa safari yangu haijakamilika. Zamani vyakula kama chapati vilikuwa vya kipekee sana utotoni. Leo hii vyote hivyo ni ubatili!
In summary; age has a significant impact on how human beings perceive things. Simple!
Hazikuwa "hamburgers" zilikuwa ni Beef Burgers.Kipindi fulani miaka ya nadhani late 80's na kurudi nyuma kulikuwa na Kiosk kimoja hapo Mitaa mbako baadae ikaja kuwa maeno ya Billicans club.
Ilikuwa wanauza Hamburgers matata sana, taste ya zile hamburge, ile beeef kile kitunguu na ile buns mpaka leo I can taste them.
Nani alikuwa owners wa hiyo kitu na alishia wapi, by now angekua na Chain ya hizo.
Hazikuwa "hamburgers" zilikuwa ni Beef Burgers.
Napajua unapopasema na mwenyewe namjuwa.What makes you think they were "Beef" and not "Ham burgers"? Watu wameanza kula kitimoto mjini siku nyingi!!
Labda ukiwa na maana ya kwamba in the middle ilikuw ni beeef , lakini zote ni Hambergers , yani una we ita Sandwich , burger or hamberger.Hazikuwa "hamburgers" zilikuwa ni Beef Burgers.
Miaka ya 80s kitimoto imeuzwa sana , nyumba nyingi Oysterbay walikuwa na mifugo tena Nguruwe walikuwa hawakosekani mabandni, nimeona nguruwe kw ara y kwana sio Kijijini ni Oyesterbay .Napajua unapopasema na mwenyewe namjuwa.
To be exact hicho kibanda hakikuwa ilipo Bilicanas, kilikuwabnyumabyankituo cha mafuta (kipo mpaka sasa, jinanlimenitoka) mkablanilikuwa duoer market ua kwanza Tanzania kama sikosei ikiitwa Afrique, pembeni yake kulikuwa splendid hotel (sasa ni jengo la (extelecomms), usoninmwake kwa kushoto ilikuwa club ya usiku maarufu Margot.
Wakuja unataka kubishana na mwenyeji, mzaliwa wa Dar?
Thubutu enzi hizo Dar nguruwe auzwe kibandani, labda uende kigogo darajani huko.
Mwenyewe ndio huyo walio msema ? Yes nakumbuka ilikua maeno kama kuna uwanja wa parking hivi sikumbuki vizuri , nilikua mtoto enzi hizo , unapelekwa na wazazi hapo na baada ya hapo unapelekwa Snow Cream , kuona kina Micky Mouse .Miaka ya 80s kitimoto imeuzwa sana , nyumba nyingi Oysterbay walikuwa na mifugo tena Nguruwe walikuwa hawakosekani mabandni, nimeona nguruwe kw ara y kwana sio Kijijini ni Oyesterbay .
Siku hizi nadhani ndio ingekuwa vigumu zaidi kiti moto kuuzwa vibandani kuliko zamani, lakini hivyo sivyo mambo yalivyo mjini bandali salama . Mkuu wa meza anapatikana sana vibandani katikati ya jiji na sio Kigogo !!Napajua unapopasema na mwenyewe namjuwa.
To be exact hicho kibanda hakikuwa ilipo Bilicanas, kilikuwa nyuma ya kituo cha mafuta (kipo mpaka sasa, jina limenitoka) mkabla ilikuwa super market ya kwanza Tanzania kama sikosei ikiitwa Afrique, pembeni yake kulikuwa splendid hotel (sasa ni jengo la (extelecomms), usoni mwake kwa kushoto ilikuwa club ya usiku maarufu Margot.
Wakuja unataka kubishana na mwenyeji, mzaliwa wa Dar?
Thubutu enzi hizo Dar nguruwe auzwe kibandani, labda uende kigogo darajani huko.